Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
vipeke 6 wanaekaUbuyu wa zenji tsh 100? Dodoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipeke 6 wanaekaUbuyu wa zenji tsh 100? Dodoma?
Sasa si utawauwa watotovipeke 6 wanaeka
nna watoto tatu,,watakula mbili mbiliSasa si utawauwa watoto
Alafu wewe utawala hao watotonna watoto tatu,,watakula mbili mbili
nshakula udongo coz nna chalii tumbon,,acha dharauAkafu wewe utawala hao watoto
Dharau sina kwahyo nikihoji uhalisia nna dharau? Keeengenshakula udongo coz nna chalii tumbon,,acha dharau
Tatizo mkuu sio kila mmoja limbwata linampiga sisi wengine tumepikwaSiku ukioa mpare halafu akakupiga na limbwata la kutoka Tae, Makanya ndio utajua hujui
Kama kwenu ni Makanya visa vya Tae ungevijua.Makanya kwetu unapasingizia Mkûu.
Mkuu hiyo Stori ya shangazi mimi ndiyo niliyeleta kisa hicho Kwa kweli sitokuja kusahau over my died body. Yaan mgeni Mme WA shangazi anauliza mmemtoa wap huyu mgeni! Mtoto akajibu ndugu Yake na mama, Mme anajisemea tena yaan analetaleta watu ovyoovyo Tu😭😭😭😭😭yaan mm WA ovyoovyo😭😭😭😭😭😭😭Ugenini Jamani kuna mambo Mengi sana. Na si ajabu unapoenda ugenini ukakutana na majanga tofauti tofauti.
Ugenini kuna watoto waliokosa adabu, ugenini kuna watu wasiopenda wageni anaweza kuwa mume au mke.
Unaweza kufika ugenini kumbe mmoja hana taarifa ile tu unaingia unaona watu Hawana furaha.
Kuna ndugu yangu aliwahi kunisimulia kuwa alikwenda mahali kumsalimia Shangazi yake.Mawasiliano yote alikuwa akifanya na Shangazi yake.
Mara baada ya kuwasili tu nyumbani na hata hajaingia ndani mume wa Shangazi yake anauliza huyu kijana amekuja kufanya nini hapa?
Chagua moja niondoke mimi au aondoke shangazi yako?
Mwenye Shangazi yake akakaa Kimya na kuendelea kumwandalia mgeni Chakula.
Anaeleza kuwa hakujisilia vizuri.
Wewe ulikumbana na nini ugenini?
Inasikitisha kwakwelMkuu hiyo Stori ya shangazi mimi ndiyo niliyeleta kisa hicho Kwa kweli sitokuja kusahau over my died body. Yaan mgeni Mme WA shangazi anauliza mmemtoa wap huyu mgeni! Mtoto akajibu ndugu Yake na mama, Mme anajisemea tena yaan analetaleta watu ovyoovyo Tu😭😭😭😭😭yaan mm WA ovyoovyo😭😭😭😭😭😭😭
Ubarikiwe sana....nilikuwa na njaa sana ,mgongoni nina begi la madaftari ,nilipoingia pale uwani ninamuona shemeji anaweka sinia la ubwabwa chini katika mkeka huku akifuatwa na binti yake mdogo mkononi akiwa na bakuli la mboga,aliponiona tu alikunja uso na akaitikia salamu bila ya furaha na kugeuka haraka mlango wa kuingia ndani na lile sahani la "ubweche"..roho iliniuma mno huku nikiwa na njaa na kiukweli nilipitia hapo kwao kwa lengo la kupoza njaa yangu....
Imepita miaka zaidi ya 10...amesahau ila nikiwa nacho shida zake ndogondogo ninamtatulia....
#Tutende Wema ,Kesho ni fumbo[emoji7]
...am sorry [emoji7]Hata sitaki kukumbuka dah! Wenye wtoto jitahidini kulea watoto wenu wenyewe na sio kwa kuwaacha kwa ndugu au jirani . Mambo mengine hata nikikumbuka ni kama childhood trauma. Very disturbing kwa kweli.
..hana kosaBeki tatu aligoma kunifungulia mlango. Na mabegi yangu nikatamani nigeuze sema ilikua mbali mkoa.
Kaniambia boss wake kamwambia asimruhusu mtu kuingia ndani.
Nilikaa nje ya fence mpaka mwenyeji wangu alivyorudi kutoka job ndio nikazama ndani.
Nawe pia ,amen[emoji7]Ubarikiwe sana
Noma sana mkuu😆Kuna jamaa yangu akiwahi kuniambia kipindi akiwa dogo hivi mzee wake alikuwa mkoloni kweli alikuwa haangalii ni ndugu zake (mzee) au wa mke wakija ni wanalala kwenye mkeka na kila siku nguna ngumu na dagaa , unaambiwa ndugu walikuwa wakikaa siku nyingi ni mbili wanaaga 😁