Dhana nzima ya Futari na Daku

tatizo siku hizi waisilam waeiga tabia za kikirisito baada ya kuishi changanyikeni
 
hako kaeimu kako kana kufanya kuwa zoba zezeta
 
hakuna andiko la kumzuia mtu kula mchana mfano msafiri kikongwe watoto wadogo wajawaito wanao nyoyesha nk ukizuya kupika mchana watu hawa watapata wapi chakula? hata huko pemba ukijieleza mbona unalusiwa kula tu ila sio kwa wale waisilamu wenye uwezo wakufunga wale mchana
 
wakiristo wanao ishi visiwani zanzibar ngazija komolo mambasa tanga mtwala kondoa uwa wanaheshimu sana mwezi wa ramadhani tena kuliko baadhi ya vijana wa kiisilamu
 
AKILI ZA HOVYO SANA.

YANI UNAKULA USIKU KUCHA MCHANA HULI UNASEMA UMEFUNGA.

UMEBADILISHA RATIBA. YA MSOSI UNAJIITA UMEFUNGA.

HOVYO SANA HII.

Biblia inasema.
OLE WAO WAUGEUZAO USIKU KUWA MCHANA.
Tuambie wewe maana ya kufungua tupate faida.

Tujuavyo sisi Waislamu kufungua ni kujizuia kula, kunywa, kufanya jimai na madhambi mengine kuanzia alfajiri ya kweli mpaka just linapo zama.

Type wewe maana ya fungal kwaujibu wa Biblia.
 
AKILI ZA HOVYO SANA.

YANI UNAKULA USIKU KUCHA MCHANA HULI UNASEMA UMEFUNGA.

UMEBADILISHA RATIBA. YA MSOSI UNAJIITA UMEFUNGA.

HOVYO SANA HII.

Biblia inasema.
OLE WAO WAUGEUZAO USIKU KUWA MCHANA.
Hawa jamaa wanabadilisha muda wa kula na sio kufunga.Mtu anaanza kula saa 12 hadi saa 11 usiku. Huku ni kufunga au kubadili ratiba?
 
MashaaAllah
 
Daku ni lunch iliyochangamka.......... mabadiliko tu ya ulaji.........ivi kuna mtu anaweza kula msosi mzito saa 9 au 10 Usiku ashindwe kufika saa 1830pm?
 
Na hio inatokana maana ya kufunga ,'nikujizuia kula ,kunywa.......katika mchana wa Ramadan '
 
tatizo siku hizi waisilam waeiga tabia za kikirisito baada ya kuishi changanyikeni
Zamani ilikua raha sana yaan muislam haangalii sijui wewe khafr au singasinga anakuletea vitafunwa km tende, sambusa, chapati, kababu, visheti, keki, zinasindikizwa na uji wa iliki na pilipili manga za kutosha au unakuta maharage yaliyotiwa sukari unakula bure barazani,

Na kingine ukifika nyumban unakuta umeletewa haijalishi umefunga km wao au haujafunga walikua wanagawa chakula kwa majirani zao wa karibu, nashangaa siku hizi ikifika mwezi wa Ramadhani futari biashara inauzwa wakati zamani ilikua bure
 
Mfano wako sio sahihi, kwa sababu unachanganya mambo ya dini na sayansi.
Pia napinga kuwa brainwash watoto katika dini wakiwa wadogo, waachwe wakuwe kama watoto wengine waamue wenyewe mambo ya dini wakiwa watu wazima.
Unamaanisha nini ukisema hivyo,kwamba wanafundishwa vitu vya uongo au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…