Mi style yake tu haandiki bila uuwiii mi sipendi.
Warumi nawe mi nlijua unaumwa kweli,kidogo niulize hospitali nije.
Utakuta yupo kwenye kigodoro huyooo
warumi hujaona pm yangu ya umbea au unajifanyishaaaa,,,NYOKO ZAKOOO ndo nishasemaaa
Aaaaaah aaaaaah nimeusoma aiseeh, daah huyo jiran yetu katishaaa, kakumeshaa si unajifanya mdomo juu kama kasuku, aaaaah ebu kajibu pm nimtafute nimpe na zawadi kabisaa
Mange eti kamchamba mbuta ni Zinjathropus loooo uyafikiri ye mzuriii
hana lolote anatafuta kiki kaona magauni yanamdodea anatafuta nyota ya kusafiria
Ni uhakika hawa watu hawajaachana kama wanavyo jaribu kuonesha!
Hizi ndizo wanazo zitumia timu ya Diamond na Wema kufanya biashara na Hakika hufanikiwa kabisa!
Nina uhakika Soon Diamond atatoa wimbo na baada ya siku chache itasemekana wamerudiana ili waendelee kupiga!
Hawa hawawezi kuachana na bila shaka Diamond hawezi kufanya biashara vizuri bila Wema hata yeye anajua.....na ukweli ni kwamba Wema ana nguvu kubwa kwenye biashara ya Diamond na ambaye aweshawai kuhudhuria show ya Diamond akiwa na Wema atakuwa shahidi!
Hii ni njia ya kuteka akili za wabongo ili kufanya biashara na katika hii timu ya Diamond naipongeza kabisa! Kama gari ndio chanzo basi Wema na Diamond wange achana kabla ya birthday part ya Diamond!
Huu ni mchezo tuu..
Sasa warumi kama soudy brown kazima vifaa wewe umeyajuaje jamani?sikuwezi aisee
Diamond anajua Kiba anabebwa tu na matapeli wa mziki Tanzania.
Watu wengine co waelewa uzi unamzungumzia diamond na wema we unamuingiza alikiba wapi na wapi buuuuuuu kwani alikiba ndo kawaachanisha
Hata mie nimeshangaa Ali Kiba anatokea wapi sasa watu wengine bwana hovyoooooooo