Sura yake mtaratibu, mwenye macho ya aibu. Msahau majaribu ila namkumbuka sanaa
Umbo lake mahabibu, kwenye maradhi alinitibu, siri yangu kaharibu. Bado namkumbuka sanaa
Alienifanya silali jua kali nimtafute tukale, lakini hata hakujali mentali akatekwa na wale....X2
Kiitikio...
Nitampata wapi kama yule nampendaga sana X2
Nitampata wapi kama yule ananipendaga sana x2
Beti 2
ai nyota, nyota ndio tatizo langux2, ai nyota mpaka nalia peke yangu
ai nyota, nyota ndio shida yangu.X2
Nyota wamenizidi wenzangu,
alidanganywa na wale,wenye pesa nyumba gari, mi kapuku hakujali akanikimbia x2
alonifanya silali jua kali nimtafute tukale lakini wala hakujali mentali akatekwa na wale.
Kiitikio
........................................
.........................
Bado ananijia ndotoni,ila nikiamka simwoni.x2
Bado ananijia nikilala, haki ya Mungu sio masihara. X2
......
Hii ni sauti ya Rais iliyomshindaga ibilisi, kwa mwanadamu sio rais,.
Na umwambie
lazima ujue kutofautisha kati ya jumlisha na msalaba, x na zidisha.x2
Bado namuota nikilala haki ya Mungu sio masihara
cc.
Dinazarde