Dhana nzima ya Futari na Daku

Mambo ya ajabu lazima ku comments. Hii dunia iko hivyo, seeking knowledge in various fields
 
Kuamini bila sayansi ni upuuzi! Wwe ni NGUIN ndiyo maana huelewi kitu
Tayari wewe umeshaiamini Sayansi kwa hiyo waache na wengine waamini wanachoamini, kabla hiyo Sayansi haijaja Watu walikua hawaishi?
Wazazi wako wenyewe wanaamini Dini na wewe umezaliwa kwenye Dini ila kielimu uchwara kidogo tu tayari ushajikuta wewe ndio mvumbuzi wa Dunia,

Hao Wanasayansi walizikuta hizo Dini na Imani zingine mnachopaswa ni kuheshimu wengine.
 
Mwendo ni uleule kula na kuvimbiwa

Mnakula Sana kipindi Cha mfungo wenu

Yani waislamu ukikutana nao kaa nae mbali akicheua ni mavimbizi tu
 
Kama unaweza kula chakula kizito mida hiyo ni vizuri ili ikupe nguvu/ stamina ya kufunga vizur mchana,
Inakupa kushiba mchana kutwa inamaana hujafunga

Waislamu hamfungi mnabadili mda wa Milo mchana usiku

Kuna ndugu zangu wailsamu mpaka wanaendaka kukopa wale Sana kipindi Cha mfungo , mfungo ukiisha wamenenepa
 
Inakupa kushiba mchana kutwa inamaana hujafunga

Waislamu hamfungi mnabadili mda wa Milo mchana usiku

Kuna ndugu zangu wailsamu mpaka wanaendaka kukopa wale Sana kipindi Cha mfungo , mfungo ukiisha wamenenepa

Wewe chizi kweli mtu wangu.

Aliekwambia kila anaekula Daku anashiba mchana kutwa ni Nani?
 
Mfano.

Wanafunzi waanze kwenda shule saa moja usiku Hadi saa kumi na moja Asubuhi.

Alafu waje watuambie eti wamefunga shule.
Imani ya DINI ya MAKOBAZI ni ya Hovyo sana.

Kila siku tunasema imetengenezwa Roma hamuelewi
Funga wewe usiku na mchana
 
Okay Kwa timetable hii INA maana watakuwa wamecheki Hali ya anga ikoje na kujua kuzama Kwa jua kunakuwaje
Imani ya waislamu inasema Jua linaenda kusujudu
Allah hawezi kufanya adjustment akaliruhusu lisujudu haraka na litoke chini ya maji yenye tope ?
 
Mwendo ni uleule kula na kuvimbiwa

Mnakula Sana kipindi Cha mfungo wenu

Yani waislamu ukikutana nao kaa nae mbali akicheua ni mavimbizi tu
Watu wanakula jasho lao we unaumia,una akili sawasawa!?..Sasa hivi Kuna wenzio wanakula bia na kitimoto baa huko lakini huoni ajabu
 
Watu wanakula jasho lao we unaumia,una akili sawasawa!?..Sasa hivi Kuna wenzio wanakula bia na kitimoto baa huko lakini huoni ajabu
Shida sio kula jasho lako , shida ni kula Sana usiku kucha na kuvimbiwa

Ofisini wakija wanatucheulia mavimbizi

Na mwezi wenu mnakopa Sana ili mle Sana
 
Shida sio kula jasho lako , shida ni kula Sana usiku kucha na kuvimbiwa

Ofisini wakija wanatucheulia mavimbizi

Na mwezi wenu mnakopa Sana ili mle Sana
Huwa unaugua kichaa!?..wanaokesha bar huwa hawakucheuliii mavimbizi ofisini!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…