Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante 🙌🏾Nimefika tu nikaulizwa wee mbona unakuja bila kusema? Alieniuliza ni mtoto wa mama mdogo na shemeji yangu. Nikamuangalia nikamuacha kama alivyo. Nilienda kwa ndugu yangu kaolewa kule. Wenye nyumba nilishawaomba nifikie pale hivyo walikua wanajua ujio wangu. Nikafanya kilichonipeleka huyo nikajiondokea.
Tutulie majumbani mwetu.