DHARURA: Majina ya wabunge wanaosema posho ya laki 3 haitoshi

DHARURA: Majina ya wabunge wanaosema posho ya laki 3 haitoshi

Halafu wale wanapaswa kuitwa WAJUMBE wa Bunge la Katiba na si Wabunge............

Kuna Mjumbe toka CCJ Paul Christopher Makonda
 
Unagoongwa wewe mpenda ubwete, unalalamika tu fanya kazi unadhani serikali itakuwekea pesa mfukoni, Ubongo wako hauna tofauti na samaki....
Hata ukilalamika haikusaidii, fanya kazi uapte pesa yako utambe mjini zaidi ya hapo utaendelee kula vumbi tu na kumwagiwa matope barabarani nadhani umenielewa kijana mpenda ubwete.

Ungekuwa mtoto wa kiume na unajua risk ya kutafuta oesa tunayokutana nayo wanaume wewe mtoto wa kike usingefurahia kuongezwa posho watu wakiwa wamekaa after all sio profession ni uteuzi! !!!!!!

Kama mtu ni mfanyakazi kwa merit analipwa that money sio shida ila hao hawastahili mama wa kilabuni wewe unayeshangilia huyu anayeitwa sungura mdogo leo kugawiwa kwa wachache kama kaishakiwa tembo!!!!!!! Hivi unajua unahitaji mtaji kiasi gani kupata hiyo laki tatu kwa siku????!!!! Halafu unabana pua hapa na mipasho????!!!! Watu wanagomea EFD ya laki nane leo mtu alipwe laki tatu kwa siku huku umeme na nishati vinapanda, umesikia ada za masterz????!!! Fcuk you embasile!!!!!! Do you know what it cost to take a child to an average medium school (kindergatten)?????!!!!!

About magari na pesa kwa attitude yako tuyaache tu mkuu sababu kwanza bado una mentality ya mshahara!!!!! Siyo topic ya leo hii ila jua na kuanzia leo fikiria kwa mapana na marefu wewe kuwa na gari (kama sio usafiri)isikusahaulishe wakina mama wanaoteka maji kwa kichwa vijijini,wafugaji hawana majosho, wakulima wanakopwa mazao, watoto under five dawa wananunuliwa na.wazazi???!!!!! Kuna thread humu inasema kuna shimo barabarani downtown umeiona???!! Unajua ina indicate nini??!!

Think big mdada muuza wewe!!!!!
 
Hivi hiyo laki 3 ni pamoja na chakula, malazi na usafiri kutoka na kurudi bungeni?
 
hilo jopo kiongozi wao lazima atakuwa nkamia maana hajitambui cjui warangi walitumia vigezo gain kumchagua
 
Ingia kwenye web site ya bunge chukua majina yote ukiondoa la Mtikila na Zitto. Hawa ndio ambao hawamung'gunyi maneno!
 
nawe hazikutoshi, ushughulike nao umewateua wewe? Hivi nyie akili zenu ziko likizo? ungekuja na wazo la kushughulika na aliyeng'ang'ania kuwateua badala ya kuwaachia wananchi wenyewe ndo wajichagulie. leo kuna mtu na mkewe wote kawateua yeye tena toka chama kimoja unategemea nn? waache waendelee kutukomesha si watz mnajifanya hamnazo ushabiki ndo mmeuweka mbele kuliko mambo ya maana?

acheni uongo nani ni mtu na mkewe mle munawasingizia ebu wataje tuone
 
Richard ndassa

kwa masikitiko na huzuni naomba majina ya wabunge wa bunge la katiba wanaodai posho ya laki tatu kwa siku haitoshi hivyo wanataka kuongezewa (nipo serious tafadhali).... Hao wabunge si wa kuwaacha hivihivi, lazima jamii iwafahamu na tushughulike nao.

Usiandike kwa chuki tuwe makini na hili jambo, wekeni majina tafadhali.
 
Ndio mjue kuna kundi la watu wapo tabaka lingine kabisa.......alafu wanathubutu kujiita watetezi wa wanainchi.

Mimi nilidhani hawa wajumbe wangekuwa waungwana na wenye huruma kwa wanainchi masikini kwa kuomba hata hiyo laki tatu ipunguzwe na ikiwezekana hata waombe waandaliwe camp site waishi kwenye TENTS kwa muda wote wanaoandaa huo mustakabali wa taifa.

..........SHAME ON THEM......
 
....All I wanna say is that, they dont really care about us......

......and if Mwalimu was living, he wouldnt let this be....."
 
Tatizo lenu vijana mnakurupuka sana, wewe unataka wakutajie majina ya wataka posho ziongezwe, mbona hujawahi kutaka utajiwe majina ya wauwaji wa dovu, chui na faru?

Wewe anzisha uzi wa majangili acha kukalia channel hapa!!!!!!
Hili wazo la mtoa mada wewe kama unaona vipi anzisha wako kwa muktadha unaoona unafaaa!!!!!!

Ushamba kitu kibaya sana! !!!!%
 
Usidandie hoja mi namjibu huyo anayejifanya anamdomo mchafu utadhani anasukutulia maji ya chooni.

Nimefuatilia Conversation ila nakuona we ndio una huo mdomo mchafu

ka uliona ni thread ya umbea OFF YOU GO..., hujalazimishwa kuingia wala kuchangia
 
Back
Top Bottom