Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Naona wengi wanatumia mioyo na hisia instead of brains kufikiri. Kausikilize tena ule wimbo. Diamond "amegoma kukaa kimya" na kaamua kutoka kwa style hii ya wimbo badala ya kwenda Insta kutoa povu lake.

Kaongelea vyeti vya Bashite, utekaji, Bunge kubakwa, Uvamizi Clouds na mwisho "kalia" wapi TZ inakwenda. Japo amepiga dongo kidogo kwa nini watu badala ya kutafuta maisha yao wao wapo busy kubishana kuhusu vyeti vya mtu.
Kwani kunamtu alienda kumwomba msaada kwamba ameshindwa maisha? Akwende zake. Kilamtu ana namna yake kutafuta cent ndo mana wanaweza hata kununua nyimbo zake.
 
diamond usitetee vyet feki..hujui watz wangap wameumizwa kwa sakata hilo. bora ungefunga domo lako kubwa upite hivi....kisa visent vyako vya mr. chande umeshajisahau na domo lako. hujui jins mioyo ya watu inaumia kuona hii double standard na udikteta feki unaoendelea bongo! mi nishabk wako lakin ukwel hapa umeharibu.
 
Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi

1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??

Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.

Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)

Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??
Apo chacha, unajua jambo kama halijakukuta huwezi kuelewa
 
Diamond ni mnafiki.,ask me why,nitajibu kwa kifupi

1.kama mama yake amemwambia akae kimya kwanini katunga wimbo??Huo ndio ukimya??

Nyerere ambaye ndiye aliwekwa kwa cover ya Huo wimbo alikuwa hakai kimya,alikuwa anaonya,kukemea na Tena akawaencourage vijana wawe na ujasiri WA kuhoji,,Leo hii diamond anasema tukae kimya.,,ubashite huu.

Pia,ameonesha kukerwa na swala la kudiscuss vyeti vya bashite!!,hivyo hakupenda wimbo WA naytruboy!!!,hivyo alitaka wasanii wote wakae kimya!!!!wasihoji,,huyu kijana anawaangusha watz,,sisi tunahoji alipo Roma,wasanii wenzake wamekusanyika kutia juhudi ili mwenzao apatikane,yeye itakuwa alikuwa anarecord(hakutokea pale)

Kwahiyo tiffa akipotelea pasipofahamika napo atakaa kimya?au ni kwa sababu hayajamkuta yeye,??
Nilikuwa fans wake ila kwa huu wimbo kaniboa kweli, wasanii wenzake wanalia lenyewe linakuja na swaga za kijinga
Haya masanii yetu hayajitambuagi kweli
 
Unaweza ukawa na pesa lkn usiwe na ufikiri. .Diamond ni Good Singer bt hana weledi na hao wanaitwa managers wake ni hopeless hawana focus na vision. [HASHTAG]#FreeRoma[/HASHTAG]
 
Wewe ndio unasema juu ya uoga.

Mjifunze kuheshimu maamuzi ya binadamu wengine, sio lazima kila mtu atafute pesa kupitia kiki ya Kiongozi kwa kufata mkumbo wa uongo unaotungwa.

Mnapenda kuamulia watu kama vile, nyie mnaishi kwa kuamuliwa.

Amewapa ukweli na maisha ni yake.

Makonda oyeeeeee
Maamuzi ya kuvamia Radio stations za watu?
 
Huu wimbo ukiusikiliza kwa makini utaona Diamond kasema kila kitu na jina la wimbo limetumika tu kuwapumbaza watesi wetu. Big up Platnumz umetumia sanaa vyema.
 
Jamani Diamond badala yakuimba vitu kama ajira kwavijana, chanjo hakuna hospitali, vifo vyamama nawatoto, maafa, kodi zisyokua zalazima. Anaanza kushindana na Mange what a shame Diamond. Don't use your popularity to blackmail others. Alafu inaonyesha wazi unatumika
 
Kuna sehemu anasema, "Makonda na Gwajima wanazozana kufatilia kumbe ni binti mmoja mtandaoni"
I hope sijakosea huo mstari. Huyu binti mwenyewe ndio yule aliyeyaanika masakata yote ya Bashite?
Diamond anamaanisha huyo Mange ndiyo kamtuma Bashite avamie Clouds media na silaha nzito za vita kulazimisha video ya kumchafua Gwajima irushwe Clouds TV?
 
Back
Top Bottom