Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Punda yule yule kabadili soji.same shit deffent time.that's plan B.
 
hoja dhaifu sana katika kujenga hoja tupeni sasa hivi hali ipo vipi kuanzia ngazi ya juu,wabunge bila kusahau wa viti maalumu na viongozi wengine.wakati wa kuanzisha hao jamaa wa chini ya mlima kilimanjaro walikuwa wanajaribu baada ya kuona sasa biashara imechanganya wakachukuwa mradi wao,mfano cuf mwanzilishi ni james mapalala,lakini nani anabisha kwamba cuf si ya udini ?
 

Brown Ngwilulupi ni Mbeya siyo Iringa!
 
Ila udini upo ndani ya CHADEMA upo ,hilo valangati kuwa Makani na wengine ni waislamu halina mshiko kwani hata bunge linaongozwa kidini asilimia ndogo sana ni waislamu angalia hata safu ya mawaziri ,kwa nini usiwepo iwiano.

CDM kina udini hilo halina upinzani,mtabakia kutetea tu kama kuku aliekosa sehemu ya kutagia.Naona mnafananisha mchana na usiku ,kisa mmeona mwezi.
 
Hakuna ukabila, ukanda, wala udini hapo! Tatizo ni la ccm kuogopa kupokwa madaraka.
 
ndugu yangu ritz huo uchaga munaousimamia unatokana na nini ? hasa ukiangalia safu ya waanzilishi na uongozi uliopo unaweza kujustify kivipi kuwa ni chama cha kichaga au kikanda.?
Mbona uongozi wa serikali kuu ya ccm hatuisema ni ya kidini (kiislamu) hata baada ya wafuatao kushika nafasi zote muhimu za juu? Rais-mwislamu. makamu-mwislamu. jaji mkuu-mwislamu. mkuu wa polisi-mwislamu.rais na makamu wote wa zanzibar ni waislaamu. VS spika -mkristo. Waziri mkuu-mkristo.

Kwa uelewa wangu ninajua wote walioshika nafasi ni kutokana na uwezo wao na sio kigezo cha udini na ukabila.
Mimi ninafikiri mtafute sababu nyingine siyo hizo.

Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.
 
:A S 465:
Ni kweli mkuu, hii hoja ya ukabila, udini, na ukanda haina mashiko ndani ya Chadema leo! Ni propaganda za kitoto ambazo hazihitaji mtu kwenda shule kuzitegua na kuzidharau! Hata mimi sikuwahi kujua kuwa Kamanda Bob Mohamed Nyanda Makani alikuwa muislamu, nimekuja jua wakati wa msiba wake! CHADEMA leo, iko kusini mpaka kaskazini, magharibi mpaka mashariki, pembezoni mpaka kitovuni mwa Tanzania! Ni moto wa kifuu, siyo rahisi kuuzima kwa propaganda chapwa za udini, ukanda na ukabila tena!



 
Mbona uongozi wa serikali kuu ya ccm hatuisema ni ya kidini (kiislamu) hata baada ya wafuatao kushika nafasi zote muhimu za juu? Rais-mwislamu. makamu-mwislamu. jaji mkuu-mwislamu. mkuu wa polisi-mwislamu.rais na makamu wote wa zanzibar ni waislaamu. VS spika -mkristo. Waziri mkuu-mkristo.

Kwa uelewa wangu ninajua wote walioshika nafasi ni kutokana na uwezo wao na sio kigezo cha udini na ukabila.
Mimi ninafikiri mtafute sababu nyingine siyo hizo.

 

Gurti upo sawa kabisa my best friend. Unajua, wenzetu wa kijani wana hoja mfu, kwa kuwa chama kimekufa. kwa kweli, naishukia CCM mpaka sasa hata mboga za majani kwa kuwa ni za kijani, kila ninapokula sijisikii vizuri, sema ninachoweza kusema, ni kuwa inabidi hata rangi ya kijani wabadilishe.
 
Hoja dhaifu sana wangemchagua vipi wakati yeye ndio muasisi wa Chadema kajipange upya mkuu.

Mficha ficha maradhi kifo kitamuumbua. Agenda ya udini, ukabila ukanda utakuumiza mkuu. HAIUZIKI
 

Na JK kumteua Mbatia ni uchaga na ukaskazini? Haya washikaji wakiislam na vijumba vidogo vya JK ni poa kwa taifa? Ona shemeji yake Hawa Ghasia anavyolikoroga? Vipi Sophia Simba? Mlolomgo wa kishkaji ni mrefu hamuwezi kuwa na jibu la matatizo ya nchi ilimradi maamuzi nyanafanyika kiunoni.
 
Marehemu Brown Ngwilupipi anatoka Mbeya sio Iringa, umenukuu wapi hii taarifa yako yote inaweza kuonekana ya uongo kama huzingatii kuondoa makosa madogodogo kama haya

HIZO NI TYPING ERRA MKUU, lakini hazibadishiu ya maana ya kuwa CDM sio chama cha ukabila, udini na ukanda!
 
Ccm wanafkiri wakituletea agenda eti chadema ina ukabila pamoja na udini eti watafanikiwa kuwashawishi wananchi kukichukia chama chao kizuri na kiadilifu. Nawashauri magamba kuwa watafute plan B manake ni mabongolala na hao wanaokubali kudanganyika ni mabongolala tu.
 

Hata "bunge" linaongozwa kiudini asilimia ndogo sana ni waislam. Pia "safu ya mawaziri". CDM kina udini hilo halina upinzan.
Mweh. Arguments zingine bana.
 
kumbe panadol ni dawa ya usingizi!!amka wewe gamba!! Hizi bange za UDINI na ukabila mnazolisha watanzania ni bomu litakalowamaliza wenyewe! siye hatupo I swear. Unazungumza KUMWAGA sera. Kweli bangi ya UDINI na Ukabila inawalevya!! Hivi bado huwezi kuchambua ujambazi unaofanywa na MAGAMBA huoni huruma kwa watanzania. Akikosolewa Rais UDINI. Wakiguswa wazanzibar UDINI. Narudia tena MNA UTAPIAMLO WA AKILI. Jitibu kwa kusikiliza na kuchambua sera za CDM - PEOPLES jibu we Gamba sema POWER!!
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?
 
vp mbwa wako ameshiba? Haya nenda kalale sasa dume jike wewe
 
Vp vita Kawawa na dada yake bungeni? Wanawake na Maendeleo je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…