Kajifunze ku dabate na kujibu maswali , ona unavyo wewesekaHapo Allah anasamehe dhambi zote zilizo fanywa na zitakazo fanywa unataka kusema nini Dogo
Koran imesema chemchem ,
Mimi NimemalizaKajifunze ku dabate na kujibu maswali , ona unavyo weweseka
Unamsingizia mpaka Allah anasemehe dhambi zitakazo fanywa Yani kakupa leseni ya dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]
Relax kwanza
Hahahahhahaha itapenya kila eneoKoran imesema chemchem ,
Hii picha ni chemchem
ππ€£π€£ππ Usimsingizie Allah , funga anayotoa leseni ya dhambi ni moja tuMimi Nimemaliza
Naona umetafuta kwenye typing error tu baada ya kitu kizito kutua
Unakumbuka ulikimbia kujibu chemchem ni nini
Nimemaliza kijana naona unataka kuficha aibu hapo kwa kuzuga kwenye kipengele kimoja [emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] Usimsingizie Allah , funga anayotoa leseni ya dhambi ni moja tu
Mimi Nimemaliza hiyo. Uzi ulifungwaUnakumbuka ulikimbia kujibu chemchem ni nini
Ndio madhara yake uliona ukijibu tu utajikaanga
Uzi haukufungwa upo live mpaka sasa , ila wewe ndie ulikimbia
Lete link nije kukufumua na hukoUzi haukufungwa upo live mpaka sasa , ila wewe ndie ulikimbia
Uligoma kabisa kujibu chemchem ni nini , tena Kuna muendelezo unachekwa mbaya
Kwahiyo unavyoelewa wewe funga ya waislamu ni Kula na kunywa Tu?Me kwa uelewa wangu waislam hamfungi wala Nini isipokua mnabadili mda wa kula tu ..baada ya kula Milo mi 3 mchana , nyie mnaila usiku tena kwa uroho sana kama mchwa wenye hasira uku wengine tukiwa tumelala...na ua mnapata misaada ya chakula kingi na kizuri sana wakat wa kubadili mda wa kula alaf mnatuhadaa et mmefunga ushenzi kabisa na uroho tu
Embu eleza Kuna zaidi ya kula na kunywa , tena kula vizuri ? Nina ndugu kabisa wanaenda kukopa ili mwezi huo wale vizuriKwahiyo unavyoelewa wewe funga ya waislamu ni Kula na kunywa Tu?
Sio mambo ya bajeti kweliDaku inaambata na Vigoma siku hizi ukifika mwezi wa Ramadhan vile Vigoma vya Kula Kula Daku Mpemba na kinyago anaecheza Vigoma hakuna tena, sijui nani alieua vile Vigoma vya Daku siku hizi hakuna watu wanawaza kula tu na kula kwenyewe wanakula kiuchoyo zamani ukifika mda wa futari unachagua Baraza la kwenda kula na hufukuzwi na kingine utakuta umeletewa nyumbani ule,
Yaan zamani mwezi wa Ramadhani waislamu walikua wakalimu sana nazungumzia waislamu wote sio wahisani Ila siku hizi sijui njaa imezidi Ramadhan waislamu wanakula wenyewe ule utaratibu wa kula kibarazani umekufa hakuna kukaribisha mtu na hakuna kumpelekea mtu (jirani) chakula,
Wewe hutaki tule tunywe vizuriEmbu eleza Kuna zaidi ya kula na kunywa , tena kula vizuri ? Nina ndugu kabisa wanaenda kukopa ili mwezi huo wale vizuri
Wakianza kufunga picha za ma bufe zinazambaa
Ndio umethibitisha Uislamu mfungo ni kula Sana na kula vyakula vizuri na hii onapelekea mnaingia kukopaWewe hutaki tule tunywe vizuri
Sawa ukiona inauma sana chomoaNdio umethibitisha Uislamu mfungo ni kula Sana na kula vyakula vizuri na hii onapelekea mnaingia kukopa
Wewe itakuwa tayari umeshajaza fomu za mkopo upige menyu heavy kipindi Cha mfungo
Hii nimeona mwenyewe nina ndugu waislamu wanakopa kabisa wale mlo mzuri
Nimekutag kwenye post nyingine kasome majibu yakoEmbu eleza Kuna zaidi ya kula na kunywa , tena kula vizuri ? Nina ndugu kabisa wanaenda kukopa ili mwezi huo wale vizuri
Wakianza kufunga picha za ma bufe zinasambaa
Kwani zamani hakukua na bajeti? Tatizo ni tamaduni zinaenda zinakufa na kupotea na kusahaurika Ila waliokuwepo kabla hawasahau,Sio mambo ya bajeti kweli