Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

Diamond aambulia patupu kwenye tuzo za NEA Awards

Pole sana Diamond.
Nakumbuka zile fujo za mashabiki wako walizokuwa wanahimizana kukupigia kura MTV MAMA.
Nadhani wangetumia nguvu hiyohiyo wangekusaidia kupata hiyo tuzo.
 
Wakuu! Mbali na team ya Diamond kuendesha propaganda na uongo wa kila namna katika mchakato wa upigaji kura wa tuzo za Nigeria Entrainment Awards (NEA), kuwa eti Mashabiki wa Diamond wamepiga votes nyingi kwa Diamond hadi system ya kuvote ikaharibika na kufungwa. Watu wengi makini walibaini uongo huo na kuupinga ila ndugu zetu hawa walituona sisi kama heates kumbe tulikuwa tunasimamia ukweli.

Gilba hizo na uongo huo wa mchana ambao lengo lake ulikuwa ni kuwahadaa watanzania kuwa Diamond is unshakable.

Hatimaye uongo huo juzi umefika mwisho baada ya matokeo ya tuzo hizo kutoka ambapo msanii Eddy kenzo wa Uganda kubeba tuzo hiyo ya best male in East Africa, huku Diamond akiambulia patupu na aibu tele.

My take:
Zama za gilba na uongo taratibu zinaenda kufika kikomo, tusubiri October 10 #Afrimma.

Uyu Kenzo me napenda sana muziki wake
 
diamond alinisikitisha siku aliposema UKAWA ni watu wa KASKAZINI na hata kaa apige show kaskazini kwakuwa kaskazini ni wabaguzi sana!daaah sikuamini kama Diamond angeweza kuongea ushuzi wa hali ya juu kiasi hicho na since that day nilimpotezea nakumdharau
 
Mpaka aombe msamaha kwa press conference tena airushe live tv na redio zote kwa masaa matatu! Pili kwa hiyo conference afanye live performance ya single atakayokuwa ameitunga specifically kwa ajili ya kuomba msamaha! Habari ndo hiyo!
 
Afadhari akose tuzo..


Sisi wananchi ndio tuliompa tuzo sasa safari hii asubir za magufuri...tuuu
 
Wakuu! Mbali na team ya Diamond kuendesha propaganda na uongo wa kila namna katika mchakato wa upigaji kura wa tuzo za Nigeria Entrainment Awards (NEA), kuwa eti Mashabiki wa Diamond wamepiga votes nyingi kwa Diamond hadi system ya kuvote ikaharibika na kufungwa. Watu wengi makini walibaini uongo huo na kuupinga ila ndugu zetu hawa walituona sisi kama heates kumbe tulikuwa tunasimamia ukweli.

Gilba hizo na uongo huo wa mchana ambao lengo lake ulikuwa ni kuwahadaa watanzania kuwa Diamond is unshakable.

Hatimaye uongo huo juzi umefika mwisho baada ya matokeo ya tuzo hizo kutoka ambapo msanii Eddy kenzo wa Uganda kubeba tuzo hiyo ya best male in East Africa, huku Diamond akiambulia patupu na aibu tele.

My take:
Zama za gilba na uongo taratibu zinaenda kufika kikomo, tusubiri October 10 #Afrimma.

Kiba kapata tuzo gani au yeye level yake tuzo za vigodoro........chibu yuko vizuri sio kila tuzo akishiriki ashinde kuna kupata n kukosa
 
Mpaka aombe msamaha kwa press conference tena airushe live tv na redio zote kwa masaa matatu! Pili kwa hiyo conference afanye live performance ya single atakayokuwa ameitunga specifically kwa ajili ya kuomba msamaha! Habari ndo hiyo!

Ha haaa haaaaa....
 
Mi wasanii nimewapuuza wote hata waimbeje kura sipigi to me my country first waendelee kukata miuono jukwaani wakifulia wanakufa maskini.

Wasanii hawa wakipataga matatzo wanaenda kulia kwenye radio tunafunga mkanda tunachangshana tunawasaidia pmj na umasikin wetu leo hii wanatutukana sisi Ukawa!!!!!! Roho yangu yaniwaka moto asee
 
Nilikuwa silali nampigia diamond kura tena alikuwa award saba ila siku amejitangaza yy ccm nikaacha kuvote nikaremove picha zake nakujutia MB zangu wasanii hawatakiwi kuonyesha interest za siasa maana wanawagawa mashabaki
 
Ukivote kwa kiba au Diamond AFRIMMA haisaidii kwa vigezo vyao anayefit ni eddy Kenzo au Diamond kwa east Africa na kwakuwa kura za Tanzania zimegawanyika na kiba hawezi kupata katika category hii ya east Africa mshindi atakuwa eddy kenzo kumbuka kura zinachangia 30% na wao wenyewe wanatoa 70% kama majaji for them Kenzo na Diamond wanaregard kama international artist Kenzo kupitia ushindi wake wa BET na Diamond kupitia MTV Base na matamasha walioyafanya ndani ya mwaka huu.
 
Ukivote kwa kiba au Diamond AFRIMMA haisaidii kwa vigezo vyao anayefit ni eddy Kenzo au Diamond kwa east Africa na kwakuwa kura za Tanzania zimegawanyika na kiba hawezi kupata katika category hii ya east Africa mshindi atakuwa eddy kenzo kumbuka kura zinachangia 30% na wao wenyewe wanatoa 70% kama majaji for them Kenzo na Diamond wanaregard kama international artist Kenzo kupitia ushindi wake wa BET na Diamond kupitia MTV Base na matamasha walioyafanya ndani ya mwaka huu.

Hii comment ndio nilikua naisubiri , kama kura ni 30% tu hata mpige kura mpaka system i crush kama vigezo vingine vikikataa ni Bure, tuzo za kimataifa sio rahisi kihivyo kama tunavyofikiria, unless tuwe tunashindanishwa wenyewe kwa wenyewe, hata mimi ningekua judge ningempa kenzo kwa kigezo cha BET hata kama ana kura zero za mashabiki, kwa wasanii wa EA waliopangwa na kenzo wategemee maumivu tu
 
Babaa tifwaaaaaaa

ImageUploadedByJamiiForums1441658926.767784.jpg
 
Mi wasanii nimewapuuza wote hata waimbeje kura sipigi to me my country first waendelee kukata miuono jukwaani wakifulia wanakufa maskini.

Kwakwel mkuu wanaboa sana, mi hata kumpigia kura king nimesimama automatically kwa muda nahis hadi hasira ziishe.
 
kuna washkaji hapa kitaa chetu walikuwa blood die hard fans wa diamond ila walikuwa wana wa ukawa jamaa alivopost tu nanihi washkaji hadi leo hawataki kupiga kura,

Ndio hapo sasa hawa wasanii njaa wajichunguze upya mienendo yao.
 
Ukivote kwa kiba au Diamond AFRIMMA haisaidii kwa vigezo vyao anayefit ni eddy Kenzo au Diamond kwa east Africa na kwakuwa kura za Tanzania zimegawanyika na kiba hawezi kupata katika category hii ya east Africa mshindi atakuwa eddy kenzo kumbuka kura zinachangia 30% na wao wenyewe wanatoa 70% kama majaji for them Kenzo na Diamond wanaregard kama international artist Kenzo kupitia ushindi wake wa BET na Diamond kupitia MTV Base na matamasha walioyafanya ndani ya mwaka huu.

Acha kuongea ujinga wako huo, tuzo hapewi mtu kwa reference ya tuzo ya nyuma, ndiomana utaona hadi wizkid huwa anazidiwa na wasanii wa kawaida, hapo Afrimma subiri uone kazi maana hata hiyo tuzo ya Eddy kenzo huko Nigeria 45% ya Votes zimetoka tz, simply teamkiba ndiyo wenye nguvu + teamwema waliompa ushindi Eddy
 
Back
Top Bottom