Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Alafu wewe inabidi ufungue uzi wako tuje kufanya ligi
Jina lako linaanza na B sio,sio hii username,nasema lile real name.

Hao wenye majina hayo huwa wana tabia za ujinga ujinga.

Eti umesoma UDOM,watu tuna files zako tunakuona tu.

Ulisema CV utaleta hapa,iko wapi?
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mkuu nipo nafatilia mtanange hapa.....

Hii ya parallel connection ya ammeter imeniacha hoi...

Huyu kama ni mwalimu wa VETA basi tumekwisha.
Hahahahahaha kweli Ni POOR BRAIN, Japo alianza kwa kujimwambafaiπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜…πŸ˜…
 
Jina lako linaanza na B sio,sio hii username,nasema lile real name.

Hao wenye majina hayo huwa wana tabia za ujinga ujinga.

Eti umesoma UDOM,watu tuna files zako tunakuona tu.

Ulisema CV utaleta hapa,iko wapi?
Nimesoma Udom Jina langu linaanza na J mkuu
 
Summary kuhusu huyu poor brain
1. Ni mtupu haswa ila ameamua kuchangamsha uzi tu kwa kubishana makusudi. Utagundua kwenye maandishi yake hakuna angle ambayo yupo sahihi. Lugha mbovu kote kote kiswahili na kiingereza kuanzia grammar, muundo, mantiki msamiati nk

2. Kila kitu anachoandika ambacho anakiegemeza kwenye utaalamu basi amechukua kutoka akili mnemba AI. Utaona hata cv ameshindwa kuweka anasema mpaka saa 9 means anasubiri arudi mihangaikoni akusanye data kutoka vyanzo mbalimbali vya Google kisha ailishe taarifa hizo akili mnemba imwandalie cv

3. Ni mgeni katika teknolojia ameijua hiyo AI hivi karibuni hivyo anadhani wengine hawaijui na anaiamini sana. Utaona hoja zake zote anazisapoti kwa chatgpt!

4. Anabisha hata asichokielewa na anaongea asichokijua. Angalia kozi alizojinasibu nazo angalia pia anavyogeukageuka, 1 kali ya physics/umeme miaka miwili/umeme mwishoni mwa semista/Bachelor in degree in education/IT/blah blah nk. Tuombe tu iwe ameamua kutania na kuchangamsha uzi kwa njia ya kukera watu lakini Kama yupo serious juu ya anayoyaandika basi watu wamekwisha na ndiyo maana amenifurahisha sana jamaa aliyeandika sasa amejua kwa nini umeme unakatika katika Tanzan
Dadeq huu uandishi mbovuπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
1. Kinacho determining power ya magnets inategemea ni tempo au perm fadanua swali vzr kanuni

Nakuja wakuunakua natingwa n kazi
 
DR Mambo Jambo

Daktari nimefurahi kukuona katika mjadala huu wa umeme,na umejaribu kueleza kitu...

Mimi ningetamani kujua zaidi kutoka kwako...kwakua umevutiwa na umeme utakua kidogo unainterest nao...

na naamini kuna kitu kiatalamu na kisayansi hadharani naweza pata vitu muhimu kutoka kwako....

Nina maswali ya "postmortem" hasa ya vifo vinavyo sababishwa na umeme sijui kama una utaalamu wa "postmortem" au la...

Kama huna nisitishe maswali yangu **** unayo nidadavulie....
Kwanza Kabisa Wataalamu wa Postmortem Mara Nyingi Ni ma Pathologists au Hata Hawa Ma Forensic Scientists..
Kwa bahati mbaya Sana Kipindi nafanya Specialisation sikuchukua Hayo masomo..

ila kwakuwa Forensic na Pathology as well as Anatomy Ni somo ambalo Kila Daktari Haijalishi level yake ni lazima Kulijibu Nitajitahisi Kwakuwa Najua Basics zake..

1.Unafahamu vipi matumizi ya umeme katika kutekeleza mauaji ya kimkakati yale yasio ya bahati mbaya...
Hili swali Limekaa Kisheria Sheria zaidi Kuliko Kidaktari yaani Watu wa Criminology wana Majibu Yake Mengi sana Ola sidhani kama Daktari yoyote anaruhusiwa Kujibu hata kama ni Mahakamani akitoa Ushahidi Kwamba anahisi Huyu Mtu kauliwa Kimakusudi 🀣🀣
2.Ni vitu gani katika mwili wa mhanga vitakuonesha mhusika kauwawa au kafa kwa umeme.
Japo Case za electrocution, Huwa sio nyepesi Maana zinahitaji Knowledge kubwa Ila nitajaribu..

Kwanza Huwa Tunaaingia au Kuexamine Entry point na Exit point..sasa Hapa Pia Kuna Uangalifu maan usipokuwa mwangalifu unaweza Ukachanganya kati ya Thermal Burns na Electrical burns.

Sasa Nifatilize..
Autopse mara Nyingi kwa Postmortem huwa Inaangaliwa mechanism ya Dealth..

Ila kwa Electrocution mara Nyingi sana Mechanism ys Dealth Huwa ni kupitia Mambo matatu kama sio mawili Jambo la Kwanza disturbance of heart rhythm ambayo Inaweza Kusababisha Moyo kusimama Ghafla Jambo la Pili brain function na Jambo la Tatu Extensive Burns na Hii ndo Thermal Injury niliyosema mwanzo kabisa hapo..

Sasa Kwenye Moyo Huwa inakuwaje?

Electrical current Inavopita kwenye Mwili through Body Fluid at al.. Huwa ina disrupt heart's normal electrical activity, ambayo sasa Hupelekea kwenye fatal arrhythmias kama Unazifahamu inaweza kuwa ni ventricular fibrillation au asystole kabisa..

Sasa ili kugundua Kama Ni Umeme Kweli Lazima Ufanye Histology Investigation..
Kwahyo utachukua Autospy kuangalia Contraction Band Necrosis (CBN), Ischemic Changes na Vitu vingine vingi..
Japo Ni mtihani sana Kukuta Baadhi ya Vitu..
Nafikiri Kuna Viti vingi ambavyo naweza Kuviongea Ila vyote ni mattet ya Histology examination

3.Ni kiasi gani cha umeme kitaalamu mnaamini kinaweza sababisha mauti.
Even small as 100 au 200 mA inaweza kusababisha Kifo
4.Ni rahisi au vigumu kiasi gani kufanya ukaguzi huu na kutoa report.
NI ngumu sana Ukitaka Kufanya Kwa Sheria zake zote..
Maana kupata A hallmark of electrocution related myocardial injury sio Jambo la Kitoto maana Mara Nyingi sana Moyo huwa unakuja Hauna Visible abnormality so Ni kazi ya Ziada na Ndo maana Wengi huitimisha Kuwa Ni Electrocution baada ya Kuona Entry Point na Exit point..
5.Ulisha wahi kutana na tukio kama hili au jukumu kama hili na kuandikia report,nini uliona na nini kilikufanya uandike aina hiyo ya report.
Yes, Ila Zamani sana Niliwahi Kufanya ila ndo hiyo ya Kuangalia Entry point na Exit unaandika Report na Ukishapata Uthitibitiso kuwa Ni Imeme kutokaka na Thermal burns basi unaandika Report but ukifata Misingi ni Report ngumu sana
6.Richa ya mazingira ya tukio hua mna mtu yoyote mtaalamu wa umeme mnamualika katika kukamilisha hizo report na kuziwakilisha kwa mamlaka husika
Mtalaamu Wa Umeme Aje Kufanya nini?
vielelezo vya report ya postmortem hua sio siri,mfano mtu kujinyonga au kukabwa...mapafu yataonekana yalikosa hewa...

Mtu kupigwa na kitu kizito itonekana kuvuja kwa damu katika ubongo au mtikisiko wa ubongo usio wa kawaida...

Nawakilisha...
inategemea na Mamlaka inayoomba Postmortem Sio kila mtu anaweza Ku order Kuna mamlaka za Kufanya hivyo
 
View attachment 3181222
Kurushwa na umeme ni dhana hakuna kitu kama hicho kisayansi ,ukweli ni huu hapa.

Kuna kauli umesha wahi zisikia,mtu akisema amerushwa na umeme si ndiyo..??

Mtu huyo anaweza shuhudia kabisa kuwa karushwa na umeme toka sebuleni hadi chumbani...

Basi ukweli ni huu,umeme haurushi mtu,ila umeme unaweza

1. Shika mtu na akashindwa kujitoa.

kama tu huo umeme utakua katika kiasi cha kupoozesha mfumo wake wa fahamu...mtu huyo hata jichomoa ataganda hapo hapo hadi maji yake mwilini yapungue ndo ataachiwa...

DHANA YA KURUSHWA NA UMEME.

2. Ukikuta umehisi umerushwa na umeme maana yake umeme uliingilia mifumo yako ya fahamu na ukashindwa kukushika(kukunasa,kulukausha maji),hali iliosababisha wewe kupata hitirafu ya fahamu,ya kumbukumbu ambapo ulihama mwenyewe eneo moja kwenda jingine bila kujitambua...

Fahamu kua mfumo wa fahamu wa binadamu huwasiliana kwa njia ya umeme..na ikitokea umeme wa ziada umeingia katika mwili hupelekea mfumo huo kuvurugika...

Pale binadamu anapogusa umeme bahati mbaya,ubongo wake husababisha awashe hisia za kujiokoa..

Kwakua kilichosababisha changamoto ni umeme husababisha taarifa mvurugano hupelekea mtu huyo kusahau nyakati flani ambazo alikua akijiokoa..

Hivyo kama ikitokea umegusa kifaa cha umeme sebuleni na baadae ghafla ukajikuta chumbani si kwamba umerushwa hadi huko...hapana

Ulikimbilia huko wewe mwenyewe kwa miguu yako...sema tukio lilitokea kwa haraka ukiwa katika hali ya kupoteza kumbukumbu...kutokana na mfumo wako wa fahamu kuingiliwa na umeme...

So pale kumbukumbu zitakapo kurejea utahisi umefika hapo kwa kurushwa...

Kuna mmoja alirushwa toka jikoni hadi kwa jirani....hahahah

USIKU MWEMA.

Transistor.
Chukua spoku ya baiskel chomeka kwa plag ya ukutani
 
Back
Top Bottom