ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Hahahaa!we noma binamu jasiri kama le mutuz hahahahahaa!
Asante binamu. Nachelewa kuingia humu bina majukumu,ila napenda sana umbea wako na ww ndo ulinivuta mpaka nikajisajili coz nilikua naingia humu kila siku natafuta michango ya gossipwarumi nicheke niongeze cku za kuishi mieBinamu karibu kwa mikono miwili, Dinazarde team inaongezeka, chezeya sie mamaeeeeeee
Asante binamu. Nachelewa kuingia humu bina majukumu,ila napenda sana umbea wako na ww ndo ulinivuta mpaka nikajisajili coz nilikua naingia humu kila siku natafuta michango ya gossipwarumi nicheke niongeze cku za kuishi mie
Sio matola ni sunglass alietuita jobless hhhhhhhaa
Matola siku akiamka vibaya unaloo
Matola ukiingia anga zake lazima akumalize ila siku hizi kawa mpole hata ban hapati nyingi kama zamani.
Au alikuwa Matola maana jamaa alikuwa anatuweza aiseeh, akiingia mnapewa vichambo heavy aiseeh
Matola ukiingia anga zake lazima akumalize ila siku hizi kawa mpole hata ban hapati nyingi kama zamani.
Toka awe member mwaminifu wa mmu totozi za kule zimemlainisha sana.
Ahaahah ahaaha halafu binamu kwenye ligi ata sikuonagi, we unakujaga tu kuchochea kuni halafu unakimbia