To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Aisee,maisha haya🙌nilimezea hadi naondoka pale, sikuwahi sema niliumia na ile kauli,,alivoona tu mgeni ni shwaaaa dada wa kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee,maisha haya🙌nilimezea hadi naondoka pale, sikuwahi sema niliumia na ile kauli,,alivoona tu mgeni ni shwaaaa dada wa kazi
Siku ukioa mpare halafu akakupiga na limbwata la kutoka Tae, Makanya ndio utajua hujui
Nilishafukuzwa na ndugu kosa sikusuuza sahani.
Mimi nadhani kuwa mara nyingi situation kama hii zinasababishwa na mambo mengine mengi na siyo ule ugeni tu. Familia inaweza kuwa na ugomvi mwingine au kukosa maelewano na mgeni anakuwa tu kama kichocheo cha kuvuga mambo.
hujaenda kanisani leoNdio ndio ndiooo
Kwa hiyo ulichukiaNilienda nyumba moja uko kusaidia kazi coz walkua na mtoto mdogo,,, uuuuweeeeh dada mkubwa alporud toka shule kunkuta anaulza eti huyu ni house girl wetu😰
sikuchukia,,coz nilkua na uwezo wa kusepa zangu mda huo huo,,ila niliishi nao miez kadhaa nkaondoka kwa amani zoteKwa hiyo ulichukia
Si ulikua umebeba parachichiMdada wa kazi alinipokea begi akalipeleka jikoni niliishiwa pozi
Mimi ni kesho naona ushajichanganya unadhani kila mtu n msabato mwenzako.hujaenda kanisani leo
Vizurisikuchukia,,coz nilkua na uwezo wa kusepa zangu mda huo huo,,ila niliishi nao miez kadhaa nkaondoka kwa amani zote
unajikataa kwanguvu ivo khaaaahMimi ni kesho naona ushajichanganya unadhani kila mtu n msabato mwenzako.
Sabato sihusiki nayo kwa namna yeyoteunajikataa kwanguvu ivo khaaaah
dharau hiiSabato sihusiki nayo kwa namna yeyote
Sasa apo kuna dharau gani, ila wasabato 😅dharau hii
🤣🤣🙌🏾Watoto wa mwenyeji wakiona mgeni Wana jisaidia kinyesi kingi bila kumwaga maji ili mgeni aonekane mbaya!
leo hujaenda kanisani,umeeka mziki sauti kuuubwa nyimbo za gospelSasa apo kuna dharau gani, ila wasabato 😅
Natamani aione hii mume wanguKuna principle moja naona ni nzuri, ukiitumia ndani kwako inaweza kupunguza matatizo madogo.
Akitaka kuja ndugu yangu, ampigie wife kumwambia anategemea kuja, mimi hata asiponiambia akanishukiza sina shida, ila wife ajue mapema...inapunguza maneno.