Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

CCM muokoeni Diamond anaangamia huku.....jamaa hakujua kuwa mashabiki wake tunatoka vyama na itikadi tofauti.....na bado ataisoma mwaka huu....NYIMBO ZAKE TUTASIKILIZA ILA KURA ATAPIGIWA NA WANACCM WENZAKE

Ataisoma namba
 
Ataisoma namba

Unavyotamani sasa aisome hiyo numba mpaka mate yanakutoka, yani diamond akikosea kidogo kwenu ni kama xmas au idd, yani inakuwa ni full shangwe unatamani akosee tena na tena uzidi kupata raha,kumbuka wewe unavyomwombea mabaya kuna wengine wanamuombea mema sasa hapo Mungu anaangalia nani mwenye justification ya kile anachoomba so don't get surprised ukawa mtumwa wa maumivu yanayotokana na mafanikio ya diamond
 

Mkuu Paula kilaki mi napenda sana juhudi za Diamond ktk kutafuta, sipendi tabia zake.
 
Last edited by a moderator:

Saafi mkuu,
Ur a great thinker indeed,
Comment imejibu kila kitu,ukiona ad APA mtu kaleta ubish,kazi ipo.
#bestCommenTxofar
 

Diamond hajaishia kwenye kampeni tu, ameenda mbele na kututukana watu wa Kaskazini
 
Ila kwenye hili la siasa ana uhuru wake kama mtanzania mwengine. Kama anavofanya kikwete kwenda kwwnye mikutano ya ccm bila ya kujali uraisi wake kama ni kiongoz wa watanzania wote.
 
Mkuu Paula kilaki mi napenda sana juhudi za Diamond ktk kutafuta, sipendi tabia zake.

Kwani yeye kawa malaika jamani mpaka avutie kila idara???? Si ndio mapungufu ya kibinadamu hayo ambayo kila mtu anayo??? Hata mimi nampendea juhudi zake tu sio kingine, na hicho ndicho kinachonipa sababu 100000000 za kumsupport utandale wake wala haunisumbui kazaliwa nao na tabia ni kama ngozi, ni kama vile mimi na uchaga wangu eti uniambie kwa vile nimeajiriwa nisifanye biashara ya duka hata la mkononi nitaumwa, au mkurya kwa vile ameenda shule asimpige mke, kuna vitu mtu huwezi acha hata uelimike vipi vipo damuniii. So tafuta sababu nyingine ya kumchukia coz hata wewe bila shaka unatabia inayowakera watu wako wanaokujua basi tu wengine wanaamua kukupotezea, au wanakuambia mnagombana,au wanaamua kukuvumilia ili maisha yasonge.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Paula kilaki mi napenda sana juhudi za Diamond ktk kutafuta, sipendi tabia zake.

Diamond sio kwamba hanikeragi, kuna wakati ananiboa kiukweli, lakini nachukulia ni mapungufu yake kama vile mimi nilivyo namapungufu yangu and still kuna watu kama wazazi ndugu mume watoto,wapo tayari kufanya lolote kwa ajili yangu kunilinda kunipigania kunisupport hata kama nawakera kiasi gani.
 
Last edited by a moderator:
Hizo tuzo alibeba kwenye enzi za ujima kipindi watanzania wapo gizani, ila sasa asahau kabisa tuzo za kimataifa.
Hadi hivi ninavyoandika DIAMOND keshawania TUZO 27 ZA KIMATAIFA KATI YA HIZO 13 ZA KAWAIDA NA 2 ZA HESHIMA NA 12 KAKOSA KWA HIYO KUKOSA NA KUPATA HAIJAANZA LEO.Lakini unajua keshatangazwa kuwania tuzo za MTV EMA KATIKA WASANII WA5 BORA AFRICA, nadhani ukisikia hivi unavimba zaidi ya kobra mwenye sumu kali.
 
Mpaka aombe msamaha kwa press conference tena airushe live tv na redio zote kwa masaa matatu! Pili kwa hiyo conference afanye live performance ya single atakayokuwa ameitunga specifically kwa ajili ya kuomba msamaha! Habari ndo hiyo!

Hahahaaa wabongo I can't you!👐👐
 

Hawa watu waliokatwa vichwa unafikiri watakuelewa? Ile ya Uganda Diamond alipopata thread mpaka leo ina page chache wanaipita kama hawaioni, ila hii ya kukosa ndio wamekuja kujazana. #Wonders
 

Hivi wewe huo ni mzima kweli? 😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…