Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Kuanzia ule wa mdogo mdogo yaani ndio anazidi kujichimbia kusikojulikana.
Mi naona hakuna jinsi zaidi ya kwenda kuomba urafiki na Mr Nice kwasababu huyu ndiye atakuwa rafiki wa kweli wa shida na raha.
Hahaaa dah wewe jamaa ni mtata sana ....