Diamond aelemewa gharama za kumtunza Zari, lolote kutokea muda wowote

Diamond aelemewa gharama za kumtunza Zari, lolote kutokea muda wowote

iparamasa

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
13,437
Reaction score
14,927
Kuna habari kwamba mwanamuziki Diamond kashindwa gharama za kumtunza dada bilionea Zari,na amekuwa akilalamika chini kwa chini kwamba akaunti yake sasa inakauka, ni wazi kwamba penzi lao liko ukingoni na lina changamoto kubwa ya pesa,na hata nyimbo anazotoa Diamond sasa zimekuwa zikigusia hilo
 
Kuna habari kwamba mwanamuziki diamond kashindwa gharama za kumtunza dada bilionea,zari,na amekuwa akilalamika chini kwa chini kwamba akaunti yake sasa inakauka,ni wazi kwamba penzi lao liko ukingoni na lina changamoto kubwa ya pesa,na hata nyimbo anazotoa diamond sasa zimekuwa zikigusia hilo

Hayo si maajabu hapa Dunian,hata wimbo wake MAD ICE ALISHAWAH KUUIMBA 'JE UTANIPENDA?'
 
Ile V8 matumiz yke ni mazito linakula mafuta htr services ndio usiseme sasa ongeza na usupestor ssa mtt wa mbagala alijpnge tu kma hamuingzii pesa ktk account yke itaachje kukauka
 
Akili za kimaskin badala ya kupambana unataomba na kuwish kila mtu awe kama wewe
 
Ukisali omba sana, Mumeo nisijekuwa kichekesho?!!!

Wabongo banah, Kama Ronaldo alitaka akacheze mpira awe kama Ronaldo au?
 
Hahahah......waswahili mpaka raha! Ila Magufuli kawaambia jamani...you either play clean or you perish!
 
Na magazeti ya nyumbani
kwa kukuza habari si unajuaga,
Utasikia tafarani
eti Mondi kwa Zari amemwagwa,
Na venye nilivyo mnyonge
tabia ya kuwajibu sinaga,
Kama naiona michambo
ya mademu wa zamani.............
aaaah je utanipendaaga......
la la la la la la laaaa......
au nawe utanimwaga......

[video=youtube;q9l2I]https://www.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=q9l2I tDLsUk&app=desktop[/video]
 
Kuna habari kwamba mwanamuziki Diamond kashindwa gharama za kumtunza dada bilionea Zari,na amekuwa akilalamika chini kwa chini kwamba akaunti yake sasa inakauka, ni wazi kwamba penzi lao liko ukingoni na lina changamoto kubwa ya pesa,na hata nyimbo anazotoa Diamond sasa zimekuwa zikigusia hilo

Chukua nafasi ya zari basi wewe si huna gharama kutunzwa?
 
Back
Top Bottom