Hii issue inaweza ikawa ni trick, kwa kuwa makonda ametangaza kwa umma kuwa roma atapatikana kabla ya jumatatu... sasa what it make serious think ?. hio confidance ya kusema jumatatu katoa wapi kwanini isiwe jana au kesho hii game ya watotoKuna wasanii sijui wanaakili gani mkuu, nimeshangaa eti mtu kama nash pia anasema hii ni danganya toto? eti akili za abunuasi kweli?
Kuna faida gani kufanya kiki za kipuuzi kama hizi,
ndo maana namkubali sana nikki mbishi mbali na beef aliyonayo na roma hakuwa nyuma kuonesha masikitiko yake
Muache amchane tu huyo Mangi Kimavi,yeye anachochea tu chuki akiwa nje ya nchi,tukianza kutifuana hapa yeye huko yuko salama,kama kweli anauchungu na hii nchi arudi hapa tuendeleze mapambano pamoja tukiwa ndani ya boti moja ikizama tuzame wote na ikivuka tuvuke wote!Hamna cha timu kiba!! Hiyo ni very realistic kuwa anamsema Mange. Iko wazi sana hiyo haihitaji shule kung'amua
Nchi haishughuliki na mambo ya kijamii, badala yake media na serikali ina deal with unprofitable issues kwa watanzania wachini. Hii ngoma inataka kuwa headline na kumbeza kiongozi m'bovu anayetawala powerful mind people.HUO HAPO ILA NI BORA ANGEKAA KIMYA.
Safi sana si lazima kila mtu atake mnavyotaka nyie diamond ana uhuru wa kuamua vile mtizamo wake uvyomtuma.hata kama anamfagilia makonda na magufuli ni haki yake kimsingiWewe ndio unasema juu ya uoga.
Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.
Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.
Amewapa ukweli na maisha ni yake.
Makonda oyeeeeee
Kiki ipi anatafuta diamond hapa Tz?? Aliitafuta 2008 na akaipata huko huko 2008.diamond nae anataka kutafuta kiki.
ndio alichokua anataka hiko acha anuke tuDiamond kajiingiza kwenye biashara ya kinyesi atanuka uharo mpaka akome.
Ahaaa akili zako zinaongozwa na Mange badala ya kichwaKatumwa na bashite dada yetu mange anasema hakuna kununua hii nyimbo na hasitutoe kwenye mada.
Swissme
Kwani Mange Kimambi huwa anaongea uongo. Tatizo wabongo huwa hatupendi ukweli. Mnapenda kupindishapindisha. Mange Kimambi huwa namfuatilia sana, Mara zote huwa anaongea ukweli. Na ukitaka kuchukiwa bongo na kupelekwa central haraka ongea ukweli!!!Muache amchane tu huyo Mangi Kimavi,yeye anachochea tu chuki akiwa nje ya nchi,tukianza kutifuana hapa yeye huko yuko salama,kama kweli anauchungu na hii nchi arudi hapa tuendeleze mapambano pamoja tukiwa ndani ya boti moja ikizama tuzame wote na ikivuka tuvuke wote!
Yeye Dai kama ana roho nzuri Si aende akamsaidie baba yake yupo pale magomeni kagera miguu imemvimba anateseka anakosa hata msaada hela ya kulaKiki ipi anatafuta diamond hapa Tz?? Aliitafuta 2008 na akaipata huko huko 2008.