Ungekuwa mtoto wa kiume na unajua risk ya kutafuta oesa tunayokutana nayo wanaume wewe mtoto wa kike usingefurahia kuongezwa posho watu wakiwa wamekaa after all sio profession ni uteuzi! !!!!!!
Kama mtu ni mfanyakazi kwa merit analipwa that money sio shida ila hao hawastahili mama wa kilabuni wewe unayeshangilia huyu anayeitwa sungura mdogo leo kugawiwa kwa wachache kama kaishakiwa tembo!!!!!!! Hivi unajua unahitaji mtaji kiasi gani kupata hiyo laki tatu kwa siku????!!!! Halafu unabana pua hapa na mipasho????!!!! Watu wanagomea EFD ya laki nane leo mtu alipwe laki tatu kwa siku huku umeme na nishati vinapanda, umesikia ada za masterz????!!! Fcuk you embasile!!!!!! Do you know what it cost to take a child to an average medium school (kindergatten)?????!!!!!
About magari na pesa kwa attitude yako tuyaache tu mkuu sababu kwanza bado una mentality ya mshahara!!!!! Siyo topic ya leo hii ila jua na kuanzia leo fikiria kwa mapana na marefu wewe kuwa na gari (kama sio usafiri)isikusahaulishe wakina mama wanaoteka maji kwa kichwa vijijini,wafugaji hawana majosho, wakulima wanakopwa mazao, watoto under five dawa wananunuliwa na.wazazi???!!!!! Kuna thread humu inasema kuna shimo barabarani downtown umeiona???!! Unajua ina indicate nini??!!
Think big mdada muuza wewe!!!!!