Uchaguzi 2020 Dhana ya "mkono mtupu haulambwi" yaendelea kuonekana katika kura za maoni

Uchaguzi 2020 Dhana ya "mkono mtupu haulambwi" yaendelea kuonekana katika kura za maoni

Kwani ccm lini mmewahi kuwatetea wananchi tangu tupate uhuru?
DHANA YA "MKONO MTUPU HAULAMBWI" YAENDELEA KUONEKANA KATIKA KURA ZA MAONI.

Leo 20:45pm 21/07/2020

Nimeamini aliyevaa kiatu ndie mwenye kujua kiatu kinabana wapi,nimeshiriki katika kura za maoni juzi nikiwa na mapenzi tu ya Jimbo langu la Morogoro kichwani nikijua sasa naenda kuwaeleza wana Morogoro kinachowasibu hadi Mkoa wa Morogoro unadumaa kiuchumi,na wakinielewa basi wanipe kura,cha ajabu nimepata kura 1.

Nilianza kujinadi kwa kuwashukuru wajumbe wote wa mkutano kwa kunilea nikiwa mdogo,sisi tuliozaliwa miaka ya 1980 tulilelewa na kila mtu mtaani enzi za Ujamaa,ni fahari na heshima kuwashukuru,nimesoma na kukulia Morogoro niliwaambia sasa nina kazi na nitawalea,

Licha ya kuwashukuru nikawaambia matatizo ya Morogoro ni Ajira na mzunguko duni wa fedha,Ndio maana hivi leo watoto wote wa Morogoro wanafanya kazi Dar es Salaam na wamelowea uko tatizo likiwa Viwanda vinavyotoa ajira Morogoro vimekufa,vilibinafsishwa na aliyenunua kaviua ndiye Mbunge wa mioyo yao.

Nikawaambia kura yenu ni hatma ya watoto na wajukuu zenu,kesho watamaliza Shule watakosa ajira,ni vyema wakaonyesha kwa vitendo kumkataa aliyeua Viwanda na kumchagua mtu mwingine Mzalendo ili ajenge msingi wa kuanzisha Viwanda vipya,kwa ajili ya ajira kwa watoto,wajukuu na kizazi kijacho,

Niliwaambia kwa miaka mingi Morogoro ni kama kidonda kilichokosa dawa,naomba mnipe kura nikawe dawa,kweli niliongea kwa uchungu na watu walinyamaza na kuniangalia tu,sikujua walikuwa wanawaza nini,hadi mwisho nilipopata kura moja ndio nilijua kuwa wajumbe walikuwa wananionea huruma tu wao tayari walikuwa wakijua nini wanakwenda kufanya,

Asikwambie mtu wajumbe wanaopiga kura wenyewe hawajui cha huyu ni Mzalendo anatuambia kitu cha maana tumpe kura atusaidie kuiponya Morogoro ndipo nilipojua mkono mtupu haulambwi,uwezi amini kuna wajumbe wengine hawajui kama kuna mtu anaitwa Magufuli wala Majaliwa nikimaanisha zama za Wito na Uzalendo na si pesa ndio uwe kiongozi katika hii nchi,wao wapo kulamba mkono wako tu.

Niliulizwa na baadhi ya wajumbe "Mjomba mbona hujatutembelea" nikawaambia nilijua tunakutana hapa ukumbini na kufahamiana wakati wa kujieleza,cv yangu ipo kwenye form,mnanifahamu mimi kijana wenu nimekulia kichangani,na screening nimefanyiwa,wakaniambia Mjomba ungezungukia wajumbe wote,nikagundua ili ushinde kura za maoni lazima uzunguke wakulambe mkono,ni lazima uwe na hela na uwape wale viongozi wao kisha wao ndio watawapa hela watu wao,

-Tathmini yangu,live kabisa.

Matokeo ya kura za maoni maeneo mengi hasa Morogoro yameonyesha kuwa harakati za Rais Magufuli za Chama kuwa cha Wakulima na Wafanyakazi bado hazijafika wilayani,kata na matawini,ndio maana Katibu Mwenezi atapanda Jukwaani na kusema "mnaniona Mimi,Mimi nalelewa na Wazee wa Morogoro,mimi nakula vizuri,

Hili ni gamba la ile CCM ya zamani kwa maana ya mkono mtupu haulambwi,mwenye pesa ndio atawatunza na kuwalea kwa hiyo Wazalendo wa kweli hatuna nafasi kuleta mabadiliko na mawazo mbadala kwa ajili ya kuleta chachu ya Maendeleo Mkoani Morogoro,naungana na Mwenyekiti kukata kila aliyepata kura nyingi kwa pesa na bahati nzuri wanajulikana hata kwa historia zao za nyuma,japo historia za nyuma haziwezi kumfunga mtu.

Matumaini pekee ya kuibadilisha CCM ya Wilayani,Kata na tawi na kuwa ccm mpya itakayoendelea kujali maslahi ya nchi kama enzi za Mwalimu Julius Nyerere na Wakati huu wa Rais John Magufuli yamebakia mikononi mwake Rais na Mwenyekiti John Magufuli mwenyewe.

Kinyume na hapo matokeo ya ubunge na udiwani maeneo mengi yakibakia kama yalivyotoka kwenye kura za maoni kwa maana ya wa kwanza ndio wa kwanza kweli hadi wakati wa uchaguzi mkuu basi CCM itabakia na sura ileile na matendo yaleyale hatari kwa uhai wa CCM ya baada ya Mwalimu Julius Nyerere na kabla ya Rais John Magufuli.

-Hatma ya CCM

Kama ccm itarudi kulekule kwenye Azimio la Zanzibar yaani CCM ya wafanyabiashara baada ya Rais John Magufuli kuondoka,hali hii itasababisha kuibuka kwa makundi makubwa mawili ndani ya CCM kwa maana ya CCM mpya safi ya watu wenye mtazamo wa Mwalimu Julius Nyerere na Rais John Magufuli,

Kundi lingine likiwa la ile CCM chukua chako mapema iliyokuja baada ya Mwalimu Julius Nyerere na kabla ya Rais John Magufuli na kudumu kwa miaka 30 ikitapanya rasilimali za nchi yetu hadi ikawaudhi wananchi kiasi cha kuwa tayari hata kuchagua jiwe badala ya CCM,tujihadhari na kurudi huku.

Matendo yale baada ya Azimio la Zanzibar ya Wafanyabiashara kuhodhi Madaraka ndani ya CCM na Serikali ni hatari kwa uhai wa chama na Taifa.

Nimalizie kwa kijembe iki nilichopigwa na mjumbe mmoja pengine ndiye aliyenipa kura moja,"Umeifanyia nini Morogoro wewe,

Sikutegemea mtu kama wewe unaejitambua kwa kiasi kikubwa kujipeleka tu hujawahi hata kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu wa kata unaenda tu kwa vile unafikiri ukiongea kwa dakika moja utaweza kupindua meza ya mbunge mwenye mabus anayetoaga kwenda kuzikia,uwaconvince watu wakuchague"

Tatizo wengi mliokuja kuchukua fomu mnawaza kama wagombea na sio kama wapiga kura,wapiga kura ni wajumbe,wengi la saba,hawana mshahara wao uchaguzi ndio mavuno yao,wewe unakuja,umeongea kitu kimewachoma hadi ukumbi ukanyamaza lakini mwisho ukaambulia kura 1"

Kwa maisha hayo ya kutaka kula bila kuliwa uliyochagua uwezi kushinda kura za maoni ila endelea kuishi maisha ya furaha sana,usiwe kinyongo aisee,Hongera pia huna hasira ni mtu wa kucheka na kuchukulia powa kila jambo, wenye kuyaweza maisha hayo Ni wale tu wanaoamwamini Mungu,Mungu akubariki na karibu Morogoro.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Uafikiri kwanini Bashite alitaka kudondoka...!?? Pressure!??
DHANA YA "MKONO MTUPU HAULAMBWI" YAENDELEA KUONEKANA KATIKA KURA ZA MAONI.

Leo 20:45pm 21/07/2020

Nimeamini aliyevaa kiatu ndie mwenye kujua kiatu kinabana wapi,nimeshiriki katika kura za maoni juzi nikiwa na mapenzi tu ya Jimbo langu la Morogoro kichwani nikijua sasa naenda kuwaeleza wana Morogoro kinachowasibu hadi Mkoa wa Morogoro unadumaa kiuchumi,na wakinielewa basi wanipe kura,cha ajabu nimepata kura 1.

Nilianza kujinadi kwa kuwashukuru wajumbe wote wa mkutano kwa kunilea nikiwa mdogo,sisi tuliozaliwa miaka ya 1980 tulilelewa na kila mtu mtaani enzi za Ujamaa,ni fahari na heshima kuwashukuru,nimesoma na kukulia Morogoro niliwaambia sasa nina kazi na nitawalea,

Licha ya kuwashukuru nikawaambia matatizo ya Morogoro ni Ajira na mzunguko duni wa fedha,Ndio maana hivi leo watoto wote wa Morogoro wanafanya kazi Dar es Salaam na wamelowea uko tatizo likiwa Viwanda vinavyotoa ajira Morogoro vimekufa,vilibinafsishwa na aliyenunua kaviua ndiye Mbunge wa mioyo yao.

Nikawaambia kura yenu ni hatma ya watoto na wajukuu zenu,kesho watamaliza Shule watakosa ajira,ni vyema wakaonyesha kwa vitendo kumkataa aliyeua Viwanda na kumchagua mtu mwingine Mzalendo ili ajenge msingi wa kuanzisha Viwanda vipya,kwa ajili ya ajira kwa watoto,wajukuu na kizazi kijacho,

Niliwaambia kwa miaka mingi Morogoro ni kama kidonda kilichokosa dawa,naomba mnipe kura nikawe dawa,kweli niliongea kwa uchungu na watu walinyamaza na kuniangalia tu,sikujua walikuwa wanawaza nini,hadi mwisho nilipopata kura moja ndio nilijua kuwa wajumbe walikuwa wananionea huruma tu wao tayari walikuwa wakijua nini wanakwenda kufanya,

Asikwambie mtu wajumbe wanaopiga kura wenyewe hawajui cha huyu ni Mzalendo anatuambia kitu cha maana tumpe kura atusaidie kuiponya Morogoro ndipo nilipojua mkono mtupu haulambwi,uwezi amini kuna wajumbe wengine hawajui kama kuna mtu anaitwa Magufuli wala Majaliwa nikimaanisha zama za Wito na Uzalendo na si pesa ndio uwe kiongozi katika hii nchi,wao wapo kulamba mkono wako tu.

Niliulizwa na baadhi ya wajumbe "Mjomba mbona hujatutembelea" nikawaambia nilijua tunakutana hapa ukumbini na kufahamiana wakati wa kujieleza,cv yangu ipo kwenye form,mnanifahamu mimi kijana wenu nimekulia kichangani,na screening nimefanyiwa,wakaniambia Mjomba ungezungukia wajumbe wote,nikagundua ili ushinde kura za maoni lazima uzunguke wakulambe mkono,ni lazima uwe na hela na uwape wale viongozi wao kisha wao ndio watawapa hela watu wao,

-Tathmini yangu,live kabisa.

Matokeo ya kura za maoni maeneo mengi hasa Morogoro yameonyesha kuwa harakati za Rais Magufuli za Chama kuwa cha Wakulima na Wafanyakazi bado hazijafika wilayani,kata na matawini,ndio maana Katibu Mwenezi atapanda Jukwaani na kusema "mnaniona Mimi,Mimi nalelewa na Wazee wa Morogoro,mimi nakula vizuri,

Hili ni gamba la ile CCM ya zamani kwa maana ya mkono mtupu haulambwi,mwenye pesa ndio atawatunza na kuwalea kwa hiyo Wazalendo wa kweli hatuna nafasi kuleta mabadiliko na mawazo mbadala kwa ajili ya kuleta chachu ya Maendeleo Mkoani Morogoro,naungana na Mwenyekiti kukata kila aliyepata kura nyingi kwa pesa na bahati nzuri wanajulikana hata kwa historia zao za nyuma,japo historia za nyuma haziwezi kumfunga mtu.

Matumaini pekee ya kuibadilisha CCM ya Wilayani,Kata na tawi na kuwa ccm mpya itakayoendelea kujali maslahi ya nchi kama enzi za Mwalimu Julius Nyerere na Wakati huu wa Rais John Magufuli yamebakia mikononi mwake Rais na Mwenyekiti John Magufuli mwenyewe.

Kinyume na hapo matokeo ya ubunge na udiwani maeneo mengi yakibakia kama yalivyotoka kwenye kura za maoni kwa maana ya wa kwanza ndio wa kwanza kweli hadi wakati wa uchaguzi mkuu basi CCM itabakia na sura ileile na matendo yaleyale hatari kwa uhai wa CCM ya baada ya Mwalimu Julius Nyerere na kabla ya Rais John Magufuli.

-Hatma ya CCM

Kama ccm itarudi kulekule kwenye Azimio la Zanzibar yaani CCM ya wafanyabiashara baada ya Rais John Magufuli kuondoka,hali hii itasababisha kuibuka kwa makundi makubwa mawili ndani ya CCM kwa maana ya CCM mpya safi ya watu wenye mtazamo wa Mwalimu Julius Nyerere na Rais John Magufuli,

Kundi lingine likiwa la ile CCM chukua chako mapema iliyokuja baada ya Mwalimu Julius Nyerere na kabla ya Rais John Magufuli na kudumu kwa miaka 30 ikitapanya rasilimali za nchi yetu hadi ikawaudhi wananchi kiasi cha kuwa tayari hata kuchagua jiwe badala ya CCM,tujihadhari na kurudi huku.

Matendo yale baada ya Azimio la Zanzibar ya Wafanyabiashara kuhodhi Madaraka ndani ya CCM na Serikali ni hatari kwa uhai wa chama na Taifa.

Nimalizie kwa kijembe iki nilichopigwa na mjumbe mmoja pengine ndiye aliyenipa kura moja,"Umeifanyia nini Morogoro wewe,

Sikutegemea mtu kama wewe unaejitambua kwa kiasi kikubwa kujipeleka tu hujawahi hata kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu wa kata unaenda tu kwa vile unafikiri ukiongea kwa dakika moja utaweza kupindua meza ya mbunge mwenye mabus anayetoaga kwenda kuzikia,uwaconvince watu wakuchague"

Tatizo wengi mliokuja kuchukua fomu mnawaza kama wagombea na sio kama wapiga kura,wapiga kura ni wajumbe,wengi la saba,hawana mshahara wao uchaguzi ndio mavuno yao,wewe unakuja,umeongea kitu kimewachoma hadi ukumbi ukanyamaza lakini mwisho ukaambulia kura 1"

Kwa maisha hayo ya kutaka kula bila kuliwa uliyochagua uwezi kushinda kura za maoni ila endelea kuishi maisha ya furaha sana,usiwe kinyongo aisee,Hongera pia huna hasira ni mtu wa kucheka na kuchukulia powa kila jambo, wenye kuyaweza maisha hayo Ni wale tu wanaoamwamini Mungu,Mungu akubariki na karibu Morogoro.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Kwani Finca ndiyo atapata kibarua bila kukunjua mkono? Sasa hivi nchini kote ni rushwa tu.

Huyo huyo anaye lalamika ndiyo anakuwaga namba moja kuisifia ccm kuwa ndiyo kimbilio la wanyonge.
Tajiri Abood kakukomesha. Nenda kaombe kazi FINCA
 
Kwani Finca ndiyo atapata kibarua bila kukunjua mkono? Sasa hivi nchini kote ni rushwa tu.

Huyo huyo anaye lalamika ndiyo anakuwaga namba moja kuisifia ccm kuwa ndiyo kimbilio la wanyonge.
Akate rufaa akiweka ushahidi usio na shaka. Atapata haki yake.
 
Vijana wenzangu wana CCM hebu tubadili mitazamo, kwanini tunajidanganya kwa vitu vilivyo wazi kabisa? Siasa ya Chama chetu ni siasa ya aina yake na pengine haipatikani popote pale zaidi ya Tanzania. Kuwa mbunge nchi hii ni kuwa sponsor na sio msemaji wananchi, tulikubali hilo na tutafute pesa huku tukiendelea kujenga chama.

Mimi watu huniuliza kwanini usigombee wakati uko katika position nzuri ya kugombea? Huwa nawacheka tu na kusema hiiiiiiiii, huwa nawauliza hata mnafahamu mnachosema kweli nyie? Kuna mmoja aliniambia hivi “hivi unajua speech yako kabla ya kuomba kura na baada ya kushindwa ina matter sana” ilibidi tu nicheke nikamuuliza unadhani kuna mtu anajali hilo?

Itoshe kusema hakuna mbunge wa CCM aliyewahi kupatikana kwa bahati mbaya, kuna zile chances ambazo ni 0.001% otherwise wengine wote wanakuwa wamepitia katika mahesabu makali ya wajumbe. Ndio maana wengi ni wazee ambao wameshajikusanyia mtaji mkubwa wa kisiasa, Hata wabunge ambao ni vijana wenzetu hawakupata ubunge by chance kuna mifumo fulani fulani iliwabeba, twende kazi!
 
Kwa maisha hayo ya kutaka kula bila kuliwa uliyochagua uwezi kushinda kura za maoni ila endelea kuishi maisha ya furaha sana,usiwe kinyongo aisee,Hongera pia huna hasira ni mtu wa kucheka na kuchukulia powa kila jambo, wenye kuyaweza maisha hayo Ni wale tu wanaoamwamini Mungu,Mungu akubariki na karibu Morogoro.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
Kudadeeeeki kumbe ndio wewe, saaafi kabisa, safi sana, si unatuonaga wehu tukipiga kelele za kuwaonya hapa. Ingekua upinzani kwa hiki ulichokiandika lazima ungepita sasa ukapeleka njaaa zako huko, ukome kushabikia usiyoyajua. Upinzani ndio wenye uchungu halisi na nchi hii.

Tunaiomba kura yako, ipeleke kwa mpinzani yoyote yule. Maana umeshapata picha halisi ya lichama lako
 
Pole Sana mkuu, sizani Kama hao wajumbe Kama watakua wamelilipwa na chama kwa ajili ya kuja kupiga kura. Kama walilipwa halafu wanampigia mtu aliyewahonga pesa nyingine hiyo sio poa kabisa, Ila Kama hawakulipwa na chama kwa ajili ya kuhudhulia hapo wapo sahihi kumpigia aliyewapa pesa.

Maana hata mimi siwezi kuacha shughuli zangu za kuniingizia kipato kisha nije kupiga kupiga kura bure bure hapana aisee.
Maana hata nyie mkipata uongozi huwa mnatabia ya kusahau mlioyosema .

Bora tu hako kautaratibu kaendelee aisee.

Hayo ni maoni yangu mkuu

Pole sana

Huyu ni njaa tu inamsumbua, anmgekuwa na hela nae angehonga hivyo hivyo. Aendelee na masters yake ya uchochoroni huko Mzumbe.
 
Tatizo ulitaka kuwadanganya kuwa aliyeua viwanda morogoro ni Abood ambaye ni mpimzani wako na kutaka kuwaaminisha kuwa wewe utavifufua.
wakagundua hizo ni porojo kama porojo nyingine
 
Dhambi mliyoifanya kwa demokrasia yetu ndio imeanza kuwatafuna.. Leo hii hachaguliwi mtu mwenye ushawishi kupambania jimbo bali mwenye pesa. Unafikiri tungekua na uchaguzi huru na haki wana CCM Kawe wangemweka yule dogo? Lakini sababu wanajua atapitishwa tu kwa mabavu wameona wampe tu
 
DHANA YA "MKONO MTUPU HAULAMBWI" YAENDELEA KUONEKANA KATIKA KURA ZA MAONI.

Leo 20:45pm 21/07/2020

Nimeamini aliyevaa kiatu ndie mwenye kujua kiatu kinabana wapi,nimeshiriki katika kura za maoni juzi nikiwa na mapenzi tu ya Jimbo langu la Morogoro kichwani nikijua sasa naenda kuwaeleza wana Morogoro kinachowasibu hadi Mkoa wa Morogoro unadumaa kiuchumi,na wakinielewa basi wanipe kura,cha ajabu nimepata kura 1.

Nilianza kujinadi kwa kuwashukuru wajumbe wote wa mkutano kwa kunilea nikiwa mdogo,sisi tuliozaliwa miaka ya 1980 tulilelewa na kila mtu mtaani enzi za Ujamaa,ni fahari na heshima kuwashukuru,nimesoma na kukulia Morogoro niliwaambia sasa nina kazi na nitawalea,

Licha ya kuwashukuru nikawaambia matatizo ya Morogoro ni Ajira na mzunguko duni wa fedha,Ndio maana hivi leo watoto wote wa Morogoro wanafanya kazi Dar es Salaam na wamelowea uko tatizo likiwa Viwanda vinavyotoa ajira Morogoro vimekufa,vilibinafsishwa na aliyenunua kaviua ndiye Mbunge wa mioyo yao.

Nikawaambia kura yenu ni hatma ya watoto na wajukuu zenu,kesho watamaliza Shule watakosa ajira,ni vyema wakaonyesha kwa vitendo kumkataa aliyeua Viwanda na kumchagua mtu mwingine Mzalendo ili ajenge msingi wa kuanzisha Viwanda vipya,kwa ajili ya ajira kwa watoto,wajukuu na kizazi kijacho,

Niliwaambia kwa miaka mingi Morogoro ni kama kidonda kilichokosa dawa,naomba mnipe kura nikawe dawa,kweli niliongea kwa uchungu na watu walinyamaza na kuniangalia tu,sikujua walikuwa wanawaza nini,hadi mwisho nilipopata kura moja ndio nilijua kuwa wajumbe walikuwa wananionea huruma tu wao tayari walikuwa wakijua nini wanakwenda kufanya,

Asikwambie mtu wajumbe wanaopiga kura wenyewe hawajui cha huyu ni Mzalendo anatuambia kitu cha maana tumpe kura atusaidie kuiponya Morogoro ndipo nilipojua mkono mtupu haulambwi,uwezi amini kuna wajumbe wengine hawajui kama kuna mtu anaitwa Magufuli wala Majaliwa nikimaanisha zama za Wito na Uzalendo na si pesa ndio uwe kiongozi katika hii nchi,wao wapo kulamba mkono wako tu.

Niliulizwa na baadhi ya wajumbe "Mjomba mbona hujatutembelea" nikawaambia nilijua tunakutana hapa ukumbini na kufahamiana wakati wa kujieleza,cv yangu ipo kwenye form,mnanifahamu mimi kijana wenu nimekulia kichangani,na screening nimefanyiwa,wakaniambia Mjomba ungezungukia wajumbe wote,nikagundua ili ushinde kura za maoni lazima uzunguke wakulambe mkono,ni lazima uwe na hela na uwape wale viongozi wao kisha wao ndio watawapa hela watu wao,

-Tathmini yangu,live kabisa.

Matokeo ya kura za maoni maeneo mengi hasa Morogoro yameonyesha kuwa harakati za Rais Magufuli za Chama kuwa cha Wakulima na Wafanyakazi bado hazijafika wilayani,kata na matawini,ndio maana Katibu Mwenezi atapanda Jukwaani na kusema "mnaniona Mimi,Mimi nalelewa na Wazee wa Morogoro,mimi nakula vizuri,

Hili ni gamba la ile CCM ya zamani kwa maana ya mkono mtupu haulambwi,mwenye pesa ndio atawatunza na kuwalea kwa hiyo Wazalendo wa kweli hatuna nafasi kuleta mabadiliko na mawazo mbadala kwa ajili ya kuleta chachu ya Maendeleo Mkoani Morogoro,naungana na Mwenyekiti kukata kila aliyepata kura nyingi kwa pesa na bahati nzuri wanajulikana hata kwa historia zao za nyuma,japo historia za nyuma haziwezi kumfunga mtu.

Matumaini pekee ya kuibadilisha CCM ya Wilayani,Kata na tawi na kuwa ccm mpya itakayoendelea kujali maslahi ya nchi kama enzi za Mwalimu Julius Nyerere na Wakati huu wa Rais John Magufuli yamebakia mikononi mwake Rais na Mwenyekiti John Magufuli mwenyewe.

Kinyume na hapo matokeo ya ubunge na udiwani maeneo mengi yakibakia kama yalivyotoka kwenye kura za maoni kwa maana ya wa kwanza ndio wa kwanza kweli hadi wakati wa uchaguzi mkuu basi CCM itabakia na sura ileile na matendo yaleyale hatari kwa uhai wa CCM ya baada ya Mwalimu Julius Nyerere na kabla ya Rais John Magufuli.

-Hatma ya CCM

Kama ccm itarudi kulekule kwenye Azimio la Zanzibar yaani CCM ya wafanyabiashara baada ya Rais John Magufuli kuondoka,hali hii itasababisha kuibuka kwa makundi makubwa mawili ndani ya CCM kwa maana ya CCM mpya safi ya watu wenye mtazamo wa Mwalimu Julius Nyerere na Rais John Magufuli,

Kundi lingine likiwa la ile CCM chukua chako mapema iliyokuja baada ya Mwalimu Julius Nyerere na kabla ya Rais John Magufuli na kudumu kwa miaka 30 ikitapanya rasilimali za nchi yetu hadi ikawaudhi wananchi kiasi cha kuwa tayari hata kuchagua jiwe badala ya CCM,tujihadhari na kurudi huku.

Matendo yale baada ya Azimio la Zanzibar ya Wafanyabiashara kuhodhi Madaraka ndani ya CCM na Serikali ni hatari kwa uhai wa chama na Taifa.

Nimalizie kwa kijembe iki nilichopigwa na mjumbe mmoja pengine ndiye aliyenipa kura moja,"Umeifanyia nini Morogoro wewe,

Sikutegemea mtu kama wewe unaejitambua kwa kiasi kikubwa kujipeleka tu hujawahi hata kukutana na wajumbe wa mkutano mkuu wa kata unaenda tu kwa vile unafikiri ukiongea kwa dakika moja utaweza kupindua meza ya mbunge mwenye mabus anayetoaga kwenda kuzikia,uwaconvince watu wakuchague"

Tatizo wengi mliokuja kuchukua fomu mnawaza kama wagombea na sio kama wapiga kura,wapiga kura ni wajumbe,wengi la saba,hawana mshahara wao uchaguzi ndio mavuno yao,wewe unakuja,umeongea kitu kimewachoma hadi ukumbi ukanyamaza lakini mwisho ukaambulia kura 1"

Kwa maisha hayo ya kutaka kula bila kuliwa uliyochagua uwezi kushinda kura za maoni ila endelea kuishi maisha ya furaha sana,usiwe kinyongo aisee,Hongera pia huna hasira ni mtu wa kucheka na kuchukulia powa kila jambo, wenye kuyaweza maisha hayo Ni wale tu wanaoamwamini Mungu,Mungu akubariki na karibu Morogoro.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business.
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Karibu upinzani, kwani milango iko huru kwa wanaoonewa, wanaodhulumiwa haki zao, wasiokubaliana na utraratibu na wapenda haki.
 
Na wote mnavyojazana CCM kwa Sasa hivyo vitendo vitakithiri maana CCM wanakosa mshindani wa maana.

Tarajia hivyo vitendo kushamiri zaidi maana MTU anajua akishinda CCM kapata ubunge hivyo watakua wanagawa rushwa kununua wajumbe kwa nguvu zote.
 
Kaka Umeongea kwa uchungu Mkubwa sana na Umewakilisha kilio cha Watu Wengi kwa tathmini ya haraka CCM ina wenyewe ndio Hao Wamerudi tena kwa kura nyingi Prof Kapuya,Magreth Sitta,Jerry Slaa,Mama Salma Kikwete,Ridhwan,Mtemvu nk Nilitegemea kuhesabu kura kwa uwazi ingewabeba Vijana lakini imekuwa tofauti nadhani hata Mwenyekiti hatapenda japo ndio Wameshinda wengi sana yaani Tumepatikana Watanzania Vijana Wameshinda wachache sana
Pambaneni tu, si huwa mnasema nyumbani kwenu kumenoga? Shetani hana rafiki, mkae mkijua hivyo vijana.
 
Kaka Umeongea kwa uchungu Mkubwa sana na Umewakilisha kilio cha Watu Wengi kwa tathmini ya haraka CCM ina wenyewe ndio Hao Wamerudi tena kwa kura nyingi Prof Kapuya,Magreth Sitta,Jerry Slaa,Mama Salma Kikwete,Ridhwan,Mtemvu nk Nilitegemea kuhesabu kura kwa uwazi ingewabeba Vijana lakini imekuwa tofauti nadhani hata Mwenyekiti hatapenda japo ndio Wameshinda wengi sana yaani Tumepatikana Watanzania Vijana Wameshinda wachache sana
Yaani prof kapuya karudi?
 
Back
Top Bottom