Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Kwani kunamtu alienda kumwomba msaada kwamba ameshindwa maisha? Akwende zake. Kilamtu ana namna yake kutafuta cent ndo mana wanaweza hata kununua nyimbo zake.
 
diamond usitetee vyet feki..hujui watz wangap wameumizwa kwa sakata hilo. bora ungefunga domo lako kubwa upite hivi....kisa visent vyako vya mr. chande umeshajisahau na domo lako. hujui jins mioyo ya watu inaumia kuona hii double standard na udikteta feki unaoendelea bongo! mi nishabk wako lakin ukwel hapa umeharibu.
 
Apo chacha, unajua jambo kama halijakukuta huwezi kuelewa
 
Nilikuwa fans wake ila kwa huu wimbo kaniboa kweli, wasanii wenzake wanalia lenyewe linakuja na swaga za kijinga
Haya masanii yetu hayajitambuagi kweli
 
Unaweza ukawa na pesa lkn usiwe na ufikiri. .Diamond ni Good Singer bt hana weledi na hao wanaitwa managers wake ni hopeless hawana focus na vision. [HASHTAG]#FreeRoma[/HASHTAG]
 
Maamuzi ya kuvamia Radio stations za watu?
 
Huu wimbo ukiusikiliza kwa makini utaona Diamond kasema kila kitu na jina la wimbo limetumika tu kuwapumbaza watesi wetu. Big up Platnumz umetumia sanaa vyema.
 
Jamani Diamond badala yakuimba vitu kama ajira kwavijana, chanjo hakuna hospitali, vifo vyamama nawatoto, maafa, kodi zisyokua zalazima. Anaanza kushindana na Mange what a shame Diamond. Don't use your popularity to blackmail others. Alafu inaonyesha wazi unatumika
 
Kuna sehemu anasema, "Makonda na Gwajima wanazozana kufatilia kumbe ni binti mmoja mtandaoni"
I hope sijakosea huo mstari. Huyu binti mwenyewe ndio yule aliyeyaanika masakata yote ya Bashite?
Diamond anamaanisha huyo Mange ndiyo kamtuma Bashite avamie Clouds media na silaha nzito za vita kulazimisha video ya kumchafua Gwajima irushwe Clouds TV?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…