Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Ndugu, Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA umepandikizwa na CCM!.

Kama hakuna udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA, kwa nini Prof. Safari anadai anayenda kupambana nao?. Ina maana Prof. Safari ambaye ana akili timamu anataka kwenda kupambana na jambo ambalo ndani ya CHADEMA?.
Sasa kama Prof. Safari alimaanisha unachokisema, kwa nini anatuambia anataka kwenda kupambana nayo ndani ya CHADEMA, kwa maana kuwa hayo masuala ndani ya CHADEMA anayaona ni tatizo linalomhitaji yeye kwenda kupambana nalo kama Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara.

Kwa nini mnataka kuboresha propaganda zenu kwa kumulisha Safari maneno ambayo hakuyasema?.
 
Eti Lumumba kuna kilio baada ya Wazee wa Chadema jana kumchagua Hashimu kama Mwenyekiti wao Taifa ?
 
Nini hasa nia ya hoja zako nyingi kuhusu CDM mwanaDiwani? mkuu usishindane na nafsi itii nafsi yako kama inataka kuvaa gwanda tekeleza hakuna siku umeacha kuizungumzia CDM
Ndugu,
Nia ya hoja zangu ni kubadilishana mawazo katika msingi wa kuelimishwa na kujifunza kwa faida ya taifa letu endelevu.

Wapiga kura wengi nchini siyo wanachama wa vyama vya siasa, kwa maana kuwa, siyo kila anayeongea masuala ya vyama ni mwanachama wa vyama hivyo.
 
Ndugu, Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA umepandikizwa na CCM!.

Kama hakuna udini, ukabila na ukanda ndani ya CHADEMA, kwa nini Prof. Safari anadai anayenda kupambana nao?. Ina maana Prof. Safari ambaye ana akili timamu anataka kwenda kupambana na jambo ambalo ndani ya CHADEMA?.
Sasa kama Prof. Safari alimaanisha unachokisema, kwa nini anatuambia anataka kwenda kupambana nayo ndani ya CHADEMA, kwa maana kuwa hayo masuala ndani ya CHADEMA anayaona ni tatizo linalomhitaji yeye kwenda kupambana nalo kama Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara.

Safari ana kwenda kupambana na propaganda za CCM zilizojazwa vichwani mwa watu hasa wale walio ondolewa fahamu na CCM kwa kuaminishwa kuwa CHADEMA ni chama cha udini na kikabila
 
Na kama amekiri hayo mambo ndani ya chadema mm nafkri ana elimu ya kutosha tena nzuri ,ingekuwa vizuri angegombea uenyekiti kabisa ili afanye hyo kaz yake vzri la sivyo ataishiwa kuitwa msaliti kama kweli anaenda kupambana na udini,ukabila na ukanda dhana iliyoota mizizi chadema
Ndugu,
Prof. Safari anadai ameombwa kugombea ili akapambane na hayo mambo ndani ya CHADEMA kwa maana kuwa, hakuweza kupambana nayo vizuri wakati akiwa Mjumbe wa Kamati Kuu.
 
Kwa nini mnataka kuboresha propaganda zenu kwa kumulisha Safari maneno ambayo hakuyasema?.
Ndugu,
Angalia video ambayo nimeiweka kwa sababu ya watu kama wewe ambao hawaamini kile wanachokisoma.
 
Ndugu,
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa Prof. Safari amenunua propaganda za CCM na anataka kwenda kupambana nazo ndani ya CHADEMA!

Nakubaliana na hoja yako kutokana namtizamo wako ndani ya hoja hii.
Kumbuka CHADEMA sio NGO ila nitaasisi yenyenia yakushika dola. Prof safari anagombea ngazi ya juu ndani ya chama. Hapa maana yake nini chama kikishika dola hakitawali miti majengo au ardhi kinataka kutawala watu natumekwishaona taifa lilipo sasa kwenye udini ukabila hili halina ubishi.
Nakupa mfano. 2010 uchaguzi mkuu prof lipumba alihubiri ndani ya msikiti kariakoo akiwasihii waislam wamchaguwe Kikwete kwakuwa nimwislamu mwenzao, lakini sihilo tuu tumeona marangapi kwenye bunge baadhi ya vitu vinaamliwa kikanda na maeneo mengine kubaki nyuma kwenye maendeleo wao kwa wao wanalalamikiana
Prof safari akiwa kiongozi Wa chama vitu hivi ndiyo anaenda kupambana navyo kitaifa hata kama vitaanzia ndani ya CHAMA kama anaona vipo
 
Safari ana kwenda kupambana na propaganda za CCM zilizojazwa vichwani mwa watu hasa wale walio ondolewa fahamu na CCM kwa kuaminishwa kuwa CHADEMA ni chama cha udini na kikabila
Kama unafahamu kuwa Prof. Safari anaenda kupambana na propaganda za CCM, ingekuwa vizuri pia ukatueleza nyenzo/silaha atakazotumia kupambana nazo.
 
Huna akili kabisa kuleta uongo wa kipumbavu na kijinga hapa jamvini.

Una lengo ovu la kishetani ili wajumbe wasimchague Prof Safari.

Nakuapiahautofanikiwa!

Wewe ndo hovoo kabisa
mleta mada ameelewaka sana , unapaswa kujibu hoja ya mtoa mada , badala ya kujibu hoja kwa longolongo za chekechea . Kama huna cha kuchangia piga kimya kama wenzio wanovopita kimya sio lazima uchangie
 
CCM acheni kupindisha ukweli udini,ukabila na ukanda ni ule unaopandikizwa na CCM.Safari alimanisha kuwa CHADEMA ni chama cha watu wenye dini zote,wasiyo na dini na ni chama cha makabila yote bila kujali ukanda,tofauti na longolongo za CCM ili kuthibitisha hayo ndiyo maana kagombea.

Kwa hiyo unataka kusema udin , na ukabila wa chadema sio kweli ni propaganda za CCM . Hata mapungufu yenu wenyewe mnasingizia ccm . Ccm inahusikaje kwenye ubaguzi wenu wa waziwazi?
 
Wewe ndo hovoo kabisa
mleta mada ameelewaka sana , unapaswa kujibu hoja ya mtoa mada , badala ya kujibu hoja kwa longolongo za chekechea . Kama huna cha kuchangia piga kimya kama wenzio wanovopita kimya sio lazima uchangie
Ndugu,
Ninakushukuru kwa maneno yako yenye hekima na busara na pia kwa kumkumbusha maana ya msingi wa hoja mbadala.
 
Kuongezea tu nikuwa yuotube uliyoiweka iko wazi kabisa kuwa anaona matatizo ya taifa hili yalivyo kazungumzia ufisadi,wizi,udini na mambo mengine yote kazungumzia taifa
 
Back
Top Bottom