Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
ipo siku yako aseeeee siwezi kubali hiiSina dharau naanzaje kuzidisha kitu ambacho sina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ipo siku yako aseeeee siwezi kubali hiiSina dharau naanzaje kuzidisha kitu ambacho sina?
ushaanza vitisho msabato weweipo siku yako aseeeee siwezi kubali hii
Na ni kweli, ukiwa vizuri kiuchumi utakaribishwa vizuri sana, na kwanza huko ugenini utaendaje kulala zaidi ya kupita tu..Huu Uzi ni Kwa wasio na Hela tu wataujibu vizuri maana dharau huwa zinawafuata hata mijusi ikikaa juu ya mti inawadondokea Kwa dharau
Kama kwenu ni Makanya visa vya Tae ungevijua.
🤣🤣🤣🙌🏾ushaanza vitisho msabato wewe
Acha tu Taikon ,maisha ya kuishi kwa baadhi ya ndugu mabandidu ni hatari.Na bado.
Ukirudi tunakuandalia zengwe
Nakazia hapaKuna principle moja naona ni nzuri, ukiitumia ndani kwako inaweza kupunguza matatizo madogo.
Akitaka kuja ndugu yangu, ampigie wife kumwambia anategemea kuja, mimi hata asiponiambia akanishukiza sina shida, ila wife ajue mapema...inapunguza maneno.
Hii ilinikuta,mtoto aliniambia napakua chakula kingi,ni miaka mingi imepita ila inanikata sana nikikumbuka.Mgeni alikua anakula mtoto akamwambia Mama huyu mgeni anakula sana mchele wetu utawahi kuisha 🤣
Kweli kabisaSisi Huku kijijini wageni wakija tunawahudumia vizuri tatizo ni sisi tukija huko mjini
Yule mtoto alikuwa mkorofi sanaKwa sababu gani?
SikupingiWapare ni wachoyo mno.