I completely understand you dear , Hii discussion ni ndefu na ni pana sana, recently wanawake wamekua front kuanzia kwenye biashara, maofisini,hata mashuleni, ukienda sokoni 96% ni akina mama ambao wanatafuta kwa ajili ya watoto wao, tena wanachakarika kweli, wanaume wako wapi? Kwa nini akina mama wanatafuta na kulisha familia? What went wrong? Ukienda maofisini asilimia kubwa ni akina mama, nafasi kubwa nyingi kwa sasa zimeshikikiwa na wanawake, watoto wengi ukizungumza nao watakwambia my mom does evetything for me, au atakwambia hapa nilipo nimefika kwa sababu ya jitihada za mama, hii ndio gap ninayoizungumza, these people should not left behind na tunahitaji kuona kizazi kile cha wanaume wenye kusimamia familia, wenye kuwajibika ndani ya familia na sio kuacha mzigo kwa mama, wanaume wenye kuchukua majukumu wanapowatia wanawake mimba, kama tumeamua kufanya women empowerment tusiwainue wanawake ili waje kutekeleza wajibu wa mwanaume kwenye jamii, bali tuwainue ili waweze kupata haki sawa na hawa wanaume
Naongelea misconcept ya hii kampeni ya kuwainua wanawake na mdhara yake, jamii inaamini kwamba mwanamke anasoma ili aje kufanya majukumu ya mwanaume, aje alishe familia, mpaka wanaoa siku hizi, mwanamke anaoa analipa mahari kabisa
Its okay kushiriki kwenye kuhudumia familia lakini its not okay jukumu zima la kuhudumia familia alibebe mama
Hata uwe na mshahara mkubwa kiasi gani au uwe na elimu kiasi gani,kuna muda unahitaji kudekezwa kama mwanamke, unahitaji kufanyiwa shopping au kuhudumiwa yaani that is nature, ila wanawake wa sasa maskini anahudumia familia, anamuhudumia mume, na bado anajihudumia mwenyewe