Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Hana jipya,huyu anajulikana move zake, awadanganye mapoyoyo!
 
Nimeusikiliza huu wimbo ni mtamu sana, diamond umetoa ujumbe.
Utasaidia kuweka hata chembechembe cha kinachoendelea Tanzania.
Hakika hujakaa kimya...nimekuelewa wewe ni mwanamuziki wa kwanza kutoa neno zuri kudumisha amani.
Big up [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kuna Nyimbo Mpya katunga Diamond --FT CCM

--Kuna watu wanaacha kazi wanaongelea Vyeti

Sasa Ajira zipi Serikali imetangaza tangu 2015?

Private sekta biashara zimedorora, watu wamepunguzwa kazi

Ajira zinapotea Mahoteli yanapunguza watu kazi

Utalii umedorora

-- Amani ya nchi inapotea...kuna watu wanaandika kwenye mitandao

Je---Amani wakati watu wana njaa...watu wanakula wadudu...Kusema kuna njaa ni uchochezi...Amani ipo Diamondi wewe uliyeshiba

Uhuru wa kusema no, kuongea tu ni uchochezi

Vyombo vya habari vinavamiwa na mtutu wa bunduki

Bastola anatolewa mtu mkubwa kama Napeee...Je wewe masikini?

Watu wanatekwa na kupotea...Ben Saa Nane na Roma ex

Mikutano ya vyama vya siasa...Demokrasia iko wapi?

[HASHTAG]#freeroma[/HASHTAG]

[HASHTAG]#freebensaanane[/HASHTAG]
 
Huyu domo siku izi Sijui anakula maharage ya wapi cjui hana washauri.......jimbo bayaaaaa alafu anaongea upupu tu.....kwa mara ya kwanza nashindwa kumwelewa huyu domo
 
unakumbuka remix ya Ccm number one? au umeshaanza kujisahaulisha
Alikua kazini hata wewe ungepewa hiyo tenda sidhani kama ungekataaa. Unataka kusemaje , unataka kuniambia CDM wanawalipa wasanii iliwatukane viongozi wa serikali? Msanii anaejielewa hatakiwi kukurupuka nakulaumu anapaswa kuitumia Sanaa bila kuegemea kokote namaanisha CCM wakifanya ujinga anawasema na UKAWA wakifanya ujinga anawasema vilevile sasa hii tabia ya kuona upande mmoja wanakosea na upande mwingine ndiyo malaika si yakisanaa ni yakisiasa zaidi.
 
Ndio anapotea kimuziki huyo..hayo maneno amwambie Mzee Kipara aliyewapiga mkwara watanzania wasiende kumuona mtanzania mwenzao Lema alipokuwa gerezani
 
Kufanikiwa huwa hakuleti elimu unabiki 4m4 tu na Elimu huwa haileti mafanikio pia ni juhudi zako tu.......Tatzo kubwa Ya elimu Yetu hailet uthubutu ambao diamond anao na Tatzo kubwa Ya uthubutu hauambatani sawa na uwezo wa kuanalyse situations kitu ambacho DIAMOND hana na hata kipata kamwe
 
Umeandika saana lakini umeshindwa kukumbuka kuwa diamond ni msanii! Na hapo ndo unaweza kupima ukubwa/uwezo wa msanii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…