Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Mbowe-m/kiti-Kaskazini
John mrema-mkurugenzi wa bunge-kaskazini
John mnyika NKM-Kaskazini
Joseph selasini-Mkurugenzi wa mifeza-kaskazini
Sumaye-Kamati kuu-Kaskazini
Lema-kamati kuu kaskazini
Lowassa-mwenye chama-kaskazini
Ole sosopo-kaskazini
Grace kiwelu-viti maalum-kaskazini
Rose kamili-viti maalum-kaskazini
 
Mbowe-m/kiti-Kaskazini
John mrema-mkurugenzi wa bunge-kaskazini
John mnyika NKM-Kaskazini
Joseph selasini-Mkurugenzi wa mifeza-kaskazini
Sumaye-Kamati kuu-Kaskazini
Lema-kamati kuu kaskazini
Lowassa-mwenye chama-kaskazini
Ole sosopo-kaskazini
Grace kiwelu-viti maalum-kaskazini
Rose kamili-viti maalum-kaskazini

Chadema na Udini na Ukabila ni Kama chup.i na t.ako!

Chadema haijawahi kuwa na Mgombea Urais ambae hatoki Kaskazini tangu kimeanzishwa zaidi ya robo Karne sasa!
 
Wadau na wanaJF kwa mwenye safu au orodha ya uongozi wa chadema atuwekee hapa ili tuiangalia kama haina udini,undugu,ushemeji au ukanda.

Na kama inavyo hivyo ndio itamaanisha nini?, au
Kama inavyo hivyo ndio Magu nae afanye hivyo?,
 
Endeleeni kujenga jamii yenye mawazo ya mleta mada - nchi hii mnaigawa vipande vipande vya matabaka.

Fanyeni siasa zinazowaunganisha watanzania si huo utapiamulo wa uandishi
 
Mbowe-m/kiti-Kaskazini
John mrema-mkurugenzi wa bunge-kaskazini
John mnyika NKM-Kaskazini
Joseph selasini-Mkurugenzi wa mifeza-kaskazini
Sumaye-Kamati kuu-Kaskazini
Lema-kamati kuu kaskazini
Lowassa-mwenye chama-kaskazini
Ole sosopo-kaskazini
Grace kiwelu-viti maalum-kaskazini
Rose kamili-viti maalum-kaskazini
Saa 9
Godlisten Malissa
 
Chadema na Udini na Ukabila ni Kama chup.i na t.ako!

Chadema haijawahi kuwa na Mgombea Urais ambae hatoki Kaskazini tangu kimeanzishwa zaidi ya robo Karne sasa!
Halafu wakati huo huo Lissu anakuja na madai ya Dotto kuwa ndugu yake JPM. Ina maana CHADEMA wangepewa uongozi wa nchi mzee mamvi asingemuweka mahali pazuri mwanae Fred au ndugu wengine wa karibu?.

Huwa sichoki kuwaonyesha namna ambavyo serikali ya CCM ilivyo na watu kutoka pande zote za nchi.

JPM - Chato

Mama Samia - Unguja

Majaliwa - Lindi

Mbarawa - Pemba

Nchemba - Singida

Mpango - Kigoma

Mwijage - Kagera.
 
Mbowe-m/kiti-Kaskazini
John mrema-mkurugenzi wa bunge-kaskazini
John mnyika NKM-Kaskazini
Joseph selasini-Mkurugenzi wa mifeza-kaskazini
Sumaye-Kamati kuu-Kaskazini
Lema-kamati kuu kaskazini
Lowassa-mwenye chama-kaskazini
Ole sosopo-kaskazini
Grace kiwelu-viti maalum-kaskazini
Rose kamili-viti maalum-kaskazini
Ukipekua zaidi wote ni ndugu!dini moja!
 
Halafu wakati huo huo Lissu anakuja na madai ya Dotto kuwa ndugu yake JPM. Ina maana CHADEMA wangepewa uongozi wa nchi mzee mamvi asingemuweka mahali pazuri mwanae Fred au ndugu wengine wa karibu?.

Huwa sichoki kuwaonyesha namna ambavyo serikali ya CCM ilivyo na watu kutoka pande zote za nchi.

JPM - Chato

Mama Samia - Unguja

Majaliwa - Lindi

Mbarawa - Pemba

Nchemba - Singida

Mpango - Kigoma

Mwijage - Kagera.

Hawa Chadema ni Mapoyoyo ya Kisiasa,
Yanajifanya kuponda Utawala wa JPM kuwa unakandamiza Uhuru wa kutoa maoni lakin wao ukiwa na Mawazo tofauti wanakutukana na kukupa Majina kibao mabaya,
Zitto kapinga wazo la Lissu kutaka Tanzania iwekewe Vikwazo katukanwa hataree mpaka unajiuliza inawezekana je upiganie Uhuru wa kutoa maoni wakati Wewe Mwenyewe unataka kufanya Maoni yako Kama Maandiko matakatifu Watu wasiwaze tofauti na Wewe!
 
Chadema unailinganisha na nchi?

Chama kinaweza kuwa na ufuasi wa kueleweka upande mmoja wa nchi hivyo viongozi wake ni lazima wawe ni upande huo.
Unafikiri mpaka kufika mwaka 1977 ccm ilikuwa ipo Zanzibar au Pemba?
Kule ilikuwa ASP
 
Hawa Chadema ni Mapoyoyo ya Kisiasa,
Yanajifanya kuponda Utawala wa JPM kuwa unakandamiza Uhuru wa kutoa maoni lakin wao ukiwa na Mawazo tofauti wanakutukana na kukupa Majina kibao mabaya,
Zitto kapinga wazo la Lissu kutaka Tanzania iwekewe Vikwazo katukanwa hataree mpaka unajiuliza inawezekana je upiganie Uhuru wa kutoa maoni wakati Wewe Mwenyewe unataka kufanya Maoni yako Kama Maandiko matakatifu Watu wasiwaze tofauti na Wewe!
Ingawa huwa sipendezwi na siasa za kikabila au kidini ila CDM ni kama mapoyoyo, yaani wao Lissu na Mbowe wakisema basi maneno yao hayapingiki..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema unailinganisha na nchi?

Chama kinaweza kuwa na ufuasi wa kueleweka upande mmoja wa nchi hivyo viongozi wake ni lazima wawe ni upande huo.
Unafikiri mpaka kufika mwaka 1977 ccm ilikuwa ipo Zanzibar au Pemba?
Kule ilikuwa ASP
Hayo hayatuhusu...tuwekee safu ya uongozi wa chadema hapa tuichambue kwa jicho la lisu.
 
Hawa Chadema ni Mapoyoyo ya Kisiasa,
Yanajifanya kuponda Utawala wa JPM kuwa unakandamiza Uhuru wa kutoa maoni lakin wao ukiwa na Mawazo tofauti wanakutukana na kukupa Majina kibao mabaya,
Zitto kapinga wazo la Lissu kutaka Tanzania iwekewe Vikwazo katukanwa hataree mpaka unajiuliza inawezekana je upiganie Uhuru wa kutoa maoni wakati Wewe Mwenyewe unataka kufanya Maoni yako Kama Maandiko matakatifu Watu wasiwaze tofauti na Wewe!
Zitto anawachora sana hawa jamaa. Balozi wa Japan na Zitto wamekuwa pamoja Kigoma kwa karibu siku tatu.

Kilichowapeleka ni kuangalia namna gani mkoa ule unaweza kufunguka kwa maana ya fursa kuzifikia dunia nzima.

Zitto anayo mawazo ya kuigeuza Kigoma kuwa tourist destination nyingine ya Tanzania. Hivyo wanavyomtukana mitandaoni, yeye anawacheka kimoyomoyo.

Ndio maana kamfananisha Lissu na zwazwa, kwa sababu yeye Zitto anaitazama dunia katika mtazamo wa kimaendeleo, halafu anashangazwa na mtu ambaye anawazia demokrasia kuliko maendeleo.

Jimbo la uchaguzi la Zitto Kabwe litakuwa tofauti sana kimaendeleo kulinganisha na jimbo la Tundu Lissu, ndani ya miaka minne au mitano ijayo.
 
Mkuu unalinganisha chama na dola? Hao wa chama wawekane tu, ila serikalini hatutaki hzo mambo, serikali ni taasis nyeti ya umma
 
Back
Top Bottom