Nimemuelewa sana diamond katika huo wimbo wake huu ni mzuri sana kwa style yake ya ku hit pointDiamond ana exposure ya kutosha anajua anachofanya. Siku zijazo tutamuelewa.
Mkuu hujamuelewa haja kaa kimya kasema chochote ila katumia akili kwenye wimbo huu namna yakufikisha ujumbe wakeAkae kimya yeye ila wengine tutaendelea kusema kwa kuwa taifa ni letu na si la watu wachache.
- VYETI FEKI
- BENI YUKO WAPI?
- WAKUNA ROMA WAKO WAPI?
- UTAWALA WA SHERIA.
uhalisia upi ww? acha pumbaLakini kiuhalisia kaimba vizuri sana, kaonesha hisia zake juu ya sakata LA yanayoendelea sasa nchini!
Amefanya vema, wanamuziki au wasanii wengi huonesha hisia Zao katika kazi zao za sanaa. Theme ya wimbo huu umebebwa katika beti ya mwisho. Amefanya vema sana kama utajaribu kum judge pasipo kuweka mapenzi au chuki juu yake.
Hahahaa mkuuLimbwata la WCB kali sana
I have now confirmed that Diamond is an Idiot.
Akili zako umezikalia au zimeondoka na mvua za juzi?Jitu lina familia yake alafu kulialia eti mama kaniambia,ndo majitu yanayoahribu ndoa hayo,badala ya kuskiza ushauri toka kwa mkewe linaskiza ushauri toka kwa mama;sasa si liachane na Zari libaki kwa mama?Mi toto ya kiswahili bhana!
Ndo maana nikaomba ww uanalyse the situation bila kuwa bias au na ww huna utofauti naye...??Angekaa kimya kama alivyousiwa
Unataka aimbe wimbo wenu wa kipuuzi Makonda amwachie Roma wakati hajamwona akimteka? tujifunze kuwa tunahifadhi maneno.
Watanzania wepi hao ndugu? sema chademaDiamond amekuja kuwatukana watanzania kwa maagizo ya Bashite.