Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond ukaribu wake na bashite utam cost...anajiingiza kwenye mambo yasiyostahili
 



Mkuu Kuna Freedom of Speech na Freedom of Abuse, Hii Nafasi Aliyochukua Diamond Ni Freedom of Abuse??

Diamond Ameonyesha Mapungufu Makubwa Kwenye Moral Principles ni Sawa na Serikali ya Magufuli Kula Pesa za Michango ya Maafa

Kumchukua Mtu Mateka Ambaye Ana Mtoto, Mke na Familia Inayomtegemea Halafu Mtu Anachukulia Hiyo Kama Opportunity ya Kutengeneza Pesa.

Kingine Diamond si Mtu Mdogo na Asimamie Kila Kilicho Sawa Kwenye Jamii Asifungamani na Upande Wowote Ila Asipokuwa Makini Ataanguka Trust Me Kwenye Hili.

Makonda Amewajeruhi Clouds na Kubali au Kataa na Ruge Kwenye Entertainment Industry Inchini ni KPI Watu Kama Hawa Diamond Anatakiwa Awe Nao Karibu Sana na Siyo Wanasiasa.

La Mwisho Babu Tale Kama Alivyoweza Kuizamisha TipTop Basi Asipokuwa Makini na Yeye Atakuwa Kwenye Vitabu Vya Kumbukumbu Soon.

Amekosea Sana na Anatakiwa Aombe Msamaha, Hivyo Kama Kuna Mabaya Yanatokea Watu Wasiongee Wakae Kimya Tu Sababu Hawana Pesa?

Anakubali Kutumika na Makonda na Kufanya Vitu vya Kipumbavu Vitamletea Hasara Kubwa Sana
 
Wewe umenena ukweli na uko wazi,mim nishabiki wa diamond mkubwa tu..lakini kwa hili kanifanya nimuone hajafikria kesho yake.

Amejichukulia kirahisi tofauti na hadhi yake..nadhani kuna. Watu hawaelewi tunachokisema lakini umenena ukweli pengine kwa lugha rahisi na nyepesi zaidi.

Watu wanatanguliza mahaba na kushindwa kusema ukweli pale inapobidi kwa hofu ya kuharibu wakijua ndio kujenga na hili ni tatizo kwa watz tulio wengi..



Kwa wimbo huu ameteleza sana!
 
Bishop Gwajima Atategua Kitendawili Hiki Kesho
 

Issue iko hivi wewe: Ney kukamatwa----->>>>Madaraka ya Kulevya(malikia wa nguvu)------>>>>Nitoe kitu nini(Roma)??????------>>>>Kukamatwa(Roma).
 

Na maoni aliyoyatoa Ney wa Mitego kwenye wimbo wake ni aina gani ya Freedom....!!??
 
Teh teh teh mbona Diamond kaweka post anaomba poo kwa Gwajima.
 
Mtu huyu alisshiriki kampeni za CCM watu wakasema atapoteza mashabiki. Lakini ameendelea kung'ara. Kwa kweli Mimi sina imani naye. Very fortunately sijawahi kuwa fun wake.
 
akiwa kama msanii yupo sahihi kuimba current issues lakini hajaangalia na upepo unaelekea wapi.ila kwa huu wimbo utamfundisha diamond kwamba yeye n nan alafu baba askof angemuacha tu hat asingemsema kesho coz hain maana sana kwani hajatajwa kwa ubaya
 
Kwa uandishi huu naona kabisa mtoa mada hayupo serious ila laiti angelikuwa serious, nadhani hata hili swala la DIAMOND kuachia wimbo lisingemshangaza.
 
Wacha nifunge bakuli langu.. Nikojoe nikalale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…