Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi shemeji ako Mariana huwa ana deal gani mjini namuona ig kumbe ni mtoto wa kishua
Ha ha ha ha ha michambo ya madem alowapitiaga
jamaa ndio anafilisika huyo
ndio maanake bana
Chukua nafasi ya zari basi wewe si huna gharama kutunzwa?
Tatizo k hamkubali ha ha ha ila sahivi kang'aa kichizi
mamabo yote NAGHARAMIAAAAAA
jamaa ndio anafilisika huyo
Hayo si maajabu hapa Dunian,hata wimbo wake MAD ICE ALISHAWAH KUUIMBA 'JE UTANIPENDA?'
Hata mimi najiuliza Diamond akifilisika kweli Zari atampenda?
Ni ngumu kama ngamia........
Acha mizinguo demu (zari) ndo anamuhonga dai..
Diamond hana hela ya kumhonga zari.. Zari alizoea pesa zipo muda woote, anabadili tu lamborgini ya njano, nyeupe anahamia audi, ferari, hummer kwa mtindo huo asingekubali kuwa na Diamond kama anataka kuhongwa na vipesa vya madafu
Afu ni mbahili huyu demu ni hatariii, anajielewa sana maana sio mtu wa bata kama ni safari sio pesa ya chibu au zari kuwazia ni pesa ndogo saaana.. Kuhusu tiffah licha ya wazazi kuwa na pesa, ujue hakuna gharama binafsi ya kumlea kutoka kwa wazazi coz alipewa mil 50 babyshop, na bado kila mwezi anafanya shopping bure ya mil 1, baaado ni ambassador wa NMB nako alipewa pesa nzuri tu...!