Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Acha tu Taikon ,maisha ya kuishi kwa baadhi ya ndugu mabandidu ni hatari.
Sitishiki🤣🤣🤣🙌🏾
umemrudsha nyumbani mtoto wawatu au umeacha arud mwenyeweSitishiki
mtoto yupiumemrudsha nyumbani mtoto wawatu au umeacha arud mwenyewe
ulokua nae hukooo kubanjuka juu weekendmtoto yupi
Sikuwa na mtuulokua nae hukooo kubanjuka juu weekend
ulkua ibada ya jion sioSikuwa na mtu
Nakweli binafsi sipendi suprise..unaambiwa tu fulani yuko njiani hapo bado 2 hrs afike sjandaa chochote wala pa kumlaza sjui ..taarifa muhimu hasa kwa mke mama mjengoKuna principle moja naona ni nzuri, ukiitumia ndani kwako inaweza kupunguza matatizo madogo.
Akitaka kuja ndugu yangu, ampigie wife kumwambia anategemea kuja, mimi hata asiponiambia akanishukiza sina shida, ila wife ajue mapema...inapunguza maneno.
Jumamosi na ibada kwani mi msabato mwenzio?ulkua ibada ya jion sio
DharauJumamosi na ibada kwani mi msabato mwenzio?
Dharau gani apo we naeDharau
hujamboDharau gani apo we nae
Sijambo shikamoohujambo
Una tatizo somewhere mkuu..it's either mchoyo au something elseSijui ni tabia yangu au laa,spendi kwenda kwa watu hata ndugu zangu tuliozaliwa nao,japo zamani kwetu tuliishina ndugu wengi sana
Nami nimeshangaa kwa kweli.Sijui huwa mnaishi na watu gani ila experience nyingine tunazionaga humu tu mkiandika.