Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Kwa masikitiko na huzuni naomba majina ya wabunge wa bunge la katiba wanaodai posho ya laki tatu kwa siku haitoshi hivyo wanataka kuongezewa (NIPO SERIOUS TAFADHALI).... Hao wabunge si wa kuwaacha hivihivi, lazima jamii iwafahamu na tushughulike nao.
Usiandike kwa chuki tuwe makini na hili jambo, Wekeni majina tafadhali.
Usiandike kwa chuki tuwe makini na hili jambo, Wekeni majina tafadhali.