Diamond aelemewa gharama za kumtunza Zari, lolote kutokea muda wowote

Diamond aelemewa gharama za kumtunza Zari, lolote kutokea muda wowote

Ahahaahaha chibu amuhonge zar at?hamnaga pale mauno ya chibu kitandani, mtoto zar kafa kaoza chibu hatoi pesa,anatoa doz nene anawapiga deki papuch ndo maana watoto wote alowafunua hawamsahau...zari ndo atamuhonga chibu! lkn c chibu kumuhonga zari sahau.

Msingi kiuno,
 
Inaonekana mtoa post unahamu sana ya kuchukua nafasi ya Zari.
 
Kuna habari kwamba mwanamuziki Diamond kashindwa gharama za kumtunza dada bilionea Zari,na amekuwa akilalamika chini kwa chini kwamba akaunti yake sasa inakauka, ni wazi kwamba penzi lao liko ukingoni na lina changamoto kubwa ya pesa,na hata nyimbo anazotoa Diamond sasa zimekuwa zikigusia hilo
Kama naiona kwa mbali michambo ya mademu wa zamani niliowapitiaga
 
Ile V8 matumiz yke ni mazito linakula mafuta htr services ndio usiseme sasa ongeza na usupestor ssa mtt wa mbagala alijpnge tu kma hamuingzii pesa ktk account yke itaachje kukauka

lets their love R I P.
 
Nyimbo lenyewe baya...

hata mi nilikua najiuliza kwan kuna nyimbo nyingine au ile ile? mbona wimbo mbovu kabisa yaan kakukrupuak tu kwa jinsi vijana walivyojipanga ule wimbo hautasikika kabisa!!!! tujiulize diamond anapata ela gan za kuwez ku sustain maisha ya kifahari lets be real kwa lipi hasa? show hapigi nimeckia ndo anajiandaa krisimas kupiga dar live unajiuliza dar live kweli?
 
hata mi nilikua najiuliza kwan kuna nyimbo nyingine au ile ile? mbona wimbo mbovu kabisa yaan kakukrupuak tu kwa jinsi vijana walivyojipanga ule wimbo hautasikika kabisa!!!! tujiulize diamond anapata ela gan za kuwez ku sustain maisha ya kifahari lets be real kwa lipi hasa? show hapigi nimeckia ndo anajiandaa krisimas kupiga dar live unajiuliza dar live kweli?

yaani hakuna liwimbo libaya kama hili bure kabisa bora angemwomba K 4 REAL ampige jeki
 
Na magazeti ya nyumbani
kwa kukuza habari si unajuaga,
Utasikia tafarani
eti Mondi kwa Zari amemwagwa,
Na venye nilivyo mnyonge
tabia ya kuwajibu sinaga,
Kama naiona michambo
ya mademu wa zamani.............
aaaah je utanipendaaga......
la la la la la la laaaa......
au nawe utanimwaga......

[video=youtube;q9l2I]https://www.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=q9l2I tDLsUk&app=desktop[/video]

Ha ha ha ha ha you mean huu ni mchambo wa dem alompitiaga lol
 
Masikini Dimond wetu. Akope stanbic maisha yasonge. Vinginevyo ajifarague ili mwali aondoke kabla hali haijawa mbaya
 
Na magazeti ya nyumbani
kwa kukuza habari si unajuaga,
Utasikia tafarani
eti Mondi kwa Zari amemwagwa,
Na venye nilivyo mnyonge
tabia ya kuwajibu sinaga,
Kama naiona michambo
ya mademu wa zamani.............
aaaah je utanipendaaga......
la la la la la la laaaa......
au nawe utanimwaga......

[video=youtube;q9l2I]https://www.youtube.com/watch?feature=youtu.be&v=q9l2I tDLsUk&app=desktop[/video]

Samahani Mwananchi ivi wewe ni diamond au ? Naomba jibu Tafadhali
 
Zari sio kama ni boya kiivo hana kitu. Kwa haraka kabisa tokea amekuwa na Dai hata zile show off za magari alizokuwa anafanya hata baada ya kuachana na Ivan amepunguza(ameacha), mindset yake haipo kwenye pesa kabisa... Suala la kutoka kwa Ivan na kutokutudiana nae kwenda kwa mtoto wa Tandale ni suala la kutunukiwa Uprofessa hapohapo, lijamaa lina pesa chafu hatarii

Hahahaaaaa
 
Ameishaishiwa sera, nyimbo ya mad ice je utanipenda nikiwa fukara, ndo kajifanya katunga yeye. Atoe remix ya zile nyimbo za CCM

Je utanipenda imeimbwa zaidi ya mara 100k duniani , title kufanana ni jambo la kawaida sana Mwananchi jaribu kuficha umbumbumbu wako
 
Back
Top Bottom