POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,401
Dah! Umesababisha nimecheka sana
Jamaa kituko sana, Title kasema UKABILa maelezo Undugu/Ujamaa, Jamvi hili kazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Umesababisha nimecheka sana
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...
Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)
Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)
Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)
Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga
Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman
Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)
MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA
TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA
TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...
Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)
Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)
Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)
Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga
Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman
Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)
MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA
TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA
TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...
Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)
Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)
Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)
Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga
Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman
Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)
MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA
TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA
TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????
sikia we godsenior, usiwe kama msengerema sawa!!! aapo ulipo wewe kama ni kazini kuna wachaga wangapi au kwa asilimia ngapi?? binafsi sio mchaga ila wenzetu walipenda shule na kujiendeleza sasa huwez kuwa avoid ata kidogo, mi nakushauri toa uchafu wako huu au umetumwa na nape nini wewe
Mkuu godsenior Unakaa nyagwa nini wewe???
Hebu angalia jinsi walivyo chaguana viti maalum...
Tundu Lissu kamleta Christina Lissu (aliwahi kuwa muuza bia Mwanza)
Dr Slaa ( kamleta mzazi mwenzie Rose Kamili)
Ndesamburo kaleta wawili Lucy Owenya (ambaye amevunja ndoa ya Bwana na Bibi Owenya na kuingilia yeye huyu ni mtoto wa kuzaa mzee Ndesamburo). Pia yupo Mkwewe Grace Kiwelu (Mke wa mwanae Ndesamburo ambaye ana kashfa Moshi ya U cameron)
Zitto kabwe kamleta binamu yake Mhonga
Mzee Mtei kamweka mkwewe Freeman
Mbowe kmuweka binti mmoja mhh(we reserve the comments)
MBAYA ZAIDI VITI MAALUM ZANZIBAR 2 WALIO CHAGULIWA NI WACHAGA NA WALE WENGINE WAWILI NI WAKE ZA WACHAGA
TUNAAMBIWA PIA MCHUMBA WA ZITTO NI MCHAGA
TUJIULIZE KWELI HIKI CHAMA CHA KITAIFA ????
godsenior hapa umenena kero yangu kubwa kuhusu Chadema. Binafsi nawafagilia sana Chadema, lakini kwenye suala la ukabila wananipa wasiwasi mkubwa. Kusema kweli bila ushabiki hili ni doa kubwa sana la Chadema, na watu kibao wanalisema japo kwa kunong'onanong'ona.
Angalizo: wahusika wasilifanyie mzaha bali walifanyie kazi ili watu wawe na imani kubwa na chama. Wasipofanyia kazi hili, kwenye uchaguzi ujao siwapi kura ya Urais honestly, ila nitawapa ya mbunge na diwani. Ilivyo sasa inajenga picha kwamba Chadema ikichukua nchi, ikulu watajaa wachaga tupu!
Kwa sababu kichwani mwako umejaa ubinafsi/ubaguzi lazima hoja zako ziwe za kuangalia kibinafsi binafsi vinginevyo wapo wanaokutumia kwa kukupa msukumo
sikia we godsenior, usiwe kama msengerema sawa!!! aapo ulipo wewe kama ni kazini kuna wachaga wangapi au kwa asilimia ngapi?? binafsi sio mchaga ila wenzetu walipenda shule na kujiendeleza sasa huwez kuwa avoid ata kidogo, mi nakushauri toa uchafu wako huu au umetumwa na nape nini wewe
Mkuu godsenior Unakaa nyagwa nini wewe???
Sio sababu ya Msingi hiyo! Unataka kuniambia hakuna waliosama zaidi ya hao viti Maalum wa chadema?? Hoja hapa hiki chama hakina sura ya Utaifa! Ni kikundi cha watu Maalum kwa maslahi binafsi, huku wakitumia akili za watu kama wewe kujipatia uhalali!
sikia we godsenior, usiwe kama msengerema sawa!!! aapo ulipo wewe kama ni kazini kuna wachaga wangapi au kwa asilimia ngapi?? binafsi sio mchaga ila wenzetu walipenda shule na kujiendeleza sasa huwez kuwa avoid ata kidogo, mi nakushauri toa uchafu wako huu au umetumwa na nape nini wewe
Mkuu godsenior Unakaa nyagwa nini wewe???
Sio sababu ya Msingi hiyo! Unataka kuniambia hakuna waliosama zaidi ya hao viti Maalum wa chadema?? Hoja hapa hiki chama hakina sura ya Utaifa! Ni kikundi cha watu Maalum kwa maslahi binafsi, huku wakitumia akili za watu kama wewe kujipatia uhalali!
Huyu jamaa godsenior ni rimote watu WANAMBONYEZA tu!Jk vs liziwan pwan na mashemej gasia binamu mahiza wapambe lukuvi..
Pinda vs tunu netball,
mwinyi vs mwinyi afya na east africa pm
-lowasa vs sioi mkwe na batilda kimada
-nchimbi vs mku wa mkoa dom mke
-malecela vs le mutuzi
-makamba vs januari
-mkapa vs mramba mume mwenza na dastani kule mtwara,
-kawawa vs vita na dadake,
-nape na babak,
-mwigulu na simbachawene wamekekana wazinzi,
-msekwa na ana abdala,
-6 na ma6,
-shelukindo na mama bitris,
-nyerere na makongoro,.
Da ebu niazimeni betri kamchina kangu kamekata chaji listi hi ni ndefu neza fika mpaka asbuh