You are right, watoto wa kike wapate haki ya elimu sawa na wa kiume lakini tunahitaji kuelimisha vizazi vyetu juu ya majukumu ya asili ya kila jinsia ili kuondoa huu mzigo anaobaki nao mwanamke na kuondoa hii mentality ya kumsomesha mtoto wa kike ili aje a replace majukumu ya mwanaume
Hautaweza kufanya hivyo. Siyo rahisiSiku ikatokea nikawa kiongozi wanaume wote mtakuwa watumwa
Watoto wetu wa kiume wamekuwa wavivu, hawajiongezi, hawajui majukumu yao, wengi wanapenda kulelewa, hawafanyi vizuri kwenye mitihani yao mashuleni n.k. lakini je NANI WA KULAUMIWA?
well saidNi kweli, mimi naona hili jambo la kuwainua watoto wa kike litakuja kuwapa shida haohao watoto wa kike kwa sababu watakosa waume bora wa kuwao, taifa litakosa respobsible men in future na kutakua na gap kubwa sana kati ya wanaume na wanawake maana hawa wa kiume watakua wamesahaulika
Watakosa ujasiri mbele ta watoto wa kike, kwa namna hiyo tutakua na kizazi ambacho hakina balance kati ya mwanaume na mwanamke
Mwisho kabisa, mwanaume ni kichwa ndani ya familia, na familia ni component ya taiafa, hii familia ikikosa mwongozo mzuri basi taifa litakua halina mwongozo mzuri pia, tutakua na taifa lenye wananchi wa hovyo kabisa
Ni wakati wa serikali kuingilia kati, kuweka mchakato wa usawa kati ya watoto wa kiume na wa kike
huu ndio ukweli, huwzi shindana na aisiye breed kila mweziSiku hizi feminist wanajifanya kujua kila kitu huku wakisahau kila mtu ana majukumu yake ya kiasili nje na bla bla za kufundishwa shuleni
Yote na yote mwanamke atabaki kuwa mwanamke na mwanaume atabaki kuwa mwanaume