Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

Hoja imeanzia mtu kasema hatua za mwanadamu ni kuzaliwa, ndoa na kufa. Wewe unaonaje?
Ndoa ni basic need kwa baadhi ya watu Kama Abrianna na Samcezar
Demi Huu ni mjadala tu, don't take it too personal maa'm, nimeelewa point yako kwamba ndoa sio basic need and i did not urgue further, sema to we are trying to understand kwamba hata kama ndoa sio basic lakini at some point tutawahitaji wanaume kwa namna moja au nyingine kwa hiyo ni muhimu asiachwe nyuma
 
Demi Huu ni mjadala tu, don't take it too personal maa'm, nimeelewa point yako kwamba ndoa sio basic need and i did not urgue further, sema to we are trying to understand kwamba hata kama ndoa sio basic lakini at some point tutawahitaji wanaume kwa namna moja au nyingine kwa hiyo ni muhimu asiachwe nyuma
I didn't take it too personal Madame, nilikuwa tu najaribu kuipata concept yenu ikashindikana kupenya akilini. Tuko pamoja
 
Hatuwezi kuona impact yake sasa, may be in the next 20 years given that jamii imeweka effort kubwa kwa mtoto wa kike, halafu ukizingatia population difference kati ya mtoto wa kike na mtoto wa kiume, obvious we will face this soon or later, itafika mahali nafasi kubwa zote zitakua zimeshikiliwa na wanawake, sekta za muhimu zote zitakua na wanawake, na kwa mtazamo wa kijinsia mtoto wa kiume atajiona inferior kuwa na mahusiano na mwanamke ambae ji superior sana kwake, jiulize jamii itakua na vizazi vya namna gani, huyu mtoto wa kiume hataweza kusimama mbele ya mtoto wa kike kwa sababu wanaume by nature wameumbwa kama watawala, mimi najaribu kuwaza kwa mtazamo huo na ninaona the worse is yet to happen
Actually ni 100 years to come
 
Hatuwezi kuona impact yake sasa, may be in the next 20 years given that jamii imeweka effort kubwa kwa mtoto wa kike, halafu ukizingatia population difference kati ya mtoto wa kike na mtoto wa kiume, obvious we will face this soon or later, itafika mahali nafasi kubwa zote zitakua zimeshikiliwa na wanawake, sekta za muhimu zote zitakua na wanawake, na kwa mtazamo wa kijinsia mtoto wa kiume atajiona inferior kuwa na mahusiano na mwanamke ambae ji superior sana kwake, jiulize jamii itakua na vizazi vya namna gani, huyu mtoto wa kiume hataweza kusimama mbele ya mtoto wa kike kwa sababu wanaume by nature wameumbwa kama watawala, mimi najaribu kuwaza kwa mtazamo huo na ninaona the worse is yet to happen

No, may be you didnt get me. Things won't get worse,unless tungekuwa kwa sasa hivi kwenye the same position boys and girls kielimu halafu ikaja campaign msomeshe mtoto wa kike,hapo results ofcourse ingekuwa girls watakua front na boys behind, ila kilichopo ni GAP, girls are behind kwenye mzani, na ndio basis ya 'msomeshe mtoto wa kike'. Encourage girls

Again kumsomesha mtoto wa kike haimaanishi mtoto wa kiume atabaki nyuma, kama nilivyokuambia unless kuwe na shift major shift/change kwenye system ambayo labda ita deter boys kuchukua education opportunities then ndio tutaobserve boys being left behind,otherwise basing on current trends this is not happening or going to happen, so we might as well encourage girls to get education,

ni kweli wanaume wengi wanakua intimidated na mwanamke msomi,ila hao hao baadhi hupenda mwanamke anaye wachallenge, nchi nyingine actually mwanamke mwenye degree ndie anayeolewa!

Kuhusu nafasi kuchukuliwa na wanawake,no problem, is what your qualifications got you there,not because you are a woman,infact unaonyesha kuna stereotype, sexism existing us women need to challenge...ole wenu mniite feminist...! 🤣
 
Hatuwezi kuona impact yake sasa, may be in the next 20 years given that jamii imeweka effort kubwa kwa mtoto wa kike, halafu ukizingatia population difference kati ya mtoto wa kike na mtoto wa kiume, obvious we will face this soon or later, itafika mahali nafasi kubwa zote zitakua zimeshikiliwa na wanawake, sekta za muhimu zote zitakua na wanawake, na kwa mtazamo wa kijinsia mtoto wa kiume atajiona inferior kuwa na mahusiano na mwanamke ambae ji superior sana kwake, jiulize jamii itakua na vizazi vya namna gani, huyu mtoto wa kiume hataweza kusimama mbele ya mtoto wa kike kwa sababu wanaume by nature wameumbwa kama watawala, mimi najaribu kuwaza kwa mtazamo huo na ninaona the worse is yet to happen
South Africa wameshaanza
Wanataka kuhalalisha Polyandry
Mke mmoja kuwa na Mume zaidi ya mmoja...

huko ndo tunaelekea tusipokua makini...

japo SA wazushi sana hii kitu hata wazungu hawana
 
Hii kitu ya haki sawa kwa wote, imechangia ongezeko la mashoga na wasagaji, mtoto wa kiume na wakike wote wanafanya majukumu sawa kwa sawa bila mipaka.

Matokea yake jike anakua jike dume hadi usagaji na dume anaona yeye ni sawa tu na mwanamke hadi ushoga.

Hii kitu ya usawa iangaliwe kwa umakini sana.
 
No, may be you didnt get me. Things won't get worse,unless tungekuwa kwa sasa hivi kwenye the same position boys and girls kielimu halafu ikaja campaign msomeshe mtoto wa kike,hapo results ofcourse ingekuwa girls watakua front na boys behind, ila kilichopo ni GAP, girls are behind kwenye mzani, na ndio basis ya 'msomeshe mtoto wa kike'. Encourage girls

Again kumsomesha mtoto wa kike haimaanishi mtoto wa kiume atabaki nyuma, kama nilivyokuambia unless kuwe na shift major shift/change kwenye system ambayo labda ita deter boys kuchukua education opportunities then ndio tutaobserve boys being left behind,otherwise basing on current trends this is not happening or going to happen, so we might as well encourage girls to get education,

ni kweli wanaume wengi wanakua intimidated na mwanamke msomi,ila hao hao baadhi hupenda mwanamke anaye wachallenge, nchi nyingine actually mwanamke mwenye degree ndie anayeolewa!

Kuhusu nafasi kuchukuliwa na wanawake,no problem, is what your qualifications got you there,not because you are a woman,infact unaonyesha kuna stereotype, sexism existing us women need to challenge...ole wenu mniite feminist...! 🤣
I completely understand you dear , Hii discussion ni ndefu na ni pana sana, recently wanawake wamekua front kuanzia kwenye biashara, maofisini,hata mashuleni, ukienda sokoni 96% ni akina mama ambao wanatafuta kwa ajili ya watoto wao, tena wanachakarika kweli, wanaume wako wapi? Kwa nini akina mama wanatafuta na kulisha familia? What went wrong? Ukienda maofisini asilimia kubwa ni akina mama, nafasi kubwa nyingi kwa sasa zimeshikikiwa na wanawake, watoto wengi ukizungumza nao watakwambia my mom does evetything for me, au atakwambia hapa nilipo nimefika kwa sababu ya jitihada za mama, hii ndio gap ninayoizungumza, these people should not left behind na tunahitaji kuona kizazi kile cha wanaume wenye kusimamia familia, wenye kuwajibika ndani ya familia na sio kuacha mzigo kwa mama, wanaume wenye kuchukua majukumu wanapowatia wanawake mimba, kama tumeamua kufanya women empowerment tusiwainue wanawake ili waje kutekeleza wajibu wa mwanaume kwenye jamii, bali tuwainue ili waweze kupata haki sawa na hawa wanaume

Naongelea misconcept ya hii kampeni ya kuwainua wanawake na mdhara yake, jamii inaamini kwamba mwanamke anasoma ili aje kufanya majukumu ya mwanaume, aje alishe familia, mpaka wanaoa siku hizi, mwanamke anaoa analipa mahari kabisa

Its okay kushiriki kwenye kuhudumia familia lakini its not okay jukumu zima la kuhudumia familia alibebe mama

Hata uwe na mshahara mkubwa kiasi gani au uwe na elimu kiasi gani,kuna muda unahitaji kudekezwa kama mwanamke, unahitaji kufanyiwa shopping au kuhudumiwa yaani that is nature, ila wanawake wa sasa maskini anahudumia familia, anamuhudumia mume, na bado anajihudumia mwenyewe
 
Asante sana uliyewakilisha hoja hii
Nilikuwa natafuta muda wa kuandika mada hii ila kabla sijafanya hivyo wewe umefanya na umeweka vizuri zaidi kuonyesha utashi wako
Jambo hili likinyamaziwa ni bomu litakaloangamiza wengi
Na sina uhakika kama wanaosimamia hili hawajui madhara yake ya baadae
 
Lengo langu sio kuongelea udini lakini nikiangalia juhudi za dini ya kiislamu kupambana ili mwanaume abaki kuwa kichwa katika jamii dini hi ikosahihi japo Mimi ni mkiristo jina tu Ila naamini katika uweza wa Mungu pekee

Haya Mambo ya haki sawa ni bomu ambalo litakapolipuka Hali itakuwa mbaya na hili halihitaji maelezo

Na yote kwa yote huu ni mpango wa shetani Kama ilivyo ajenda zake kuhakikisha anauteka ulimwengu kwa kutumia jinsia ya kike(refer bustanini Edeni)

Yajayo yanasikitisha mno
 
I completely understand you dear , Hii discussion ni ndefu na ni pana sana, recently wanawake wamekua front kuanzia kwenye biashara, maofisini,hata mashuleni, ukienda sokoni 96% ni akina mama ambao wanatafuta kwa ajili ya watoto wao, tena wanachakarika kweli, wanaume wako wapi? Kwa nini akina mama wanatafuta na kulisha familia? What went wrong? Ukienda maofisini asilimia kubwa ni akina mama, nafasi kubwa nyingi kwa sasa zimeshikikiwa na wanawake, watoto wengi ukizungumza nao watakwambia my mom does evetything for me, au atakwambia hapa nilipo nimefika kwa sababu ya jitihada za mama, hii ndio gap ninayoizungumza, these people should not left behind na tunahitaji kuona kizazi kile cha wanaume wenye kusimamia familia, wenye kuwajibika ndani ya familia na sio kuacha mzigo kwa mama, wanaume wenye kuchukua majukumu wanapowatia wanawake mimba, kama tumeamua kufanya women empowerment tusiwainue wanawake ili waje kutekeleza wajibu wa mwanaume kwenye jamii, bali tuwainue ili waweze kupata haki sawa na hawa wanaume

Naongelea misconcept ya hii kampeni ya kuwainua wanawake na mdhara yake, jamii inaamini kwamba mwanamke anasoma ili aje kufanya majukumu ya mwanaume, aje alishe familia, mpaka wanaoa siku hizi, mwanamke anaoa analipa mahari kabisa

Its okay kushiriki kwenye kuhudumia familia lakini its not okay jukumu zima la kuhudumia familia alibebe mama

Hata uwe na mshahara mkubwa kiasi gani au uwe na elimu kiasi gani,kuna muda unahitaji kudekezwa kama mwanamke, unahitaji kufanyiwa shopping au kuhudumiwa yaani that is nature, ila wanawake wa sasa maskini anahudumia familia, anamuhudumia mume, na bado anajihudumia mwenyewe

Mnhhh, ndio kuna wanawake wanachakarika kulisha familia zao, cha kushangaza hutaki wapate elimu waongeze ufanisi katika sehemu zao za uzalishaji.,..

..tunapigana vita ya kiuchumi so i understand this pose a challenge to us, and in order to survive things might continuosly change,in this economic hardship women came to 'kujiongeza' kwa hio tumeona wanawake hawakai tena nyumbani, ,walikua wanakaa nyumbani sababu conditions zilikuwa zinawa - 'favour', ..i assume kizazi cha wanaume wenye kusimamia familia kilipotea baada ya kuanza kupigana vita ya uchumi,(mimi sikuwepo kizazi kilichopita) ila environment conditions favours women to take opportunities to survive....na kama jobs/biashara ndio ku survive then it make sense kuchukua elimu ili kufanya hizo kazi kwa ufanisi............................................sio vizuri ku dwell into the past,its gone...environment our ancestors had is not the same as ours...

.. kushiriki kwenye kuhudumia familia, utafanyaje bila kuwa na shughuli ya kukupatia kipato? iwe unahudumia fully au kidogo still lazima uwe na kipato,kipato ni kazi ama biashara which both need education kufanya kwa ufanisi..............

..kuhusu kuhudumiwa kila mtu na experiences zake ,kuhudumia kila siku bila kuonyeshwa appreciation hata kwa kidogo then its a problem,ila hii sio sufficient kusema mtoto wa kike asisomeshwe!
 
Mnhhh, ndio kuna wanawake wanachakarika kulisha familia zao, cha kushangaza hutaki wapate elimu waongeze ufanisi katika sehemu zao za uzalishaji.,..

..tunapigana vita ya kiuchumi so i understand this pose a challenge to us, and in order to survive things might continuosly change,in this economic hardship women came to 'kujiongeza' kwa hio tumeona wanawake hawakai tena nyumbani, ,walikua wanakaa nyumbani sababu conditions zilikuwa zinawa - 'favour', ..i assume kizazi cha wanaume wenye kusimamia familia kilipotea baada ya kuanza kupigana vita ya uchumi,(mimi sikuwepo kizazi kilichopita) ila environment conditions favours women to take opportunities to survive....na kama jobs/biashara ndio ku survive then it make sense kuchukua elimu ili kufanya hizo kazi kwa ufanisi............................................sio vizuri ku dwell into the past,its gone...environment our ancestor had is not the same as ours...

.. kushiriki kwenye kuhudumia familia, utafanyaje bila kuwa na shughuli ya kukupatia kipato? iwe unahudumia fully au kidogo still lazima uwe na kipato,kipato ni kazi ama biashara which both need education kufanya kwa ufanisi..............

..kuhusu kuhudumiwa kila mtu na experiences zake ,kuhudumia kila siku bila kuonyeshwa appreciation hata kwa kidogo then its a problem,ila hii sio sufficient kusema mtoto wa kike asisomeshwe!
You are right, watoto wa kike wapate haki ya elimu sawa na wa kiume lakini tunahitaji kuelimisha vizazi vyetu juu ya majukumu ya asili ya kila jinsia ili kuondoa huu mzigo anaobaki nao mwanamke na kuondoa hii mentality ya kumsomesha mtoto wa kike ili aje a replace majukumu ya mwanaume
 
Kuna nipango ya hovyo hovyo kweli inatekelezwa :
Kujenga shule maalumu za wasichana as if currently adui namba moja wa binti ni mvulana. Really! Na akihitimu aje kuishi na hao wavulana (former adui) huku mtaani /kazini.
Leo Ufaransa imekuwa moja ya taifa linaloidhinisha IVF kwa ajili ya LESBIAN COUPLES NA SINGLE MOTHERS. Shtuka ili uelewe.
Wasichana wanaaminishwa kuwa wanaweza kuishi bila ya mwanamume, ali mradi tu and hela, na mwanaume anaona jamii inamwekea masharti kibao, hivyo hakuna haja ya kuoa.
Huyu atakamuliwa manii, yanaandikwa Quick Way, na huyu ananunua anayapeleka kwa Dr. kisha anakuwa mjamzito in a quick (not proper) way.
Note : Bila ya kujenga responsible future fathers and mothers, haya tunayoyaita maendeleo yatakuwa uchafu mtupu.
 
Mimi sioni kama kuna tatizo mana gap bado ni kubwa wanaume wasomi walioelimika ni wengi tofauti na girls
 
Note: Andiko hili lilitolewa May 16, Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kiume Duniani.

Kuanzia mwaka 2018, Dr Jerome wa Trinidad and Tobago alifanikiwa kuitambulisha tarehe 16 May ya kila mwaka kama siku maalum ya kutambua mchango wa mtoto wa kiume katika jamii. Tangu mwaka 2012 UN ilipotambulisha tarehe 10 October ya kila mwaka kama siku ya mtoto wa kike Duniani, swali liliibuka kwa nini tunatenga watoto? Kwanini tuna siku ya mtoto wa kike na hatuna siku ya mtoto wa kiume?

Ndugu zangu mtakubaliana na mimi kwamba katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia matabaka makubwa katika makuzi na malezi ya watoto wetu wa kike na wa kiume na hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya WATOTO WA KIUME. Jitihada za lazima zisipofanywa na wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kumrudisha mtoto wa kiume katika nafasi yake madhara yanaweza kuwa makubwa sana. Naomba leo tukiwa tunaadhimisha siku ya mtoto wa kiume duniani niwakumbushe madhara machache tu kati ya hayo ili tuweze kujua na kutambua wajibu wetu;

1. Kwa sasa zaidi ya 20% ya watoto wa kiume wanaacha shule kati ya umri wa miaka 15 - 24. Wengi wao wanaenda kuwa madereva boda boda au watumishi kwenye migodi na mashambani. Wengi wa vijana hawa wanaishia kupata vilema vya maisha kama sio kufa kabisa kutokana na ajali nyingi za bodaboda na hivyo kupokonywa haki yao ya kuishi maisha kamilifu.

2. Watoto wetu hawa wa kiume hawakuwahi kushiriki katika mila wala desturi zozote kandamizi dhidi ya wanawake, hivyo hawaelewi kwa nini mtoto wa kike anapendelewa. Wakiendelea kuishi hivi watajenga chuki dhidi ya wanawake, na kwa kuwa bado 70% ya viongozi wataendelea kuwa wanaume, tutarudi tulikotoka kuwa na wanaume wasiothamini uwezo wa wanawake kwa kuwa wao hawakuthaminiwa katika makuzi yao walishuhudia wanawake wakipendelewa na hivyo wataona ni fursa ya kurudisha kisasi.

3. Watoto wetu wa kiume tusipowaandaa kujua namna ya kuishi na hawa watoto wa kike tunaowajenga kwa sasa tutashuhudia ndoa nyingi kuvunjika, watoto wengi kulelewa na single parent, wanaume kutokujua majukumu yao kwenye familia. Mwisho wa siku hawa watoto wa kike tunaowajengwa kwa nguvu zote watakosa support kutoka kwa watoto wetu wa kiume.

4. Kuongezeka kwa ukatili wa kijinsia, watoto wetu wa kiume watakaposhindwa kushindana kwa hoja na watoto wa kike tutashuhudia na tayari tumeshashuhudia kuongezeka kwa vitendo vya ukatili kwa watoto wetu wa kike kwa kuwa wako empowered na watoto wetu wa kiume hawajui namna ya kuishi nao. Hivyo watoto wa kiume wataendelea kutumia UBABE ili tu uwanaume wao uweze kuonekana.

5. Kuongezeka kwa vitendo vya ujambazi na matumizi ya madawa ya kulevya. Waathirika wakubwa wa madawa ya kulevya ni watoto wetu wa kiume na pia wao ni rahisi mara 20 zaidi ya watoto wa kike kufungwa jela. Mtoto aliyekosa makuzi sahihi ukua akiwa hatari kubwa kwa jamii iliyomzunguka. Tukiendelea kuwatenga watoto wa kiume vitendo vya ujambazi, unyang'anyi, ubakaji, utapeli n.k. vitaongezeka na hivyo kuendelea kumpoteza mtoto wa kiume na kuhatarisha maisha ya jamii inayomzunguka.

6. Kwa sasa kuna nia madhubuti kabisa ya kumwinua mtoto wa kike kielimu na kumpatia fursa mbalimbali za kumkwamua kiuchumi. Fursa hizi watoto wa kiume hawapati na hivyo wengi wakikosa kazi utawakuta VIJIWENI hata ukitoka nyumbani kwako leo angalia njia nzima unayopita utaona makundi ya watoto wa kiume wenye nguvu na hari lakini hawana kazi za kufanya. Hii inasababisha wakose vipato na hivyo kutegemea kuishi kwa kubangaiza au kutegemea watoto wa kike.

Watoto wetu wa kiume wamekuwa wavivu, hawajiongezi, hawajui majukumu yao, wengi wanapenda kulelewa, hawafanyi vizuri kwenye mitihani yao mashuleni n.k. lakini je NANI WA KULAUMIWA?

Leo ni siku nzuri sana tunaposherehekea hii siku ya mtoto wa kiume duniani wanajamii wenzangu tujiulize, nini mchango wetu katika kumpoteza mtoto wa kiume ? Na je nini kifanyike ili tuanze kurekebisha haya makosa?

Naomba nimalize kwa kunukuu msemo wa Frederic Douglas usemao " It is easier to build strong children than to repair broken men ". Watoto wa kiume wana haki sawa na watoto wa kike kupata Elimu bora, Fursa za kujikwamua kiuchumi na Kuendelezwa vipaji vyao.

Imeandikwa na
Mercy Mchechu - Mkurugenzi Rightway Schools
Pamoja nimehamisha watoto wangu kutoka hapo kwenye shule yake sababu ya upuuzi wao wa menejimenti ya shule Ila ameandika jambo la msingi sana.
 
Mwandishi japo upo upande wa pili, nikupe hongera kwa kuliona hili , tukiachana na masuala mengine ya kijamii KWA upande wa Elimu naomba fursa zitolewe tu kwa wote na wakikwama wote wabembelezwe Kama upande wa pili wanavyobembelezwa tu
 
Back
Top Bottom