AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
- Thread starter
- #61
CCM hawakumpigia?
Mkuu hao nao ni maiti inayotembea hivyo hawawez msaidia mtu coz nao pia wanahitaji msaada wa karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hawakumpigia?
Mashabiki walisusa au hujui
Kwa sababu ipi iliwafanya wasuse?
Kupigia kampeni ccm sema cku izi kaacha kibakuli ndo kaanza
Mondy na kiba wananiboa sana kujipendekeza kwa CCM, mi siku hiz hata kiba mwenyewe nimejikuta naishiwa nguvu za kumpigia kura, nimebaki kuwa shabiki wa kawaida
Acha kuongea ujinga wako huo, tuzo hapewi mtu kwa reference ya tuzo ya nyuma, ndiomana utaona hadi wizkid huwa anazidiwa na wasanii wa kawaida, hapo Afrimma subiri uone kazi maana hata hiyo tuzo ya Eddy kenzo huko Nigeria 45% ya Votes zimetoka tz, simply teamkiba ndiyo wenye nguvu + teamwema waliompa ushindi Eddy
diamond alinisikitisha siku aliposema UKAWA ni watu wa KASKAZINI na hata kaa apige show kaskazini kwakuwa kaskazini ni wabaguzi sana!daaah sikuamini kama Diamond angeweza kuongea ushuzi wa hali ya juu kiasi hicho na since that day nilimpotezea nakumdharau
diamond alinisikitisha siku aliposema UKAWA ni watu wa KASKAZINI na hata kaa apige show kaskazini kwakuwa kaskazini ni wabaguzi sana!daaah sikuamini kama Diamond angeweza kuongea ushuzi wa hali ya juu kiasi hicho na since that day nilimpotezea nakumdharau
Ni kweli alisema hivo?
Mnaongea kama mpo kwenye taarabu Eddy Kenzo anawashabiki wa kutosha mitandaoni ndio maana hata BET alifanya vizuri Diamond hakushinda coz kura hazikutosha si kwa sababu ya mambo ya siasa....kiba na Diamond wanapigia kampeni CCM kutafuta kipato kwao mziki ni biashara wakifa njaa hakuna wa kuwasaidia kwako ni kampeni kwao ni kazi jaribu kuwa muelewa hata UKAWA wakiwaita watakwenda chamsingi ni pesa tu.
Good News
diamond alinisikitisha siku aliposema UKAWA ni watu wa KASKAZINI na hata kaa apige show kaskazini kwakuwa kaskazini ni wabaguzi sana!daaah sikuamini kama Diamond angeweza kuongea ushuzi wa hali ya juu kiasi hicho na since that day nilimpotezea nakumdharau