Dhana ya kurushwa na umeme ukweli ni huu!

Kwa hiyo kwa kuuunga mkono hoja yako, unajihisi anakupinga?! Wewe ni msomi kweli? Tz kuendelea, inatakiwa elimu ya kujitambua zaidi!
 
Shukrani sana,nimepata kitu mtaalamu,barikiwa👍!
 
Mpaka sasa naona unabisha bisha tuu..
Nimeuliza advance una one ya ngapi..

Mbona mambo madogo haya au ndo nyie wa kuunga unga huko na vyeti vyenu vya ajabu...

Unajua kufunga submeter wewe?
Nikuulize vtu vichache kuhusu umeme utanijibu..?
Hahahahahaha aisee nimecheka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…