Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Nimesoma physics in education...
General physics ni part ndogo sana katika kozi yangu na nimesoma sasa unataka kubishana na ndio au..

Nimesoma dodoma udom miaka minne na umeme nimesoma

Sasa mtaalamu ngoja nikusaidie kitu hapa. Wewe umesoma Fizikia na umesoma umeme semester mbili za mwisho. Kwa ufupi unatakiwa uendelee kujifunza juu ya umeme na mawanda yake.

Nikajua walau labda wewe ni Muhandisi wa umeme, kidogo ungekuwa na lugha moja na wale ambao maisha yao ni umeme.

Kwa ufupi hamkupaswa mfikie huku, bali kila mmoja angejenga hoja kwa kurejea misingi ya umeme.

Fanyeni hivyo ili watu wapare faida kutokana na hiki mnachokojadili.
 
NIMEKUACHA.
UNA SHIDA.

HIZO KOZI ZENYE HAYA MAJINA HAZIPO UDOM.

Huyu mtaalamu ukiangalia kutokana na anachokiandika, inaonekana amesoma umeme ule wa kifizikia tu kwa maana basic, za kishule shule Sasa huyu ni ngumu akaandika kuhusu umeme akapatia.

Huku mlipofikishana hapakuwa na ulazima wowote, zaidi ya kujikita kwenye mada. Mara nyingi watu ambao wanajinasibu juu ya ujuzi fulani au kuwa guru katika kada fulani pasi na kuulizwa, huyo huonyesha ni kwa namna gani sio mjuzi wa hilo jambo.
 
Mwanzo nilidhani yupo serious lakini mbeleni huku nimegundua anafanya comedy ya kuudhi kwa makusudi

English hawezi
Kiswahili kibovu
Maarifa madogo au empty kabisa

Poor brain
 
Summary kuhusu huyu poor brain
1. Ni mtupu haswa ila ameamua kuchangamsha uzi tu kwa kubishana makusudi. Utagundua kwenye maandishi yake hakuna angle ambayo yupo sahihi. Lugha mbovu kote kote kiswahili na kiingereza kuanzia grammar, muundo, mantiki msamiati nk

2. Kila kitu anachoandika ambacho anakiegemeza kwenye utaalamu basi amechukua kutoka akili mnemba AI. Utaona hata cv ameshindwa kuweka anasema mpaka saa 9 means anasubiri arudi mihangaikoni akusanye data kutoka vyanzo mbalimbali vya Google kisha ailishe taarifa hizo akili mnemba imwandalie cv

3. Ni mgeni katika teknolojia ameijua hiyo AI hivi karibuni hivyo anadhani wengine hawaijui na anaiamini sana. Utaona hoja zake zote anazisapoti kwa chatgpt!

4. Anabisha hata asichokielewa na anaongea asichokijua. Angalia kozi alizojinasibu nazo angalia pia anavyogeukageuka, 1 kali ya physics/umeme miaka miwili/umeme mwishoni mwa semista/Bachelor in degree in education/IT/blah blah nk. Tuombe tu iwe ameamua kutania na kuchangamsha uzi kwa njia ya kukera watu lakini Kama yupo serious juu ya anayoyaandika basi watu wamekwisha na ndiyo maana amenifurahisha sana jamaa aliyeandika sasa amejua kwa nini umeme unakatika katika Tanzania
 
Summary kuhusu huyu poor brain
1. Ni mtupu haswa ila ameamua kuchangamsha uzi tu kwa kubishana makusudi. Utagundua kwenye maandishi yake hakuna angle ambayo yupo sahihi. Lugha mbovu kote kote kiswahili na kiingereza kuanzia grammar, muundo, mantiki msamiati nk

2. Kila kitu anachoandika ambacho anakiegemeza kwenye utaalamu basi amechukua kutoka akili mnemba AI. Utaona hata cv ameshindwa kuweka anasema mpaka saa 9 means anasubiri arudi mihangaikoni akusanye data kutoka vyanzo mbalimbali vya Google kisha ailishe taarifa hizo akili mnemba imwandalie cv

3. Ni mgeni katika teknolojia ameijua hiyo AI hivi karibuni hivyo anadhani wengine hawaijui na anaiamini sana. Utaona hoja zake zote anazisapoti kwa chatgpt!

4. Anabisha hata asichokielewa na anaongea asichokijua. Angalia kozi alizojinasibu nazo angalia pia anavyogeukageuka, 1 kali ya physics/umeme miaka miwili/umeme mwishoni mwa semista/Bachelor in degree in education/IT/blah blah nk. Tuombe tu iwe ameamua kutania na kuchangamsha uzi kwa njia ya kukera watu lakini Kama yupo serious juu ya anayoyaandika basi watu wamekwisha na ndiyo maana amenifurahisha sana jamaa aliyeandika sasa amejua kwa nini umeme unakatika katika Tanzania

"Hahaha... Sometimes we avoid such kinds of people. As you know, we have built our technological status here in Jamii Forums over the years.

We provide solutions and argue with facts.

And suddenly, someone from Swekeni wants to climb to our level using our status.

I knew him from the start, which is why I left early."
 
"If he’s asking for CVs and others are just watching or ignoring him,If they decide to put their CVs here he’ll end up nodding his head to everyone.

And my wonder is that,when and which University teaches Physics as Pure Electrical subject...

That is just an basic to a lot of physical and phycisian knowledge...

The things he prides himself on are things I started learning when I was 14. I was doing pure electrical work back then, and I’ve never quit my profession to this day above 30.

Sometimes, when you truly know your worth and amateurs try to associate with your name, ignoring them is the best response.

Maybe I could design something electronic chip to boost his IQ—because, at my level, I can! Hahaha!" TRANSISTOR!

Summary kuhusu huyu poor brain
1. Ni mtupu haswa ila ameamua kuchangamsha uzi tu kwa kubishana makusudi. Utagundua kwenye maandishi yake hakuna angle ambayo yupo sahihi. Lugha mbovu kote kote kiswahili na kiingereza kuanzia grammar, muundo, mantiki msamiati nk

2. Kila kitu anachoandika ambacho anakiegemeza kwenye utaalamu basi amechukua kutoka akili mnemba AI. Utaona hata cv ameshindwa kuweka anasema mpaka saa 9 means anasubiri arudi mihangaikoni akusanye data kutoka vyanzo mbalimbali vya Google kisha ailishe taarifa hizo akili mnemba imwandalie cv

3. Ni mgeni katika teknolojia ameijua hiyo AI hivi karibuni hivyo anadhani wengine hawaijui na anaiamini sana. Utaona hoja zake zote anazisapoti kwa chatgpt!

4. Anabisha hata asichokielewa na anaongea asichokijua. Angalia kozi alizojinasibu nazo angalia pia anavyogeukageuka, 1 kali ya physics/umeme miaka miwili/umeme mwishoni mwa semista/Bachelor in degree in education/IT/blah blah nk. Tuombe tu iwe ameamua kutania na kuchangamsha uzi kwa njia ya kukera watu lakini Kama yupo serious juu ya anayoyaandika basi watu wamekwisha na ndiyo maana amenifurahisha sana jamaa aliyeandika sasa amejua kwa nini umeme unakatika katika Tanzania
 
Huna hoja ya kubishana na mimi..
Mi ni fundi mkuu nimesoma umeme miaka miwili...

Labda niulize chochote kuhusu umeme nikujibu..
Nimesoma umeme toka form 4 na nimetoka na 1 kali ya physics

Adv nimesoma PCM nimesoma umeme wa advance..
Sasa sijui unataka kunirekebisha nini hapo...
Unatanguliza neno unadhani.. mbele yangu..
Fundi mkuu, naomba tofauti ya shock inayosababishwa na umeme (DC) na ile inayosababishwa na umeme (AC).
 
Summary kuhusu huyu poor brain
1. Ni mtupu haswa ila ameamua kuchangamsha uzi tu kwa kubishana makusudi. Utagundua kwenye maandishi yake hakuna angle ambayo yupo sahihi. Lugha mbovu kote kote kiswahili na kiingereza kuanzia grammar, muundo, mantiki msamiati nk

2. Kila kitu anachoandika ambacho anakiegemeza kwenye utaalamu basi amechukua kutoka akili mnemba AI. Utaona hata cv ameshindwa kuweka anasema mpaka saa 9 means anasubiri arudi mihangaikoni akusanye data kutoka vyanzo mbalimbali vya Google kisha ailishe taarifa hizo akili mnemba imwandalie cv

3. Ni mgeni katika teknolojia ameijua hiyo AI hivi karibuni hivyo anadhani wengine hawaijui na anaiamini sana. Utaona hoja zake zote anazisapoti kwa chatgpt!

4. Anabisha hata asichokielewa na anaongea asichokijua. Angalia kozi alizojinasibu nazo angalia pia anavyogeukageuka, 1 kali ya physics/umeme miaka miwili/umeme mwishoni mwa semista/Bachelor in degree in education/IT/blah blah nk. Tuombe tu iwe ameamua kutania na kuchangamsha uzi kwa njia ya kukera watu lakini Kama yupo serious juu ya anayoyaandika basi watu wamekwisha na ndiyo maana amenifurahisha sana jamaa aliyeandika sasa amejua kwa nini umeme unakatika katika Tanzania
Bahati mbaya wazee wa chimbo wamepata hadi sura yake,majina yake,elimu yake,n.k.

Kuna mkanganyiko kwenye mambo yake,uongo mwingi ukweli kidogo.
 
Dooh mumuache jamani msimuanike hapa...labda kama moderators wataruhusu😀😂😀😀
Jamaa ameniudhi sana alipoleta mambo ya vyeti,eti una A ya physics,umesoma advance wewe?

Kuna sehemu ananiuliza,unajua kufunga submeters ,mara eti series na parallel connection kama najua.

Akaharibu alipouliza,eti kuweka parallel connection ya ammeter,hadi sasa hivi nasubiri aje aseme hii inaungwaje parallel.

Mods nimeshawaomba radhi,huyu nanyooka nae mzima mzima,amezoea kusumbua watu,leo amekosea njia.

Lazima tujenge taifa la watu waaminifu,sio hawa aina poor brain.
 
Electrical Tetany:
This refers to involuntary, sustained, and rapid muscle contractions caused by electrical stimulation. When an electric current flows through the body, it disrupts the normal electrical signals in nerves and muscles, causing them to contract forcefully and uncontrollably.
Mechanism:
  • The electric current stimulates motor neurons (nerve cells controlling muscles).
  • This leads to repetitive firing of these neurons, causing continuous muscle contractions (tetany).
  • The strength and duration of the contractions depend on the intensity and duration of the electric current.
 
DR Mambo Jambo

Daktari nimefurahi kukuona katika mjadala huu wa umeme,na umejaribu kueleza kitu...

Mimi ningetamani kujua zaidi kutoka kwako...kwakua umevutiwa na umeme utakua kidogo unainterest nao...

na naamini kuna kitu kiatalamu na kisayansi hadharani naweza pata vitu muhimu kutoka kwako....

Nina maswali ya "postmortem" hasa ya vifo vinavyo sababishwa na umeme sijui kama una utaalamu wa "postmortem" au la...

Kama huna nisitishe maswali yangu **** unayo nidadavulie....

1.Unafahamu vipi matumizi ya umeme katika kutekeleza mauaji ya kimkakati yale yasio ya bahati mbaya...

2.Ni vitu gani katika mwili wa mhanga vitakuonesha mhusika kauwawa au kafa kwa umeme.

3.Ni kiasi gani cha umeme kitaalamu mnaamini kinaweza sababisha mauti.


4.Ni rahisi au vigumu kiasi gani kufanya ukaguzi huu na kutoa report.


5.Ulisha wahi kutana na tukio kama hili au jukumu kama hili na kuandikia report,nini uliona na nini kilikufanya uandike aina hiyo ya report.


6.Richa ya mazingira ya tukio hua mna mtu yoyote mtaalamu wa umeme mnamualika katika kukamilisha hizo report na kuziwakilisha kwa mamlaka husika

vielelezo vya report ya postmortem hua sio siri,mfano mtu kujinyonga au kukabwa...mapafu yataonekana yalikosa hewa...

Mtu kupigwa na kitu kizito itonekana kuvuja kwa damu katika ubongo au mtikisiko wa ubongo usio wa kawaida...

Nawakilisha...
 
Screenshot_20241227-151824.png
Muda unayoyoma inatengenezwa CV iliyoshiba
 
Back
Top Bottom