Dhana nzima ya Futari na Daku

Ni usiku mmoja bora kijana kuliko miezi 1000 yani hapo Ashuraa anasubiri sana
Sinaga haraka mpaka nikiweke kwenye trap, kama nilivyokifanya kwa Suleimani na synagogue

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
 
Sinaga haraka mpaka nikiweke kwenye trap, kama nilivyokifanya kwa Suleimani na synagogue

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Hahhaha Kwa suleiman nishakupiga Ko kijana rudia uzi ujishuhudie

Nakuuliza wewe je ashuaraa ina usiku ulio bora kuliko ramadhani?

Jibu ili tuendelee



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Na Mimi Nimemaliza
Huwezi kujibu hili swali maana ulishakoroga apo juu

Ukitaka kujibu utarudi ujibu

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
Twambie je usiku wa Ashuaraa unaweza kufikia usiku wa Ramadhani

Au hujitambui hata unazungumza nini


Wewe bado sana na nitakutungua kila leo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi tabu yote ya nini? Unatafuta nini? Bada? Kwani lazima ujitese? Ili iweje? Kuingia mbinguni? Who knows kama kuna Mungu? IMANI, IMANI IMANI
Wewe una dini yako na mimi nina dini yangu. Wewe endelea kupita na majani ya 'mitende' au sijui kujipaka majivu (or whatever).... ndivyo imani yako inavyokuelekeza labda ndiyo mlango wa mbingu utafunguliwa kivyako...
 
Na Mimi Nimemaliza
Huwezi kujibu hili swali maana ulishakoroga apo juu

Ukitaka kujibu utarudi ujibu

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana

Abu Hurairah narrated that:

The Messenger of Allah [SAW] said: "Whoever stands (in the voluntary night prayer of) Ramadan out of faith and in the hope of reward, his previous sins will be forgiven. And whoever spends the night of Lailat Al-Qadr in prayer out of faith and in the hope of reward, his previous sins will be forgiven."


Grade sahihi

Wewe bado sana nitakupopoa mpaka utahama humu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
🤣😂😂🤣 Sasa ndio umejibu Nini
Swali lipo ukitaka kujibu jibu

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787] Sasa ndio umejibu Nini
Swali lipo ukitaka kujibu jibu

Ukisema Bora miezi 1000 maana yake umesamehewa dhambi za miezi 1000?
Jibu Ndio au Hapana
Hahahahha imepenya hiyo mpaka ndani

Chizi wewe unapingana na hadith sasa

Ndio maana nakwambia uwezo huna kwangu

Yani humu sio wewe tu wakristo wenzio wote sasa humu wanaogopa comment zangu

Nimekuachia aya na hadith hizo pambana nazo



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Me kwa uelewa wangu waislam hamfungi wala Nini isipokua mnabadili mda wa kula tu ..baada ya kula Milo mi 3 mchana , nyie mnaila usiku tena kwa uroho sana kama mchwa wenye hasira uku wengine tukiwa tumelala...na ua mnapata misaada ya chakula kingi na kizuri sana wakat wa kubadili mda wa kula alaf mnatuhadaa et mmefunga ushenzi kabisa na uroho tu
 
Tuambie yesu alifundisha vipi namna ya kufunga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…