Don Nzoko
JF-Expert Member
- Jan 6, 2020
- 308
- 306
✓kwanza pole Sana coz tz ni nchi ya ajabu Sana na ndo maana unaona wasanii wote wanashindana kutunga nyimbo nzuri ya kumsifu mwenyekiti wenu huku wakijiua baada ya October wanarudi kwny msoto
✓Pili hakuna kitu ninachokichukia Kama huyo mshenzi kupewa Hilo Jimbo manake yy naye ni sehemu ya umaskini wa hapo mkoani coz Kuna moproco kiwanda cha mafuta kakiua,komoa sabuni kakiua na kiwanda Bora Cha canvas kichokuwa kinauza sn nje maturubai mazito nacho kaua na kibaya kukageuka zizi la mbuzi
✓tatu Moro elimu bado ipo nyuma Sana manake kwa maelezo yako ingekuwa Moshi,Arusha au mbeya wanepindua meza ungepita!!!wao kupewa gari la kuzikia wameona wamepewa maisha wakati hvyo viwanda vingekuwa vinafanya kazi wangekodisha Yao badala ya Hilo bovubovu
✓nne nawe umerudi kule kule kujionesha,kwangu sijaona sababu ya kutuwekea umesoma nn na namba yako ya simu Kama siyo kutaka wakuone na hii ishara unachokilalamikia ndo utakachofanya hata ww ukiwa kwny mfumo
all in all umejaribu kwa Mara ya kwanza madhaifu ya Leo yakawe darasa awamu ijayo na mandalizi yaanze sasa
✓Pili hakuna kitu ninachokichukia Kama huyo mshenzi kupewa Hilo Jimbo manake yy naye ni sehemu ya umaskini wa hapo mkoani coz Kuna moproco kiwanda cha mafuta kakiua,komoa sabuni kakiua na kiwanda Bora Cha canvas kichokuwa kinauza sn nje maturubai mazito nacho kaua na kibaya kukageuka zizi la mbuzi
✓tatu Moro elimu bado ipo nyuma Sana manake kwa maelezo yako ingekuwa Moshi,Arusha au mbeya wanepindua meza ungepita!!!wao kupewa gari la kuzikia wameona wamepewa maisha wakati hvyo viwanda vingekuwa vinafanya kazi wangekodisha Yao badala ya Hilo bovubovu
✓nne nawe umerudi kule kule kujionesha,kwangu sijaona sababu ya kutuwekea umesoma nn na namba yako ya simu Kama siyo kutaka wakuone na hii ishara unachokilalamikia ndo utakachofanya hata ww ukiwa kwny mfumo
all in all umejaribu kwa Mara ya kwanza madhaifu ya Leo yakawe darasa awamu ijayo na mandalizi yaanze sasa