Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Diamond aachia wimbo mpya "Acha nikae kimya"

Wacha nifunge bakuli langu.. Nikojoe nikalale
 
View attachment 492837
Salute...

Kwa huu wimbo kuna mawili au kupata kiki,au kupunguza idadi ya mashabiki,mim binafsi sikushabikii tena hata Kama sina impact kwako!...


Nimegundua umhimu wa Elimu kwenye kila jambo!,
nilipambana juzi na Erick shingongo kumsapoti Diamond lakini kwa Wimbo Huu Diamond umeyataka mwenyewe.We ni mnafiki sana bn mdogo!...

Sjui umekutwa na nini
Kwanza mwenzio yuko matatizoni kwako limekuwa sikitu,lakini unajua kabisa kuna bifu kati ya watanzania na kiongozi fulan juu ya vyeti,
eti unawaambia watu wakae kimya wakatafte senti!!

Dhana na dhima kubwa ya wimbo wako ni kimya chenye kelele zilizozidi uwezo wa maskio ya Watanzania,wimbo wako ni so oxymoronic,yaani ni sumu tamu kwa Watanzania ..

Ulipambana na shigongo??wap??? Acha unyumbu wewe ni mnafiki kama alivyo huyo daimond
 
Domo la Domo limekosa mawasiliano na kichwa
 
kwanza kabisa ni seme. kwa niaba ya familia yngu tunashukuru kupatikana kwa roma...ila nina maono ambato yanaweza kuwa kweli au si kweli..
Nyimbo mpya ya diamond imetoka jana 7/04/2017... lakin just imagine ..roma kakamatwa tarehe 6/06/017.. na kwente mistari yake anasema "juzi anasikia na roma amekamatwa "..means nyimbo ameitunga siku ya jana tarehe hyo hyo 07/04/017.. je ita possble kufikiria mistari,kuiandika na kuirecord na kuipeleke kwenye mitandao na redion ndani ya siku moja...??? binafsi siamin kwenye hlo ata ungekuwa na intellegencia kiasi gan sio kufanya vyote hvyo kwa siku..
what i thnk there is possbility ya diamond kujua kuna mchezo utatokea kwa roma xo.. akatunga nyimbo mapema tu kwa ajili ya tukio hlo...
lakin hayo ni maoni yangu yanaweza yasiwe kweli au ya kawa kweli... asanteni...
Ulikuwepo wakati kinatangazwa kifo cha Nyerere..??

Tuambie Komba na wale wasanii wengine waliandaa kifo cha Nyerere kabla..??
 
Tarehe 5 ndio Roma alitoweka!Nways kwa wanamuziki hata masaa 2 yanatosha!Nyimbo ya Mwasiti ft chid benz- hao,Chidi aliingia studio akamkuta mwasiti anarecord!Basi Mwasiti alipomuona akamuomba amshirikishe,jamaa akakaa pembeni akaandika mistari na akaingiza vocal pale pale!Ngoma ikatoka!
Afadhali umeongea..
Hawa watu wanachuki za wazi na binadamu wenzao kupita kiasi..
 
Ni wiki sasa tangu Erick Shigongo Kumuonya Diamond Platinumz kuwa Mameneja Wake watampoteza..

Jana Memeja wake Babu tale kwenye Press conference ya wasanii iliyofanyika coco beach kuhusu kupotea kwa msanii wa bongofleva Roma, alisema mkuu wa mkoa atasaidia kupatikana kwa Roma... Na kweli imekuwa....


Anajitokeza mkuu wa mkoa anathibitisha Roma atapatikana kabla ya Ijumaa Pili ...


Kabla ya Hiyo Ijumaapili na kuonekana kwa Roma, Diamond Anatoa wimbo wenye maudhui ya kutia mashaka....


Baada ya kuachiwa kwa wimbo huo Msanii Roma inasemekana kapatikana....



Baada ya msanii Roma kupatikana na wimbo huo kutoka ... Askofu Gwajima kama alivyotajwa kwenye wimbo huo anaomba watu wajitokeze kanisani kwake jumapili hii atoe ya kwake ya moyoni kuhusu yeye kuimbwa kwenye wimbo huu.....


[emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji768][emoji769][emoji769][emoji769][emoji769][emoji769]

Ukifuatilia hii trend nzima mpaka siku ya Leo ... Naanza kuamini maneno ya Erick shigongo kuwa mameneja wake wanampoteza .... Sitaki niongee sana sina timu yoyote ... Ila tuache tuone muda utaongea ,
1491670502059.png
1491670540267.png
 
Diamond asingeweza kuimba zaidi ya alivyoimba. Kajitahidi sana kuwa neutral, tena ukitulia utagundua kua kasigina matukio yaliyotokea hivi karibu. Ni watu smart ndio wataweza kumwelewa diamond alivyotumia 'situational irony' kunyamaza kimya. Huyo dogo hajaenda shule lkn kabarikiwa utajiri wa ubongo.

Sikiliza vizuri huo muziki mara kadhaa, sikiliza tena na tena.

Si uko nao siku zote?
Ama ulezi unafanya uogope?
Na media wanalalama kiongozi atoke
Nchi inaingia matope...

Huyu dogo ana akili kubwa kuliko uwezo wetu wa kutafsiri...
 
Hana wimbo mzuri, tuambie wewe mwenye wimbo mzuri unamzidi nini Mondy?? Kufikiria kwa kutumia naniliu ni hatari sana wewe [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]


Tumia akili, nimeuliza kama kweli Dimond ana nyimbo nzuri yeyote sijasema kuwa mimi nina nyimbo au wimbo mzuri. Mimi ni mpenzi wa muziki (I repeat MUSIC) na siyo mwanamuziki wala mbabaishaji wa kuimba kutumia playback.
 
View attachment 492837
Salute...

Kwa huu wimbo kuna mawili au kupata kiki,au kupunguza idadi ya mashabiki,mim binafsi sikushabikii tena hata Kama sina impact kwako!...


Nimegundua umhimu wa Elimu kwenye kila jambo!,
nilipambana juzi na Erick shingongo kumsapoti Diamond lakini kwa Wimbo Huu Diamond umeyataka mwenyewe.We ni mnafiki sana bn mdogo!...

Sjui umekutwa na nini
Kwanza mwenzio yuko matatizoni kwako limekuwa sikitu,lakini unajua kabisa kuna bifu kati ya watanzania na kiongozi fulan juu ya vyeti,
eti unawaambia watu wakae kimya wakatafte senti!!

Dhana na dhima kubwa ya wimbo wako ni kimya chenye kelele zilizozidi uwezo wa maskio ya Watanzania,wimbo wako ni so oxymoronic,yaani ni sumu tamu kwa Watanzania ..
Katumwa na yltahaira wenzake bashite na m*****i
 
Back
Top Bottom