Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

Binafsi sina shida na ukabila wala mtoto wa nani kawekwa wapi,swali la msingi kwa thinker makini yoyote ni "Je wamedeliver vema kama wabunge? tuwapime kwa perfomance na sio kabila,kuleta hoja ya ukabila ni sawa na kuturudisha zama za feudalism,Hakuna hatia kwa watu wa kabila moja kuwa na nafasi za uongozi,cha msingi wanaweza na wana sifa?Kumbuka pia wale wanaokuwa karibu na wanasiasa ndio hujishugulisha zaidi na siasa,unategemea chadema waweke mgogo viti maalumu wakati hana sifa,si mwanachama hakijui chama vizuri,hii si sawa,mimi natoka kabila kubwa kuliko yote barani Africa na pengine duniani lakini siwezi kuanza kushabikia issue ya ukabila,hii ni dalili ya wivu na uvivu wa kufikiri,tujenge hoja kwa mtazamo wa kisasa na si wa ujima na ukabaila.
Ya Rwanda na Burundi yanatosha kutufundisha

godsenior hapa umenena kero yangu kubwa kuhusu Chadema. Binafsi nawafagilia sana Chadema, lakini kwenye suala la ukabila wananipa wasiwasi mkubwa. Kusema kweli bila ushabiki hili ni doa kubwa sana la Chadema, na watu kibao wanalisema japo kwa kunong'onanong'ona.

Angalizo: wahusika wasilifanyie mzaha bali walifanyie kazi ili watu wawe na imani kubwa na chama. Wasipofanyia kazi hili, kwenye uchaguzi ujao siwapi kura ya Urais honestly, ila nitawapa ya mbunge na diwani. Ilivyo sasa inajenga picha kwamba Chadema ikichukua nchi, ikulu watajaa wachaga tupu!
 
Binafsi sina shida na ukabila wala mtoto wa nani kawekwa wapi,swali la msingi kwa thinker makini yoyote ni "Je wamedeliver vema kama wabunge? tuwapime kwa perfomance na sio kabila,kuleta hoja ya ukabila ni sawa na kuturudisha zama za feudalism,Hakuna hatia kwa watu wa kabila moja kuwa na nafasi za uongozi,cha msingi wanaweza na wana sifa?Kumbuka pia wale wanaokuwa karibu na wanasiasa ndio hujishugulisha zaidi na siasa,unategemea chadema waweke mgogo viti maalumu wakati hana sifa,si mwanachama hakijui chama vizuri,hii si sawa,mimi natoka kabila kubwa kuliko yote barani Africa na pengine duniani lakini siwezi kuanza kushabikia issue ya ukabila,hii ni dalili ya wivu na uvivu wa kufikiri,tujenge hoja kwa mtazamo wa kisasa na si wa ujima na ukabaila.
Ya Rwanda na Burundi yanatosha kutufundisha

Mmmh mkuu unajua athari za ukabila wewe? kwa haraka haraka waulize wakenya, warundi na wanyarwanda....
Kwahiyo mkuu kwako ni sawa tu kuona watoto wa wakubwa walivyorundikana huko BOT kwa mfano tu....

Kwani hao (wa kabila fulani au hao watoto wa vigogo) ndo wanasifa tu?
 
Jamani sidhani kama mimi nikiwa CEO mahali nitamchagua Director mbali na wale ninao wafahamu, lazima nimchague yule ninaye mfahamu siwezi kwenda manzese aje awe Director... CHA MUHIMU NI MTENDAJI MZURI NA ATALETA MATUNDA. Ukiangalia SERIKARI yetu hakuna aliye chaguliwa kuwa mkuu wa wilaya bila kufahamiana na anaye wachagua... hakuna aliyepewa ubalozi kama sio kabila, dini moja au hata walikwenda shule moja au mafunzo ya kijeshi pamoja nadhani utakumbuka kauli ya eidha ni Mh. Lowasa au Mh. Kikwete ".....hatukufahamiana leo au jana.... tumetoka mbali..." so hilo la chadema lisikushtue mkuu.... angalia UTENDAJI WAO. then JUDGE them

na SWALA LA mchumba wa zitto kuwa MCHAGA tatizo ni nini????????????? Ulitaka aje kwenye kabila lenu???? angekuja kwenu wachaga wangesema ameoa Mmakonde.... tutaishia wapi??????????
Mbona mnamsema rais kachagua mabest wake!mkuki kwa nguruwe eeehhhhh
 
Hii mbona ilishapitwa na wakati,,, tafuta nyingine
 
Hapa lazima watukane tu jamaa kawashika pabayaaaa...chama cha ukooo...alafu kumbe cdm ilikuwa ni...chaga development manifesto...mzee mtei kakifanya cha siasa....wamekwishaaaa...
 
​mlianza udini mkaja na ukabila mkaenda kwenye ukanda sasa mnarudi kwenye udini hamna jipya kamati kuu ina ina wachaga wangapi poleni sana mmeshikwa pabaya 2015 inakuja sunami sijui mtajificha wapi
hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...

Tundu lissu kamleta christina lissu (aliwahi kuwa muuza bia mwanza)

dr slaa ( kamleta mzazi mwenzie rose kamili)

ndesamburo kaleta wawili lucy owenya (ambaye amevunja ndoa ya bwana na bibi owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee ndesamburo). Pia yupo mkwewe grace kiwelu (mke wa mwanae ndesamburo ambaye ana kashfa moshi ya u cameron)

zitto kabwe kamleta binamu yake mhonga

mzee mtei kamweka mkwewe freeman

mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)

mbaya zaidi viti maalum zanzibar 2 walio chaguliwa ni wachaga na wale wengine wawili ni wake za wachaga

tunaambiwa pia mchumba wa zitto ni mchaga

tujiulize kweli hiki chama cha kitaifa ????
 
Hizo point za ukabila umeunganisha na "big G", hazina mashiko.Kajipange tena, umeokoteza porojo mbili tatu unazianzishia thread sasa huu si uluna ni kitu gani?
 
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...

Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)

Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)

Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)

Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga

Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman

Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)

MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA

TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA

TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????

Dr. Bilali kamweka mwanae Dr. Hassan Bilali
 
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...

Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)

Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)

Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)

Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga

Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman

Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)

MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA

TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA

TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????

Wakati wa TANU

Nyerere aliwaleta
  1. Joseph Kizurito Nyerere(blood brother)
  2. Bhoke Munanka
  3. Etc etc

Kawawa naye akamleta mkewe Sophia kuongoza UWT

Abdulwahid Sykes naye alkaleta kaka zake Ally, Abas etc

Kwenye CCM ndio usiseme

  1. Nyerere- Charels na Rosemary
  2. Kawawa- Vita, Zainabu etc etc
  3. Mwinyi- Hussein na Abullah
  4. Msuya- Dr Matayo
  5. Malecelea- ndio hivyo tena Le MUTUZ yuko njiani
 
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...

Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)

Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)

Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)

Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga

Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman

Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)

MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA

TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA

TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????

na yule mjinga wenu aliyeamua kumfunga mwenzie na familia nzima kwa sabab ya malaya yupi bora. nyie ndo wakuf.............r..wa.
 
mbona thread hii ina mantiki! nashangaa watu wanakwepa hoja wanakimbilia kwenye matusi. jibuni hoja ili msishushe hadhi ya JF. kusema kuwa zitto, lissu, msigwa na wengine siyo wachagga hilo siyo jibu. hoja ya mwandika thread ni kwamba viti maalum vya chadema, wamezawadiana wenyewe kwa wenyewe. kila mtu anampa hawara yake! hii inaonesha kwamba kule kubebana ambako kunalalamikiwa ccm, hata chdm kupo. then which change wil chdm bring to our country kama mambo ya ushkaji na kubebanan yapo chadema.


acheni ujuha! elezeni ukweli kwa kuwakosoa akina mbowe ili mambo haya yasijirudie. onesheni kuwa nyinyi ni kizazi kipya cha wasomi ambao hamfai kuficha ukweli. ukifika makao makuu ya chadema hadi unatamani kutapika kutokana na kuwepo watu wa mkoa mmoja! hii ni hatari kwa taifa letu. JAPO NACHUKIA BAADHI YA MATENDO YA CCM LKN SIONI CHDM KAMA CHAMA MBADALA!!!!!

ukabila utaiua chadema!!!!!!!!!!!!!!! kama chadema kina nia ya kuendeleza watu wa kabila au ukanda mmoja, BASI WALAANIWE!!!!!
 
Jk vs liziwan pwan na mashemej gasia binamu mahiza wapambe lukuvi..
Pinda vs tunu netball,
mwinyi vs mwinyi afya na east africa pm
-lowasa vs sioi mkwe na batilda kimada
-nchimbi vs mku wa mkoa dom mke
-malecela vs le mutuzi
-makamba vs januari
-mkapa vs mramba mume mwenza na dastani kule mtwara,
-kawawa vs vita na dadake,
-nape na babak,
-mwigulu na simbachawene wamekekana wazinzi,
-msekwa na ana abdala,
-6 na ma6,
-shelukindo na mama bitris,
-nyerere na makongoro,.
Da ebu niazimeni betri kamchina kangu kamekata chaji listi hi ni ndefu neza fika mpaka asbuh

Aseee!!!
 
Akili ya mtu dhaifu huwaza na kuongelea watu,lakini mtu shupavu huwaza na kuzungumzia namna ya kuleta mabadiliko pengine hata kwa kuomba msaada kwa watu.
 
Wana JF hili nalo ni tatizo tuache ushabiki mahaba! CHADEMA wasilete ujinga ule ule wa CCM wa kupendeleana,tujenge taifa hili kwa watu kupata uongozi kwa uwezo na taalum zao na sio kwa mjibu wa mapenzi,undugu,ukabira na ujinga wa aina yoyote ile! Mnyika ebu toa majibu juu ya hili,au ni formula ya Dr Kitila imekosea?
 
Akili ya mtu dhaifu huwaza na kuongelea watu,lakini mtu shupavu huwaza na kuzungumzia namna ya kuleta mabadiliko pengine hata kwa kuomba msaada kwa watu.

siasa infanywa na robot? sias ni watu,sasa kama Chadema nayo inafanya upuuuuuzi huo wakupeana vyeo tofauti na wapuuuzi wengine hawa CCM uko wapi? what changes do we want to achieve?
 
Anzisha chama chako uweke ndugu zako inakumaaa eheee?mbona dhaifu kaweka bandugu na bajamaa kila kona hadi vicheche vyake mbona husemi?kachambe mimavi yako huko.

wewe lazima upate ban ya forever labda mod awe ndugu yako au kabila moja ndipo usipigwe ban,matusi ya nini?!
 
Katika hali inayo onekana ni kuchanganyikiwa kutokana na chadema inavyo endesha shughuli zake za kisiasa, Ccm wanaishutumu CHADEMA kwamba ni chama cha fujo. mwenyekiti wa vijana wa ccm kawaasa wazazi wasiruhusu watoto wao kujiunga na chama cha fujo. kasema eti chadema kikisha sababisha maafa kinakimbilia kuzika na baada ya kuzika hakiwakumbuki walio achwa.
MY TAKE;
Movement for change (M4C) imewashika pabaya ccm sasa wanatapatapa kama mfa maji. kwanini wasiongee sera zao badala ya kuchafuana?. mia
 
Kumbe ndio lengo lao kuwaagiza polisi waue ili wapate la kusema ? kijana aliyeuwawa moro alikuwa wala hayuko kwenye maandamano bali anauza magazeti sasa hapo mpango umegonga mwamba
 
Back
Top Bottom