Diamond aachia wimbo mpya: Nitampata Wapi? - Nov 20, 2014

Diamond aachia wimbo mpya: Nitampata Wapi? - Nov 20, 2014

Sasa ww c unalala mika sana why katumia wazungu? Inaonyesha unaxhembexhembe ya ubaguzi.

Kuna mahali nimelalamika why katumia wazungu? Unajua nini maana ya kulalamika? Nilalamike ili nipate nini?

Tofautisha kukosoa na kulalama...
 
Watakwambia anahujumiwa na maproducer ili wamshushe, yani mashabiki wa huyu mswahili wa Tandale ni maboya haswaa.

Mashabiki na msanii wao ni too low....

Sioni wanachoshabikia kwenye hiyo video ni nini hasa.....

Jamaa kakulia tandale analazimisha nyimbo zenye mahadhi ya kizungu zinamshinda....
 
kama aligombana na manekee wakayamalize wafanye kazi tena, mimi fan wa diamond namtakia kilicho chema shedy my #1 alifanya poa huu wimbo wa kawaida kuna siku aliuweka instagram sikujua kama ndio wimbo atakao uachia.
Seriously song la kawaida but video ya maana
 
Hizi kelele zako zimenifanya niingie YouTube kuucheki...

kwakweli binafsi sijaona cha ajabu na video haina uhalisia kabisa....

Nani kamshauri ahangaike na wazungu?

Mi kwangu ni mzuriiii
 
Mashabiki na msanii wao ni too low....

Sioni wanachoshabikia kwenye hiyo video ni nini hasa.....

Jamaa kakulia tandale analazimisha nyimbo zenye mahadhi ya kizungu zinamshinda....

Mtuwache mashabiki wakeee,,,,mnaona wivuuu
 
Wadau kwa wale waliokwisha bahatika kuisiliza hii ngoma mpya wa Diamond nazani tutakua pamoja..

Kumekua na sababu kibao zikitolewa kua wema ndio kampa likizo dangote.. Baada ya kuona jamaa anfatilia sana li BMW alilopewa kwenye besidei. Basi chibu kaamu kulidhihirisha hilo kwenye hii goma yake. Huku akionyesha jinsi mtu alivyopewa ulambojini na kumuacha domo wazi.

Hii ngoma imekeep out kila kitu maswali hakuna tena..

Me nakushauri chipu.. Utampata endapo utajua unachokitafta..
 
Watakwambia anahujumiwa na maproducer ili wamshushe, yani mashabiki wa huyu mswahili wa Tandale ni maboya haswaa.

huyo alikiba anapata nini zaidi ya misifa kwenye ya jf ..
..tatizo unafikili alikiba anaweza kuwa juu diamond endelea kusubili na utasubiri sana mpaka ukome lakin sikio.halid kichwa
 
kama vile movie mmh mbn songi limeachiwa wakati huu uuh wambea tunahangaishwa na hizi habari lol....
 
kuna watu hawampendi kiba jamani uzi wa daimond mnataja kiba kuonyesha mna inferiority complex
 
Back
Top Bottom