Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Wewe ni kada wa CCM lakini naona siku zote moyo wako upo CDM.
 
Huna akili kabisa kuleta uongo wa kipumbavu na kijinga hapa jamvini.

Una lengo ovu la kishetani ili wajumbe wasimchague Prof Safari.

Nakuapiahautofanikiwa!
Wewe molemo kumbe uzee wako haukusaidii unadhani matusi yanaondoa ukweli wa hoja iliyopo mbele yetu unaweza kutukana matusi yote na ukweli ukabaki pale pale chadema mmezidi kwa ubaguzi na ukabila msikatae.
 
Mkuu mwana,
shida ya chadema ukiuliza ukweli au kutaka kujua jambo ambalo linatokea kwenye chama chao unatukanwa chama gani hiki kila kitu ni matusi na kejeli?
 
CCM acheni kupindisha ukweli udini,ukabila na ukanda ni ule unaopandikizwa na CCM.Safari alimanisha kuwa CHADEMA ni chama cha watu wenye dini zote,wasiyo na dini na ni chama cha makabila yote bila kujali ukanda,tofauti na longolongo za CCM ili kuthibitisha hayo ndiyo maana kagombea.
 

Mgombea yoyote hunadi Sera na husema au kuahidi atafanya nini atakapo chaguliwa na kukubali kwa prof safari kuwa atapambana na udini,ukanda na ukabila hii inadjihirisha n kweli hayo mambo ndani ya chadema
 
Huna akili kabisa kuleta uongo wa kipumbavu na kijinga hapa jamvini.

Una lengo ovu la kishetani ili wajumbe wasimchague Prof Safari.

Nakuapiahautofanikiwa!

Kwani lazima achaguliwe Prof safari? Mmewaagiza wanachama wamchague?
 

 
Udini na ukanda ni propaganda ya ccm ili kusambaratisha vyama vya upinzani!
 
Nini hasa nia ya hoja zako nyingi kuhusu CDM mwanaDiwani? mkuu usishindane na nafsi itii nafsi yako kama inataka kuvaa gwanda tekeleza hakuna siku umeacha kuizungumzia CDM
 
Mkuu mwana,
shida ya chadema ukiuliza ukweli au kutaka kujua jambo ambalo linatokea kwenye chama chao unatukanwa chama gani hiki kila kitu ni matusi na kejeli?
Ndugu Simiyu Yetu
Mimi ninawaogopa sana watu wenye hoja fikirishi lakini siyo watu waliojaliwa matusi kwa sababu matusi hayahitaji upeo wa juu kiakili kujifunza.

Mtu anayetumia matusi kama silaha na ngao ya kupambana na hoja mbadala lazima anakuwa hakujaliwa fikra pana zenye hoja fikirishi lakini mtu anayetumia fikra pana katika hoja anakuwa pia automatic amejaliwa uelewa pia wa matusi.
 
CCM acheni kupindisha ukweli udini,ukabila na ukanda ni ule unaopandikizwa na CCM.
Ndugu, Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA umepandikizwa na CCM!.

Kama hakuna udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA, kwa nini Prof. Safari anadai anayenda kupambana nao?. Ina maana Prof. Safari ambaye ana akili timamu anataka kwenda kupambana na jambo ambalo ndani ya CHADEMA?.
Safari alimanisha kuwa CHADEMA ni chama cha watu wenye dini zote,wasiyo na dini na ni chama cha makabila yote bila kujali ukanda,tofauti na longolongo za CCM ili kuthibitisha hayo ndiyo maana kagombea.
Sasa kama Prof. Safari alimaanisha unachokisema, kwa nini anatuambia anataka kwenda kupambana nayo ndani ya CHADEMA, kwa maana kuwa hayo masuala ndani ya CHADEMA anayaona ni tatizo linalomhitaji yeye kwenda kupambana nalo kama Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara.
 
Mgombea yoyote hunadi Sera na husema au kuahidi atafanya nini atakapo chaguliwa na kukubali kwa prof safari kuwa atapambana na udini,ukanda na ukabila hii inadjihirisha n kweli hayo mambo ndani ya chadema
Ndugu,
Unachokisema ndiyo msingi wa hoja/maswali yangu hasa ikichukuliwa kuwa Prof. Safari ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
 
Ndugu,
Unachokisema ndiyo msingi wa hoja/maswali yangu hasa ikichukuliwa kuwa Prof. Safari ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Na kama amekiri hayo mambo ndani ya chadema mm nafkri ana elimu ya kutosha tena nzuri ,ingekuwa vizuri angegombea uenyekiti kabisa ili afanye hyo kaz yake vzri la sivyo ataishiwa kuitwa msaliti kama kweli anaenda kupambana na udini,ukabila na ukanda dhana iliyoota mizizi chadema
 
Kwani lazima achaguliwe Prof safari? Mmewaagiza wanachama wamchague?
Ndugu,
Hawa vijana wa BAVICHA kila siku ninawaambia kuwa, kazi waliyopewa ya kukitetea chama iko juu ya uwezo wao.

Kila wanalolisema ukiliangalia kwenye hoja fikirishi linaleta maswali mengi.

Inawezekana huyu kijana hafahamu kuwa anachokisema kinajenga hoja inayodhihirisha kuwa Prof. Safari ndiyo chaguo hasa anaposema sitafanikiwa kwa Prof. Safari kutochaguliwa.
 
Baraza la Wazee liepeleka kilio Lumumba ...........wanajiorg ,,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…