Diamond aelemewa gharama za kumtunza Zari, lolote kutokea muda wowote


Msingi kiuno,
 
Inaonekana mtoa post unahamu sana ya kuchukua nafasi ya Zari.
 
Kama naiona kwa mbali michambo ya mademu wa zamani niliowapitiaga
 
Ile V8 matumiz yke ni mazito linakula mafuta htr services ndio usiseme sasa ongeza na usupestor ssa mtt wa mbagala alijpnge tu kma hamuingzii pesa ktk account yke itaachje kukauka

lets their love R I P.
 
Nyimbo lenyewe baya...

hata mi nilikua najiuliza kwan kuna nyimbo nyingine au ile ile? mbona wimbo mbovu kabisa yaan kakukrupuak tu kwa jinsi vijana walivyojipanga ule wimbo hautasikika kabisa!!!! tujiulize diamond anapata ela gan za kuwez ku sustain maisha ya kifahari lets be real kwa lipi hasa? show hapigi nimeckia ndo anajiandaa krisimas kupiga dar live unajiuliza dar live kweli?
 

yaani hakuna liwimbo libaya kama hili bure kabisa bora angemwomba K 4 REAL ampige jeki
 

Ha ha ha ha ha you mean huu ni mchambo wa dem alompitiaga lol
 
Masikini Dimond wetu. Akope stanbic maisha yasonge. Vinginevyo ajifarague ili mwali aondoke kabla hali haijawa mbaya
 

Samahani Mwananchi ivi wewe ni diamond au ? Naomba jibu Tafadhali
 

Hahahaaaaa
 
Ameishaishiwa sera, nyimbo ya mad ice je utanipenda nikiwa fukara, ndo kajifanya katunga yeye. Atoe remix ya zile nyimbo za CCM

Je utanipenda imeimbwa zaidi ya mara 100k duniani , title kufanana ni jambo la kawaida sana Mwananchi jaribu kuficha umbumbumbu wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…