Kejeli muda mwingine hugeuka na kutengeneza nguvu kubwa kwa wahusika
inategemeana na nani anakejeliwa, CHADEMA mnaambiwa ukweli na wala siyo kejeli. Waraka wa wakristo 2010 kama siyo watanzania kusimama imara nchi ilikuwa inaingia katika vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kejeli muda mwingine hugeuka na kutengeneza nguvu kubwa kwa wahusika
maneno yenu hata siamini kabisa, hivi kuna vyama vimekejeliana kwenye siasa za Tanzania kama CDM na CUF? leo mbona mmeungana? basi malumiane wenyewe huko huko UKAWA.
jana kuna mtu alikiri humu ndani kuwa CHADEMA ni wadini na sera zao za UKANDA zinaweza kuliangamiza taifa huku akiwaasa UKAWA kumpa LIPUMBA nafasi ya kupeperusha bendera yao 2015, sijui mleta mada jana alikuwa wapi. Tena ile mada ya jana iliwekwa na mfuasi wa CHADEMA aliyeiva.
Sasa wanachukia uislamu kwa maslahi gani kwani wao imani ya wenzao inawahusu nini kama siyo upuuzi.Hilo halina ubishi chadema uislamu kwao ni balaa, ukitaka kuwajua hata humu jamvini we anzisha mada ya ya kuusifia uislamu uone mitusi yao.
Mleta mada, mbona huweki chadema walipokuwa wakiwakejeli CUF? au umesahau?
Mleta mada, mbona huweki chadema walipokuwa wakiwakejeli CUF? au umesahau?
maneno yenu hata siamini kabisa, hivi kuna vyama vimekejeliana kwenye siasa za Tanzania kama CDM na CUF? leo mbona mmeungana? basi malumiane wenyewe huko huko UKAWA.
UDINI wa CHADEMA hauwezi kufutika kwa maneno bali kwa vitendo, wasipobadilika mtaendelea kusema sana lakini ndicho kitakuwa chanzo cha kifo chake.
Faiza achana na siasa za ajabu.
simamieni uchumi wa nchi, Taifa linataabika, msipoangalia wananchi tutawaondoa madarakani kwa kuwapopoa mawe.
jana kuna mtu alikiri humu ndani kuwa CHADEMA ni wadini na sera zao za UKANDA zinaweza kuliangamiza taifa huku akiwaasa UKAWA kumpa LIPUMBA nafasi ya kupeperusha bendera yao 2015, sijui mleta mada jana alikuwa wapi. Tena ile mada ya jana iliwekwa na mfuasi wa CHADEMA aliyeiva.
Tarehe 20-21/11/2013 Kamati Kuu ya Chadema Iliridhia Uteuzi wa Wakurugenzi Wafuatao..
1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.(Mkristo + Mchaga)
2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb). .(Mkristo + Mchaga)
3. Mkurugenzi wa Fedha na uwekezaji Mhe. Anthony Komu. .(Mkristo + Mchaga)
4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema. .(Mkristo + Mchaga)
5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.
Uteuzi huu hauonyeshi sura ya Kitaifa Wakurugenzi wote watano ni Wakristo kanakwamba CHADEMA hakuna Waislamu wenye uwezo wa kushika nafasi hizo.
Lakini pia hauzingatii mgawanyo wa kijamii kwa kuwa kati ya kurugenzi hizo Tano wakurugenzi wanne kati yao wanatokea mkoa mmoja wa kilimanjaro
Hatutashirikiana na Chadema kwa sababu ya kauli za kuudhi dhidi ya CUF kama vile CUF CCM B, CUF waliberali, CUFimeolewa na CCM. Chadema wanatumia fursa ili kujipatia wafuasi Zanzibar Seif Shariff Hamad
sema sintashirikiana na chadema maana cuf tayari wao wameisha saini moU na chadema.sijui utafanyaje sasa kaka!.
Uchumi wa leo Tanzania utaufananisha na upi kwa kuwa imara?
Mpaka hausigeli wana magari. Dogo hilo?
Hizo zingine ni ndoto za alinacha, jaribu kuingia na mawe barabarani halafu ujionee FFU wa Tanzania walivyokuwa wakali kuliko mbwa wenye vichaa. Kama huji muulize Dokta wa kanoni Slaa, aliingia kujificha nyuma ya maspika Arusha, umesahau?
Toka siku hiyo kakoma na hajashiriki wala kuitisha tena maandamano haramu, cheza na Serikali wewe?
Uchumi wa leo Tanzania utaufananisha na upi kwa kuwa imara?
Mpaka hausigeli wana magari. Dogo hilo?
Hizo zingine ni ndoto za alinacha, jaribu kuingia na mawe barabarani halafu ujionee FFU wa Tanzania walivyokuwa wakali kuliko mbwa wenye vichaa. Kama huji muulize Dokta wa kanoni Slaa, aliingia kujificha nyuma ya maspika Arusha, umesahau?
Toka siku hiyo kakoma na hajashiriki wala kuitisha tena maandamano haramu, cheza na Serikali wewe?