kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Begi la nguo kio
Begi la nguoSi ulikua umebeba parachichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Begi la nguoSi ulikua umebeba parachichi
Nyie ndio wanawake wenye roho mbayaNatamani aione hii mume wangu
Napataga ugeni wa ghafla wa watu kama 4 hivi wa kulala afu unakuta sina hata taarifa
Ila na yeye anasemaga hata mimi hawajaniambia
Duh unapata tabu maana unakuta wamefika usiku
Kuwawekea mazingira and soo on
Sema kibingwa tu unapiga moyo konde unawaejea mazingira
Hahahahahah aiseee umeniuaSi ulikua umebeba parachichi
Apo sasa bora chumba utaandaa ,,,ndo msosi mmetoka kumalizia umechoka mwenyewe, unaanza kupka tena😰Natamani aione hii mume wangu
Napataga ugeni wa ghafla wa watu kama 4 hivi wa kulala afu unakuta sina hata taarifa
Ila na yeye anasemaga hata mimi hawajaniambia
Duh unapata tabu maana unakuta wamefika usiku
Kuwawekea mazingira and soo on
Sema kibingwa tu unapiga moyo konde unawaejea mazingira
Sio za gospel kula chuma hicho, kama huna MB za kutosha usiguse hiyo linkleo hujaenda kanisani,umeeka mziki sauti kuuubwa nyimbo za gospel
Sio za gospel kula chuma hicho, kama huna MB za kutosha usiguse hiyo link
View: https://audiomack.com/djslicktunez/song/djslicktunez-best-of-electronic-dnce-music-mixtape-vol1?share-user-id=24255909
Hakikisha sauti ipo juu na hudaiwi kodi.
HamnaNyie ndio wanawake wenye roho mbaya
NdioApo sasa bora chumba utaandaa ,,,ndo msosi mmetoka kumalizia umechoka mwenyewe, unaanza kupka tena😰
Usife nditoHahahahahah aiseee umeniua
😂 sasa huyo mwanaume ulie nae wanini kama hata MB shida.unataka nifungue hii nipotee online wiki
Kwamba nimuunge kifurushi😂 sasa huyo mwanaume ulie nae wanini kama hata MB shida.
mb na mwanaume vina uhusiano gani mkuu😳,,hana cm kubwa hata mb hajui ni nn😂 sasa huyo mwanaume ulie nae wanini kama hata MB shida.
Muunge vifurushi sio kifurushi akupe yote.Kwamba nimuunge kifurushi
Yaaani umenichekesha sanaUsife ndito
Pole sanamb na mwanaume vina uhusiano gani mkuu😳,,hana cm kubwa hata mb hajui ni nn
Ni jambo jema maana unakua umebeba vitu vya kusogeza siku, lini nami utanileteaYaaani umenichekesha sana
Maana mimi nikitokaga kijijini begi la nguo na vifurushi vya kupeleka jikoni nu ngumu kutofautisha coz huwa nabeba kuanzia parachich hadi karoti,viaz ,maarage na kila kitu
Asante,, ingawa umetudharau sanaPole sana
Mwezi wa 9 nina ruti ya hukoNi jambo jema maana unakua umebeba vitu vya kusogeza siku, lini nami utaniletea
Wangu huyuMuunge vifurushi sio kifurushi akupe yote.
Keep in touchMwezi wa 9 nina ruti ya huko