Diamond afunguka "LIVE" Kuhusu kuachana na wema, BMW chanzo

warumi hujaona pm yangu ya umbea au unajifanyishaaaa,,,NYOKO ZAKOOO ndo nishasemaaa
 
Last edited by a moderator:
Warumi nawe mi nlijua unaumwa kweli,kidogo niulize hospitali nije.

Aaaaah utatuweza na binamu yangu, maneno mengi kama tumemeza cherehani. Thanks for caring cuzoo mi mzima wa afyaa
 
warumi hujaona pm yangu ya umbea au unajifanyishaaaa,,,NYOKO ZAKOOO ndo nishasemaaa

Aaaaaah aaaaaah nimeusoma aiseeh, daah huyo jiran yetu katishaaa, kakumeshaa si unajifanya mdomo juu kama kasuku, aaaaah ebu kajibu pm nimtafute nimpe na zawadi kabisaa
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaah aaaaaah nimeusoma aiseeh, daah huyo jiran yetu katishaaa, kakumeshaa si unajifanya mdomo juu kama kasuku, aaaaah ebu kajibu pm nimtafute nimpe na zawadi kabisaa

Ni shida binam,,hebu kanijibu kule kule mfyuuuuuuuu ila kaniwezaje, memeeeeeeeee Dina naanzajeee kwanzaaaaaa
Binam ina maana watu hawataniwi kidogoo tuu
 
Laveda jamanii kalewaa eee mzuka mwingiii au umaarufu kunukaa,,,,,,friday night mmmmh
 

Mkuu hamna mchezo hapo hiyo ndo imetoka
 
Diamond anajua Kiba anabebwa tu na matapeli wa mziki Tanzania.
 
Watu wengine co waelewa uzi unamzungumzia diamond na wema we unamuingiza alikiba wapi na wapi buuuuuuu kwani alikiba ndo kawaachanisha

Hata mie nimeshangaa Ali Kiba anatokea wapi sasa watu wengine bwana hovyoooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…