diamond alinisikitisha siku aliposema UKAWA ni watu wa KASKAZINI na hata kaa apige show kaskazini kwakuwa kaskazini ni wabaguzi sana!daaah sikuamini kama Diamond angeweza kuongea ushuzi wa hali ya juu kiasi hicho na since that day nilimpotezea nakumdharau
Kwakwel mkuu wanaboa sana, mi hata kumpigia kura king nimesimama automatically kwa muda nahis hadi hasira ziishe.
Hivi ni kweli alisema? Duuu
Kwani kwenye ule mtandao Wa kidaku haupo? Aliandika then baada ya mitusi alifuta
Mimi napiga maana hamna namna.
Duuuh kumbe kwel mimi ig kani block
mabadilko lowasssaaaaaaaaaawssssaaas
lowasssaawaa mabadiliko.....
Shardcole anisaidieeUlitakiwa uanzishe thread hii waino vizuri mr icon wa taifa anavyopiga vijembe
Asubir tuu tuzo ya magufuri..
Najutia kumpigia kura huyu alitutukana watu wa kaskazini..na ukawa
We acha upuuzi ww unafananisha tz na usa serious una matatizo ww kule ni next planet boyKaongea point ndo maana hata marekani ujawahi ona mashabiki wakimtukana msanii kisa Ku support chama cha kisiasa kwetu tz msanii akiwa ccm ni kosa akiwa ukawa yupo sahihi naona watz wanaichukia Sana ccm
We acha upuuzi ww unafananisha tz na usa serious una matatizo ww kule ni next planet boy
Kaongea point ndo maana hata marekani ujawahi ona mashabiki wakimtukana msanii kisa Ku support chama cha kisiasa kwetu tz msanii akiwa ccm ni kosa akiwa ukawa yupo sahihi naona watz wanaichukia Sana ccm
Duu kweli taifa linaelekea pabaya ungesema hata southafrika au niger kidogi USA unaota ww au kapimwe akili #next planet kuleWe kweli boya kwan tz na USA zote si nchi au umeambiwa usa n bara acha kuwa mtumwa hata Kenya ckuona mashabiki wa jaguar wakishumshia kisa kusupport Uhuru