Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Hakika sio jambo dogo na hii inawezekana kwa Serikali inayokumbatia na kulea shughuli haramu, wizi na kila aina ya uchafu ndani ya jamii. Kama wahudumu wa ndani wanapata fursa ya kugeuzwa punda wa kubebeshwa sembe itashindikana vipi kwa wao kumiliki magari ya mitumba....

Ama kweli tumelaaniwa na kukosa uwezo wa kufikiri kwani hata mkuu wa kaya aliwahi kutamka wazi kuwa foleni na msongamano wa magari jijini Dar ni ishara ya maendeleo na kukua kwa uchumi...

Kubeba sembe ni tamaa ya mtu.

Mimi nna hausigeli nilitoa kisa chake humu, aliniomba nimdhamini kununua bodaboda moja kwa mkopo, naam, sikufanya ajizi nikamdhamini. Ndani ya miaka miwili akawa na bodaboda 5 naye still anafanya kazi kwangu. Hivi sasa ana bodaboda kama 20 na ni mjasiriamali wa kusifiwa na hakubeba sembe wala ngano.
 
Mimi nilichojifunza kutokana na msiba wa Bob Nyanga Makani, mjukuu wa chifu Makwaiya ni kwamba CHADEMA huwa hawkurupuki na hoja nyepesi zinazotolewa na wapinzani ccm,matukio mawili yanatukumbusha mengi;

kwanza
Kumbe CHADEMA waanzilishi wake walipatikana kutoka kila kanda kuu za tanganyika yaani kanda ya ziwa ya kusini ya magharibi, na ya mashariki kama ifuatavyo;
o Edwin Mtei (Arusha),
o Makani (Shinyanga),
o Marehemu Brown Ngwilupipi (Iringa),
o Edward Barongo (Kagera),
o Mary Kabigi (Mbeya),
o Menrad Mtungi (Kagera),
o Costa Shinganya (Kigoma),
o Evalist Maembe (Morogoro) na
o Steven Wassira (Mara).


PILI
Kumbe CHADEMA si chama cha wachaga kama tulivyoaminishwa na wapinzani, kwani mchaga katika kundi la waanzilishi (WAASIS) ni mzee mtei peke yake.Kumbe influence ya mzee mtei kutokana na CV yake na exposure yake iliwachanganya ccm WAKADHANI NI CHAMA CHA WACHAGA.
Asanteni sana watoa taarifa za waasisi
Washindwe ccm na wakauke.

Mimi sina chama chochote lakini naona taarifa yako haiajakamilika kwani umetuletea waanzilishi hujatuambia waliopo je ni walewale? kwani unawezana anzisha kitu ukapigwa kibuti, tuletee orodha ya sasa.
 
Kwa falsafa ya wazi ni hivi: "We always project to others what we feel, think, and do." Kwa mantiki hii, propaganda za udini, ukabila na ukanda hutoka kwa hao wanazozikuza na kuzieneza kwani ndiyo wanavyojisikia, fikiri, na kuyatenda. CCM ndiyo sera yao baada ya kuyazika maadili ya uongozi, na sasa kuyanyofoa kutoka rasimu ya pili ya tume ya Warioba.
CCM kwa sasa wana sera mpya-"Nepotism." Upendeleo huu wa kindugu na kifamilia upo wazi kabisa. Pale unapoona kiongozi akimpigia debe mwanaye awe rais. Ajabu kabisa!
Watanzania tuwe macho. Tunaelekea kwenye UMONAKI kupitia dudu hili CCM. Ukishakuwa na Umonaki ujue ni tutakuwa kwenye utawala wa "uhuru pasipo nidhamu." Hii ni katika kusema, kufanya, na maamuzi. Dalili zimeshaanza kuonekana pale tunapoona kitu kile kile kikisemwa tofauti na viongozi wa ngazi ya juu kitaifa. Rais anasema lake, Waziri mkuu anasema lake, na mwanasheria mkuu anasema vyake ( rejea upigaji kura ya ndiyo au hapana kwa katiba pendekezwa mwakani).
 
Ninakipenda sana Chama cha Mapinduzi. Ila ninaumia sana propaganda zao nyingi zinapokwama kwa kukosa mizizi yenye uhalisia wa kile wakisemacho. Natamani yafuatayo yangekuwepo katika siasa zetu za vyama vingi:

  1. Natamani Dr. Slaa, Tundu Lissu, John Mnyika wangekuwa wachaga. Propaganda za 'Chadema ni Chama cha Wachaga" zingekuwa na mashiko sana. Ikiwa watatu hawa ambao ni viongozi wa juu katika chama hiki wangekuwa Wachaga, basi sijui Chadema wangejificha wapi nchi hii.
  2. Natamani Tundu Lissu angekuwa anatokea kanda ya Kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za Chadema ni chama cha kaskazini ingekuwa na mashiko sana. Alipofukuzwa Prof. Kitila Mkumbo, wenye hoja-pombe wakasema ni ukanda. Kwa bahati mbaya sana, Tundu Lissu naye anatokea mkoa ambao Kitila Mkumbo anatokea. Kama Tundu Lissu asingekuwa wa Singida, sijui Chadema wangeficha wapi nyuso zao.
  3. Natamani Prof. Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba wangekuwa Waislamu. Propaganda za 'Chadema kinawabagua Waislamu' zingekuwa na mashiko sana. Walipofukuzwa uanachama hawa wawili, hakuna aliyezungumzia swala la udini, maana yeyote asingekuwa na hoja yoyote ya kuuthibitisha udini huo. Jambo hilohilo lilipotokea kwa Zitto Kabwe, wenye hoja-pombe wakasema ni udini.
  4. Natamani mikoa ya Mbeya na Mwanza ingekuwa kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za 'Chadema ni chama cha ukanda' zingekuwa na nguvu sana. Chama kiliitwa cha ukanda kwa sababu tu kilikuwa na nguvu kubwa sana Moshi na Arusha. Kama mikoa ya Mbeya na Mwanza ambapo chama hiki kina ngome imara huko pia ingekuwa iko kaskazini, sijui chadema wangetumia mbinu gani kuhafifisha propaganda hiyo.
  5. Natamani Augustine Mrema na James Mbatia wangekuwa viongozi wa Chadema, au wangekuwa Waislamu. Hawa nao ni Wachaga na ni Wakristo. Japo hawa nao wanaongoza vyama vya upinzani, vyama vyao havijawahi kuhusishwa na ukanda, wala udini, kwa sababu vyama vyao havijawa na nguvu kubwa sana ya kutishia chama 'chetu' cha mapinduzi.

Propaganda nyingi za Chama 'chetu' zinakosa nguvu na uhalisia. Chama chetu kinaendelea kupata wakati mgumu, japo kimefanikiwa kwa kiasi fulani kuwashawishi baadhi ya Maamuma wa Tanzania katika propaganda hizo. Na bado sana, zitaendelea kutolewa na najua hapa JamiiForums wapo maamuma wengi pia (si Great Thinkers) na wataendelea kuzishadadia propaganda hizo. Nasema, mwisho lazima mkikubali tu chama chetu cha mapinduzi. Kina hoja madhubuti na ndio maana viongozi wake wengi hawatoki Kanda ya Kaskazini na wala si Wakristo.
 
Ninakipenda sana Chama cha Mapinduzi. Ila ninaumia sana propaganda zao nyingi zinapokwama kwa kukosa mizizi yenye uhalisia wa kile wakisemacho. Natamani yafuatayo yangekuwepo katika siasa zetu za vyama vingi:

  1. Natamani Dr. Slaa, Tundu Lissu, John Mnyika wangekuwa wachaga. Propaganda za 'Chadema ni Chama cha Wachaga" zingekuwa na mashiko sana. Ikiwa watatu hawa ambao ni viongozi wa juu katika chama hiki wangekuwa Wachaga, basi sijui Chadema wangejificha wapi nchi hii.
  2. Natamani Tundu Lissu angekuwa anatokea kanda ya Kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za Chadema ni chama cha kaskazini ingekuwa na mashiko sana. Alipofukuzwa Prof. Kitila Mkumbo, wenye hoja-pombe wakasema ni ukanda. Kwa bahati mbaya sana, Tundu Lissu naye anatokea mkoa ambao Kitila Mkumbo anatokea. Kama Tundu Lissu asingekuwa wa Singida, sijui Chadema wangeficha wapi nyuso zao.
  3. Natamani Prof. Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba wangekuwa Waislamu. Propaganda za 'Chadema kinawabagua Waislamu' zingekuwa na mashiko sana. Walipofukuzwa uanachama hawa wawili, hakuna aliyezungumzia swala la udini, maana yeyote asingekuwa na hoja yoyote ya kuuthibitisha udini huo. Jambo hilohilo lilipotokea kwa Zitto Kabwe, wenye hoja-pombe wakasema ni udini.
  4. Natamani mikoa ya Mbeya na Mwanza ingekuwa kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za 'Chadema ni chama cha ukanda' zingekuwa na nguvu sana. Chama kiliitwa cha ukanda kwa sababu tu kilikuwa na nguvu kubwa sana Moshi na Arusha. Kama mikoa ya Mbeya na Mwanza ambapo chama hiki kina ngome imara huko pia ingekuwa iko kaskazini, sijui chadema wangetumia mbinu gani kuhafifisha propaganda hiyo.
  5. Natamani Augustine Mrema na James Mbatia wangekuwa viongozi wa Chadema, au wangekuwa Waislamu. Hawa nao ni Wachaga na ni Wakristo. Japo hawa nao wanaongoza vyama vya upinzani, vyama vyao havijawahi kuhusishwa na ukanda, wala udini, kwa sababu vyama vyao havijawa na nguvu kubwa sana ya kutishia chama 'chetu' cha mapinduzi.

Propaganda nyingi za Chama 'chetu' zinakosa nguvu na uhalisia. Chama chetu kinaendelea kupata wakati mgumu, japo kimefanikiwa kwa kiasi fulani kuwashawishi baadhi ya Maamuma wa Tanzania katika propaganda hizo. Na bado sana, zitaendelea kutolewa na najua hapa JamiiForums wapo maamuma wengi pia (si Great Thinkers) na wataendelea kuzishadadia propaganda hizo. Nasema, mwisho lazima mkikubali tu chama chetu cha mapinduzi. Kina hoja madhubuti na ndio maana viongozi wake wengi hawatoki Kanda ya Kaskazini na wala si Wakristo.


Mkuu, hongera umetimiza wajibu wako vizuri sana, kama ulikwenda shule basi ulisoma, ulielimika na unatumia elimu yako vizuri sana.

Mungu akubariki sana ambapo anakuona na kukujua vema.
 
Kwa tarifa yako mama yake mnyika ni mchaga mnyika mwenyewe amelelewa uchagani kwa wajomba zake.
 
Ninakipenda sana Chama cha Mapinduzi. Ila ninaumia sana propaganda zao nyingi zinapokwama kwa kukosa mizizi yenye uhalisia wa kile wakisemacho. Natamani yafuatayo yangekuwepo katika siasa zetu za vyama vingi:

  1. Natamani Dr. Slaa, Tundu Lissu, John Mnyika wangekuwa wachaga. Propaganda za 'Chadema ni Chama cha Wachaga" zingekuwa na mashiko sana. Ikiwa watatu hawa ambao ni viongozi wa juu katika chama hiki wangekuwa Wachaga, basi sijui Chadema wangejificha wapi nchi hii.
  2. Natamani Tundu Lissu angekuwa anatokea kanda ya Kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za Chadema ni chama cha kaskazini ingekuwa na mashiko sana. Alipofukuzwa Prof. Kitila Mkumbo, wenye hoja-pombe wakasema ni ukanda. Kwa bahati mbaya sana, Tundu Lissu naye anatokea mkoa ambao Kitila Mkumbo anatokea. Kama Tundu Lissu asingekuwa wa Singida, sijui Chadema wangeficha wapi nyuso zao.
  3. Natamani Prof. Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba wangekuwa Waislamu. Propaganda za 'Chadema kinawabagua Waislamu' zingekuwa na mashiko sana. Walipofukuzwa uanachama hawa wawili, hakuna aliyezungumzia swala la udini, maana yeyote asingekuwa na hoja yoyote ya kuuthibitisha udini huo. Jambo hilohilo lilipotokea kwa Zitto Kabwe, wenye hoja-pombe wakasema ni udini.
  4. Natamani mikoa ya Mbeya na Mwanza ingekuwa kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za 'Chadema ni chama cha ukanda' zingekuwa na nguvu sana. Chama kiliitwa cha ukanda kwa sababu tu kilikuwa na nguvu kubwa sana Moshi na Arusha. Kama mikoa ya Mbeya na Mwanza ambapo chama hiki kina ngome imara huko pia ingekuwa iko kaskazini, sijui chadema wangetumia mbinu gani kuhafifisha propaganda hiyo.
  5. Natamani Augustine Mrema na James Mbatia wangekuwa viongozi wa Chadema, au wangekuwa Waislamu. Hawa nao ni Wachaga na ni Wakristo. Japo hawa nao wanaongoza vyama vya upinzani, vyama vyao havijawahi kuhusishwa na ukanda, wala udini, kwa sababu vyama vyao havijawa na nguvu kubwa sana ya kutishia chama 'chetu' cha mapinduzi.

Propaganda nyingi za Chama 'chetu' zinakosa nguvu na uhalisia. Chama chetu kinaendelea kupata wakati mgumu, japo kimefanikiwa kwa kiasi fulani kuwashawishi baadhi ya Maamuma wa Tanzania katika propaganda hizo. Na bado sana, zitaendelea kutolewa na najua hapa JamiiForums wapo maamuma wengi pia (si Great Thinkers) na wataendelea kuzishadadia propaganda hizo. Nasema, mwisho lazima mkikubali tu chama chetu cha mapinduzi. Kina hoja madhubuti na ndio maana viongozi wake wengi hawatoki Kanda ya Kaskazini na wala si Wakristo.
Mkuu akili yako sawa na ile ya nyumbu tu.
 
Kubeba sembe ni tamaa ya mtu.

Mimi nna hausigeli nilitoa kisa chake humu, aliniomba nimdhamini kununua bodaboda moja kwa mkopo, naam, sikufanya zjizi nikamdhamin. Ndani ya miaka miwili akwa na bodaboda 5 naye still anafanya kazi kwangu. Hivi sasa ana bodaboda kama 20 na ni mjasiriamali wa kusifiwa na hakubeba sembe wala ngano.

Kwahiyo: Em niambie bibie, mheshimkwa wa zamani Bwana Zitto anapata wapi ujasiri wa kuendelea na vikao na kazi za kibunge wakati Chadema imeshatangaza kumtosa?
Zinafanya kwa maslahi ya nani na kwa tiketi ya nani?

Au anadunduliza posho ya mwishomwisho ama anasuka mipango ya kuomba msamaha kimya kimya?
Binafsi ningetegemea hii ingekuwa demoralization tosha kwake.
Manake hata kwenye UKAWA hayupo na alikuwa anawapondea waliounda muungano huo, aligeuka mtabiri akisema hawatafika popote..!!!
 
Makani alipata ile nafasi ya juu unajua kwa nini? Chunguza uhusiano wake yeye na Mtei ulikuaje kama vile unavyolinganisha Dj na Mtei uhusiano wao. Maagizo yanatoka kwa m1 the wote waliobaki matutusa na kufanya installation tu katika ubongo wao kichwa ufutio.
 
Ninakipenda sana Chama cha Mapinduzi. Ila ninaumia sana propaganda zao nyingi zinapokwama kwa kukosa mizizi yenye uhalisia wa kile wakisemacho. Natamani yafuatayo yangekuwepo katika siasa zetu za vyama vingi:

  1. Natamani Dr. Slaa, Tundu Lissu, John Mnyika wangekuwa wachaga. Propaganda za 'Chadema ni Chama cha Wachaga" zingekuwa na mashiko sana. Ikiwa watatu hawa ambao ni viongozi wa juu katika chama hiki wangekuwa Wachaga, basi sijui Chadema wangejificha wapi nchi hii.
  2. Natamani Tundu Lissu angekuwa anatokea kanda ya Kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za Chadema ni chama cha kaskazini ingekuwa na mashiko sana. Alipofukuzwa Prof. Kitila Mkumbo, wenye hoja-pombe wakasema ni ukanda. Kwa bahati mbaya sana, Tundu Lissu naye anatokea mkoa ambao Kitila Mkumbo anatokea. Kama Tundu Lissu asingekuwa wa Singida, sijui Chadema wangeficha wapi nyuso zao.
  3. Natamani Prof. Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba wangekuwa Waislamu. Propaganda za 'Chadema kinawabagua Waislamu' zingekuwa na mashiko sana. Walipofukuzwa uanachama hawa wawili, hakuna aliyezungumzia swala la udini, maana yeyote asingekuwa na hoja yoyote ya kuuthibitisha udini huo. Jambo hilohilo lilipotokea kwa Zitto Kabwe, wenye hoja-pombe wakasema ni udini.
  4. Natamani mikoa ya Mbeya na Mwanza ingekuwa kaskazini mwa Tanzania. Propaganda za 'Chadema ni chama cha ukanda' zingekuwa na nguvu sana. Chama kiliitwa cha ukanda kwa sababu tu kilikuwa na nguvu kubwa sana Moshi na Arusha. Kama mikoa ya Mbeya na Mwanza ambapo chama hiki kina ngome imara huko pia ingekuwa iko kaskazini, sijui chadema wangetumia mbinu gani kuhafifisha propaganda hiyo.
  5. Natamani Augustine Mrema na James Mbatia wangekuwa viongozi wa Chadema, au wangekuwa Waislamu. Hawa nao ni Wachaga na ni Wakristo. Japo hawa nao wanaongoza vyama vya upinzani, vyama vyao havijawahi kuhusishwa na ukanda, wala udini, kwa sababu vyama vyao havijawa na nguvu kubwa sana ya kutishia chama 'chetu' cha mapinduzi.

Propaganda nyingi za Chama 'chetu' zinakosa nguvu na uhalisia. Chama chetu kinaendelea kupata wakati mgumu, japo kimefanikiwa kwa kiasi fulani kuwashawishi baadhi ya Maamuma wa Tanzania katika propaganda hizo. Na bado sana, zitaendelea kutolewa na najua hapa JamiiForums wapo maamuma wengi pia (si Great Thinkers) na wataendelea kuzishadadia propaganda hizo. Nasema, mwisho lazima mkikubali tu chama chetu cha mapinduzi. Kina hoja madhubuti na ndio maana viongozi wake wengi hawatoki Kanda ya Kaskazini na wala si Wakristo.

Hao wote uliowataja ni matutusa ambao wapo lakin wanaamini FALSAFA ya zidumu fikra za m/kiti ndio maana hawajaitwa wahaini au wasaliti. Ila ukitaka Tundu Lissu ajiharibie ni kutangaza nia ya kugombea Uenyekiti wa CHAGGADEMA ndio utaona wimbo wa usaliti unatoka wapi.

WATANZANIA tumewashtukia nyie wazee wa udini na Ukanda, hakuna jipya mmekaa kijanja janja tu na SACOSS yenu ya mtu na mkwewe.
 
Makani alipata ile nafasi ya juu unajua kwa nini? Chunguza uhusiano wake yeye na Mtei ulikuaje kama vile unavyolinganisha Dj na Mtei uhusiano wao. Maagizo yanatoka kwa m1 the wote waliobaki matutusa na kufanya installation tu katika ubongo wao kichwa ufutio.

Mkuu Nadhani ungeweka povu pembeni uje na maelezo ya kujadilika. Nashangazwa unalalamikia chadema ambacho hakija shika dola.badala ya CCm inayobeba ilani yako ya uchaguzi.

Unajenga ile dhana kuwa chama cha siasa ni sehemu ya ulaji na maslahi. Ruzuku ya upinzani Bado IPO finyu sana.
 
Kwahiyo: Em niambie bibie, mheshimkwa wa zamani Bwana Zitto anapata wapi ujasiri wa kuendelea na vikao na kazi za kibunge wakati Chadema imeshatangaza kumtosa?
Zinafanya kwa maslahi ya nani na kwa tiketi ya nani?

Au anadunduliza posho ya mwishomwisho ama anasuka mipango ya kuomba msamaha kimya kimya?
Binafsi ningetegemea hii ingekuwa demoralization tosha kwake.
Manake hata kwenye UKAWA hayupo na alikuwa anawapondea waliounda muungano huo, aligeuka mtabiri akisema hawatafika popote..!!!

Chadema wakipeleka barua rasmi bungeni, Zitto atakuwa hana chake unless kuwe kuna pingamizi kaweka mahakamani kwani inaonesha kesi iliamuliwa Ex Parte.
 
Mkuu Nadhani ungeweka povu pembeni uje na maelezo ya kujadilika. Nashangazwa unalalamikia chadema ambacho hakija shika dola.badala ya CCm inayobeba ilani yako ya uchaguzi.

Unajenga ile dhana kuwa chama cha siasa ni sehemu ya ulaji na maslahi. Ruzuku ya upinzani Bado IPO finyu sana.
na hiyo ni ndoto ya mchana kuja kushika Dola pia ni hatari sana kuwa na viongozi kariba ya MBOOwe, kama ameweza kubadilisha katiba ya chama ili aendelee kuwaongoza matutusa je akishika Dola itakuaje?
 
Kuna kanuni moja ya kumtambua mtu ambaye ni mbaguzi. Inasema hivi: Yeyote anayekuwa wa kwanza kuzungumzia udini ama ukabila ndiye mdini na mkabila namba moja. Anaujuaje?

Unataka kumaanisha kuwa nyerere alikuwa mdini kwani alikuwa alizungumzia udini mara kwa mara
 
ccm chama cha wakwere mbona?
jakaya
salma
ridhiwani
wote wana vyeo yaani familia nzima ina vyeo chamani baba mama na mtoto duh
 
Yapo mambo yanastajabisha sana,Lowassa ni kada mtiifu wa CCM kwa zaidi ya miaka 38 sasa.Lakini nashangaa sana watu wanahusisha ugomvi wake na chama chake kwa kuligawa taifa.
Inawezekana vipi mpasuko wa lowassa ndani ya Ccm watu wauhusishe na ukanda?
Hapa ndipo sehemu pekee na hatari kwa taifa Rais kikwete anatuacha,Utawala wa Mkapa huu ukanda na ukabila haukupata nafasi kamwe.JK damu hii ya ubaguzi uliyoruhusu itakuandama mpaka mwisho wa maisha yako,Sioni unaendaje kupumzika chalinze taifa likiwa limegawanjika kwa kiasi hiki.
 
Usimlaumu kikwete suala la ubaguzi ni la ccm wote,wakati Wa mkapa wakati mrema yuko Nccr mageuzi walisema ni chama cha Wachaga,wakti Wa mkapa walisema cuf ni ya Waislam
 
Back
Top Bottom