Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Unacheka tawasha moto hapa πππππππππππ€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unacheka tawasha moto hapa πππππππππππ€£
ππAnyway very good challenger...uzi umesogea sana appriciating...tupo pamoja...Unacheka tawasha moto hapa ππππππππ
Shukrani!Hakuna sayansi ila ni dhana tu broo...hapo kinachotokea ni function of centra nervous system....which draw away a victim's body unconsciously from danger.....sasa hapo kwasababu hatujasoma mifumo ya fahamu ya mwili inayorespond the external stimulii.......tunasema tu hivi Nimerushwa na umeme.
KWELI WEWE UNAELEWEKA NA SOMO LAKO LA UMEME SHUKRANI
Daaaah mkuu kuna yule jamaa ako yaani ametaka kunikanda hapa mbele za watu jamni doohππAnyway very good challenger...uzi umesogea sana appriciating...tupo pamoja...
Sawa mkuu nashukuru sana kwa ushauri wakoNimefuatilia huu mtanange kimya kimya tokea asubuhi.....
Kuna mengi ya kujifunza hasa kutoka kwa positive comments.....
Lakini kikubwa, naomba tuheshimu fani za watu......
Mkuu Poor Brain tutakuheshimu kua wewe ni mwalimu (ticha) wa physics lakini kwenye umeme, nakushauri waache wataalamu watuelimishe........
We kiande unamtisha nani sasa?Mi mtu anapoingilia fani yangu huwa namaindi na sipendi kupotosha watu...
Nishamaliz
Mpaka upigwe shoti ndo utaelewa.Sawa mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako
Kumbe ni manager kabisa halafu kunipa pande mwanao niishi hapa town unaona jau au sio??Mkuu mpaka sasa ujasema umesoma advance au laaah..
Oky one kali ya phy namaanisha nilipata A sio form four mpaka advance...
Take this one ya physics...
Huo umeme unaosemea hapa nimecheza nao na mpaka sasa nipo nauchezea hapa sijui unanielewa mkuu sibahatishi mimi.
Huyu ni mimi my short cv hiyo sawa mkuu View attachment 3185948
Niache mkuu...We kiande unamtisha nani sasa?
Riki umeona kazi huko juu πππππMpaka upigwe shoti ndo utaelewa.
Weee bana weeeeeeh weee bana weeee....Kumbe ni manager kabisa halafu kunipa pande mwanao niishi hapa town unaona jau au sio??
Wawashie moto wasiokujua, wewe unaenjoy mwamba anafuraNiache mkuu...
Ahahaha takuwashia moto hapa
π π πnaona umeme unastimulate umeme wa mwilini ubongo ukichanganyikiwa mtu anakimbiaaa...!! sasa waokufaga sijui ubongo nao huwa unaliwa kichwa mapema.Riki umeona kazi huko juu πππππ
Hapana ajafra ..Wawashie moto wasiokujua, wewe unaenjoy mwamba anafura
Unaambiwa poor brain na umeme ni kama ishirini na twentyπ π πnaona umeme unastimulate umeme wa mwilini ubongo ukichanganyikiwa mtu anakimbiaaa...!! sasa waokufaga sijui ubongo nao huwa unaliwa kichwa mapema.
Tokaaa hapa!1. Kinacho determining power ya magnets inategemea ni tempo au perm fadanua swali vzr kanuni
Nakuja wakuunakua natingwa n kazi
Niache mkuu mbona unataka kunivamia banaTokaaa hapa!
KICHWA cha kuku acha mambo yako!
CV iko wapi?
πππππππ Alafu wewe inabidi ufungue uzi wako tuje kufanya ligiKICHWA cha kuku.