Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Adamu malima ni mtoto wa kighoma malima
january makamba ni mtoto wa yusufu makamba
dr husein mwinyi ni mtoto wa ali mwinyi
abeid karume ni mtoto wa abeid amani karume
shukuru kawambwa ni ..................
Karamagi ni...................
Wengine wengi wote ni ccm. Je ccm ni chama cha familia? Afadhali kabila ni kubwa kuliko familia.
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?


Yaani wewe unaangaika na Ukabila sasa hivi na wakati unaona Damu za watu zinatoka bila

sababu? Wewe kwanini usitulie na Ukabila wako kwanza tushungulikie matatizo ya huyu DR.

Wetu aliyepigwa karibia auwae Tanzania gani tunaisubiri na tunaitaka na yatakayotupata? wewe

Unahangaika na CHADEMA na UDINI TULIZA NA TULIA; ZANZIBAR KUNA UDINI hauongelei;

Unahangaika na CHADEMA;
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?

So what?
Kwani na wewe ni CHADEMA? Omba upewe viti maalumu, au kaolewe uwe shemeji pia
 
Ushawahi Kuvuta bangi ?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
1: Lucy owenya ni mbunge viti maalum lakini ni shemeji wa mbunge wa jimbo la moshi mjini (ndesamburo) ambaye pia ni mfadhili mkubwa wa chama hicho.hapa utagundua kuwa cdm imeamua kulipa fadhila kwa mfadhili bila kuangalia usawa wanaoulili,je siyo unafiki?






2: grace kiwelu ndesamburo ni mb viti maalumu na ni mtoto wa ndesamburo.je cdm si ya wachaga?

Jiangalie,umetoka huko bila kuchamba unakuja na kayaya zako jamvini! usinitakie ban lafa wewe
 
Hata moto wa mpumbavu huotwa...naamini utafurahia kwamba tumechangia thread yako weye mtu DHAIFU kabisa.
 
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...

Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)

Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)

Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)

Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga

Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman

Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)

MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA

TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA

TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????
 
Hoja DHAIFU, mwambie Liwalo na Liwe akulipe...
 
godsenior, na wewe leo utajisifu umeanzisha uzi,huko watu walishahama,kama umejiunga september 2011 unakurupuka leo pole sana
 
Last edited by a moderator:
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...

Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)

Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)

Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)

Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga

Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman

Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)

MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA

TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA

TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????

Mkuu, Hivi ndio wewe unaepumliwa na Mwigulu ama tusubili mwingine?
 
na wale wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa mikoa na wilaya mpaka kwenye wizara ambao ni nyumba ndogo za dhaifu kwani hatuzijui?mbona hizo huzitaji?
 
Nawe anzisha chama chako ili wape ndugu zako?. Tokea uhuru ccm imekuwa chama cha familia ya viongozi tu. Mafisadi tu
 
hata mm nikiwekwa kwenye madaraka, siwezi kukuweka wewe wakati mtoto wangu anaweza kukaa hapo au mtoto wa mjomba anaweza' kufa kufaana
 
sikia we godsenior, usiwe kama msengerema sawa!!! aapo ulipo wewe kama ni kazini kuna wachaga wangapi au kwa asilimia ngapi?? binafsi sio mchaga ila wenzetu walipenda shule na kujiendeleza sasa huwez kuwa avoid ata kidogo, mi nakushauri toa uchafu wako huu au umetumwa na nape nini wewe
Mkuu godsenior Unakaa nyagwa nini wewe???
 
Back
Top Bottom